Model
anayedaiwa kutoka kimapenzi na malkia wa filamu Wema Sepetu, Calisah
amefunguka na kuzungumzia tetesi hizo ambazo zimekuwa zikisambaa katika
mitandao ya kijamii.
Kijana huyo ambaye tayari ameshaonekana mara kadhaa katika baadhi ya
video za mastaa wa muziki nchini, amemmwagia sifa malkia huyo wa filamu
huku akishindwa kuweka wazi kama ni kweli anatoka naye kimapenzi au la!.
“Wema is a beautiful girl, sexy and every man’s dream, na mimi pia ni
mvulana mzuri ambaye mwanamke yeyote angependa kuwa na mimi, akiwemo
Wema mwenyewe,” Calisah alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV. “Siwezi
kusema moja kwa moja kwamba sisi ni wapenzi, lakini lakizima ujue kuwa
Wema ni mzuri na mimi mzuri,”
Pia kijana huyo alidai kuwa hamtambui Idris Sultan na hakumbuki kama
Tanzania imewahi
Diamond Platnumz, Harmonize,
AY na DJ D-Ommy wa Clouds FM wameshinda tuzo ya African Entertainment
Awards USA zilizotolewa usiku wa kuamkia Jumapili huko New Jersey,
Marekani.
Diamond ameshinda kipengele cha Best Male Single na pia kuungana na AY kwenye Best Collabo (Zigo Remix).
Harmonize ameshinda tuzo ya Best New Artist huku D-Ommy akishinda tuzo ya Dj bora.
Katika kushukuru kwa tuzo hiyo, Harmonize ameandika kwenye Instagram:
Forbes
wametoa orodha ya mastaa waliofariki wanaoendelea kuingiza mkwanja
mrefu zaidi. Mfalme wa muziki wa Pop, Michael Jackson ndiye anayeongoza
orodha hiyo akiwa ameingiza kiasi cha dola milioni 825
Sababu ya kuongoza orodha hiyo imetajwa
ni kufuatia uamuzi wa kuuzwa nusu ya hisa zake kampuni Sony/ATV
inayomiliki nyimbo za The Beatles na kuingizia kiasi cha dola milioni
750.
Wasanii wa Kundi la Navy Kenzo ameshindwa kuachia kwa wakati kolabo yao
na AliKiba kutokana na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ kuwa busy hali ambayo
imewafanya washindwe kumpata kwa ajili ya kushoot video.
Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi hii,
wasanii hao wamesema zaidi ya mara mbili walipanga kushoot video hiyo
lakini wameshindwa kumpata msanii huyo.
Kila ndoa inachangamoto zake na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa
wanandoa kuvumiliana katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu
ambazo wanandoa hawawezi kuziepuka lakini kuna zile za kiuanadamua mbazo
nyingi ni za kimakusudi na mtu huamua tu kuwa hivyo. Katika kuangalia
ndoa leo nimeona nichambue aina kumi za waume ambao wake zao wanakereka kuwa nao;
(1) Wanaojione Kama Wafalume (King Husband); HIi ni aina ya wanaume
ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa
kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma
hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka
Divaloness ajibu tuhuma za kujiuza Hyatt hotel baada ya Chat Kuvuja akichati na Danga...
Kupitia Kwenye Ukurasa wake wa Instagram ameandika haya hapa :
...
#Regrann from #divathebawse - LOL jaman wanawake wana mambo hahaha
anyways . unaambiwa alietengeneza chat zangu za so called kudanga kwenye
system ya cyber crime anaitwa Mirry au Maarufu kama Tzshade sijui nini
anaishi Dubai , alichat na mwenzie akaenda whatsapp yangu ya biashara na
ku crop kisha kuunganisha chat zake aka edit ila pia akasahau crop
vizuri 😂😂 ,
Kibarua changu kipo hatarini kuota mbawa, anayeniponza ni mke wa boss.
Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti
kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana
mchapakazi kama mimi.
Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi huwa namchukua
na
Unadhani kwanini pamoja na kuwa kinywaji na brand maarufu duniani,
Coca-Cola inaendelea kumwaga fedha nyingi kwaajili ya matangazo?
Kampuni hiyo hutumia zaidi ya dola bilioni 3 duniani kote kwaajili ya
matangazo kila mwaka. Kwanini sasa wanahitaji fedha nyingi kiasi hicho
kujitangaza wakati kila mmoja katika dunia hii anaijua Coca-Cola?
Ni hivi – matangazo hayakukumbushi uende kununua soda pale unapokuwa na
kiu – lahashaa! Kazi yake ni kuhakikisha jina lake linakaa zaidi
kichwani kwako, na ni jina ndilo unalolinunua. Kwahiyo watahakikisha
wanajitangaza ili ile nembo ya Coca-Cola ikae daima kichwani kwako.
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika
kipindi chenu chenye faida tele cha Ijue Afya Yako. Leo tutazungumzia
tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo Urinary Tract Infection
ugonjwa ambao unawasumbua sana wanawake wengi na watoto katika nchi
nyingi zinzoendelea.
Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa
wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara
yake ni kama haya:
Orodha ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016, Jumamosi ya Oktoba
22 kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome, Afrika Kusini imetoka – kuna
vipengele tisa. Tanzania inawakilishwa na Alikiba, Diamond na Navy
Kenzo.
Hii ni orodha kamili ya wasanii waliochaguliwa kuwania tuzo hizo
Kundi la Navy Kenzo ambalo linaundwa na Aika na Nahreel limefanikiwa
kuingia katika Mchakato (Nomination) wa kutafuta washindi wa MTV Mama
Awards 2016 Kwenye kipengele cha Group Bora la Muziki Afrika,
Nimeanza na kuandika Hard Work Pays Kwasababu ni dhahiri kuwa hawa jamaa
wamefanya kazi
Kocha mpya wa timu ya taifa ya Ubelgiji Roberto Martinez amesema
mchezaji wa zamani wa klabu za Arsenal na Barcelona, Thierry, ambaye
aling’aa sana wakati akichezea timu ya taifa ya Ufaransa, atakuwa mmoja
wa wasaidizi wake.
Henry alikuwa mmoja wa wakufunzi wa timu ya vijana Arsenal lakini
akajiuzulu Julai baada ya
Tatizo la mimba kutoka au kutolewa ni jambo ambalo limewakumba kina mama
wengi walio katika umri wa kuzaa. Aidha mijadala kuhusu kuhalalishwa au
kuendelea
kuharamishwa kwa utoaji mimba ni jambo linalochukua nafasi ya mazungumzo ya kila siku katika maisha yetu.
Kwa
baadhi ya nchi, suala la utoaji mimba ni jambo lililohalallshwa
kisheria ingawa kwa nchi kama Tanzania, suala hili halijahalalishwa
isipokuwa tu pale panapokuwa na sababu za kitabibu zinazolazimisha
kufanya hivyo.
Have your Google adSense account is disapproved ??? Are you worried
about that ???...so this article will tell you, why your account is
disapproved and what you can do to approve it or what other than you can
do. Google is very strict to their policies and they have made
different policies for different countries. They always keep on
reviewing and editing all these for the benefits of publisher as well as
advertiser. New users need to have some patience in their mind. For new
users and even old bloggers they need some points to be followed right
from ...
Leo tutashauriana changamoto ya jinsi ya kujua biashara inayolipa kwenye
eneo unaloishi. Moja ya changamoto kubwa ambayo watu wengi wanakutana
nayo ni kushindwa kujua biashara gani wafanye kwenye maeneo yao ili
kuweza kupata faida.
Mara nyingi watu wamekuwa wakiomba ushauri sehemu mbalimbali ikiwemo
kwenye mitandao kuhusu biashara gani wafanye kwenye maeneo yao.
Leo nitakushauri biashara unayoweza kufanya kwenye eneo lolote unaloishi na kupata faida kubwa sana.
KUNA vita ya maneno kati ya makundi mawili ya mashabiki wa Muziki wa
Bongo Fleva, wanaowashabikia wasanii Alikiba na Nasibu Abdul ‘Diamond’,
kila upande ukidai mtu wao ndiye anajua zaidi kuliko mwingine.
Ni mjadala mpana katika mitandao ya kijamii, mitaani na hata miongoni
mwa wasanii wenyewe ambao kwa kificho au waziwazi, wamewahi kuzungumzia
nani mkali katika wawili hao ambao wote ni vijana wenye asili ya Kigoma.
Alikiba ama King Kiba, ndiye wa kwanza kuingia na kupata jina katika
Muziki wa Bongo Fleva, katikati ya miaka ya 2000 akiwa na singo yake ya
kwanza, Cinderella ndiyo ilimfungulia milango, kwani alichomoza hadi juu
ambako alidumu kwa muda mrefu.
Huenda Diamond amewahi kuimba kwa kuiga baadhi ya nyimbo za Alikiba, kwa
sababu yeye alianza kupata jina mwaka 2009, mwaka ambao mwenzake tayari
alishakuwa na albamu mtaani.
Unapotaka kufanya ulinganisho wa wawili hawa ni lazima uchague unataka
kuwalinganisha nini, vinginevyo unaweza kujikuta umewekeza katika chuki
au ushabiki, kitu ambacho hakitakiwi. Kwa mfano, vigumu kupata idadi
kamili ya mashabiki wa wasanii hao, ingawa mapokeo ya kazi zao yanaweza
kumuongoza mtu kuelewa.
Kitu kimoja cha msingi ambacho wengi wanakubaliana ni kwamba Alikiba ana
uwezo mkubwa wa kuimba na mwenye sauti nzuri kuliko Diamond. Msanii
mmoja chipukizi, Ibrahim Kidugu ‘Wizzy Rapper’ katika kibao chake cha
Kote Nisikike, kwenye mojawapo ya vesi anasema “Ali ni mwanamuziki,
Nasibu Mfanyabiashara.”
Maana ya Wizzy Rapper ni kuwa Diamond anafanya biashara ya muziki, ndiyo
maana anaonekana kuwa juu ya Alikiba ambaye anafanya muziki kwa mazoea.
Katika ubora wake, Alikiba aliwahi kukutana na mkali wa R&B duniani,
R Kelly, katika projekti iliyoitwa One8, ambapo wakali nane wa Afrika
walifanya ngoma moja iliyoitwa Hands Across Africa ambao walikuwa ni
yeye, Fally Ipupa, 2Face, Amani, Movaizhaleine, 4X4, Navio na JK.
Licha ya Kiba kufika nyumbani kwa R Kelly, studio kwake, alishindwa
kutumia ushawishi wa msanii huyo mkubwa ili aweze kumsaidia kuingia
katika soko la Marekani. Mbaya zaidi, alishindwa pia kujitangaza
kimataifa kupitia Fally Ipupa na 2Face ambao ni maarufu kuliko yeye.
Ambwene Yessaya ‘AY’ alimkutanisha Diamond na Davido wa Nigeria na
akafanya naye Ngoma ya Number One Remix. Hapa kijana yule wa Tandale
hakutaka kuishia kwa msanii huyo pekee, akaingia nchini humo na kufanya
kazi na wasanii karibu wote wakubwa, wakiwemo waliofanikiwa zaidi, P
Square.
Hiyo imempa Diamond kujulikana zaidi na kumfanya kuwa mmoja wa wasanii
wakubwa Afrika, kiasi cha wengi kuhitaji kolabo naye kutoka Afrika
Kusini, Zimbabwe, Ivory Coast na kwingineko Afrika.