Tuesday, 28 June 2016

RAY J ADAI ‘UCHIZI’ WA KANYE WEST UNAKARIBIA KUUVUNJA UHUSIANO NA MCHUMBA WAKE

Ray J hajapenda kuwekwa kwenye video ya wimbo Famous wa Kanye West.

Kwenye video hiyo Ray J aliyewahi kuwa mpenzi wa Kim Kardashian, anaonekana akiwa mtupu amelala kitandani na mastaa wengine. Akiongea na Entertainment Tonight kwenye tuzo za BET, Ray J alisema alishangaa kuwepo kwenye video hiyo na hataki hata kuisikia.

“Don’t put me part of nothing that’s weird, that don’t make sense,” alisema. “Can I grow up?”

Ray J pia alisema kuwa mchumba wake, Princess Love, amechukizwa mno na video hiyo. “I’m engaged. My marriage is all messed up ‘cause of craziness. I’m not part of nothing crazy,” alisema Ray J.

Saturday, 25 June 2016

KILICHOJIRI KUHUSU WAZIRI MKUU WA UINGEREZA KUJIUZULU

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwa kuwashawishi raia wengi wa Uingereza, kusalia katika muungano wa Ulaya.
Cameron akiwa amejawa na huzuni amesema kuwa atasalia ofisini kwa siku tisini zijayo ndipo angatuke.
Bw Cameron ambaye ameongoza kampeini ya kusalia katika muungano wa EU amesema kauli hiyo imempa mshutuko mkubwa na kwa baadhi ya watu mashuhuri duniani.
Akiongea katika kikao cha waandishi wa habari nje ya afisi yake jijini London, Bwana Cameron amesema kuwa hahisi tena kuwa mtu muhimu wa kuliongoza taifa hilo kwa ufanisi chini ya uamuzi kama uliofanywa.
Sauti yake iliibua hisia hasa aliposena naipenda saana taifa hili na najihisi vizuri kuliongoza muda huo wote.
Bwana Cameron amesema kuwa kauli ya wengi sharti isikizwe japo hafahamu kwanini Waingereza walichukua uamuzi kama huo ilhali taifa hilo lilikuwa linaufanisi mkubwa sana ndani ya EU.Cameron akiwa ameandamana na mkewe amesema bila shaka sasa utawala mpya unahitajika utakaoweza kutathmini mbinu na mkataba wa kujiondoa kutoka kwa muungano huo wa bara Ulaya.

AJITENGENEZEA TATUU ILI AFANANE NA MWANAYE ALIYEFANYIWA UPASUAJI

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU

Baba wa miaka 28 nchini Marekani amenyoa kichwa chake na kuweka mchoro wa tatoo unaofanana na kovu la kichwa cha mwanawe aliyefanyiwa upasuaji.
Josh Marshall,ambaye anatoka Kansas aliingia katika shindano la kila mwaka linaloendeshwa na shirika la hisani kuhusu saratani ya watoto na kushinda taji la #BestbaldDad{baba mwenye kipara kizuri} wikendi iliopita.
Akikiri aliandika: Mimi na mwanangu katika hafla ya St. Baldtricks huko Wichita Kansas.

OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUHAKIKI VYAMA KUANZIA TAREHE 27 JUNI HADI TAREHE 06 JULAI, 2016

subscribe hapa 
Jaji Francis S.K. Mutungi
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini inapenda kuwafahamisha wananchi kwamba, kuanzia tarehe 27 Juni, 2016 hadi tarehe 06 Julai, 2016 itaendesha zoezi la uhakiki wa utekelezaji wa masharti ya usajili na matakwa mengine ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya Mwaka 1992, kwa Vyama vya Siasa vyenye usajilli wa kudumu kwa upande wa Tanzania Bara.


Zoezi hili ni endelevu kwani ni utekelezaji wa kawaida wa majukumu ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa. Hufanyika kila mwaka isipokuwa kwa mwaka jana (2015) kwa kuwa ulikuwa mwaka wa uchaguzi.

VYAKULA HIVI VITAKUSAIDIA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME

SUBSCRIBE HAPA
Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume – hii ni kulingana na utafiti uliofanyika. Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi ikiwemo ukosefu wa virutubisho muhimu mwilini. Ni jambo linaloweza kupata ufumbuzi kwa urahisi kama utazingatia kula vizuri na kufanya mazoezi.

Ili kuongeza stamina kwenye mapenzi si lazima kutumia madawa makali kama viagra au vilevi vikali. Madawa na pombe hukupa nguvu zinazoisha kwa muda mfupi, lakini hukuletea madhara makubwa yatakayokuandama kwa muda mrefu zaidi. Ili kupata suluhishi la uhakika ni vizuri

MTATUUA JAMANI VAENI CHUPI

SUBSCRIBE HAPA
https://youtu.be/BqEzeRCjiQs
Dada zetu siku hizi hawapendi kuvaa chupi kabisa.Wenyewe wanadai wanataka wapigwe upepo kunako. 
Sasa wengine nguo wanazovaa ni hatari tupu,unakuta kavaa nguo laini na mzigo kajaliwa huo mtikisiko sasa mpaka presha zinatupanda. 
Na wengine mpaka tamu yote inaonekana. Dada zetu hembu tuoneeni huruma

Friday, 24 June 2016

RAIS MAGUFULI ATANGAZA RASMI KUSITSHA AJIRA SERIKALINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema serikali imeamua kusimamisha kwa muda mfupi usiozidi miezi miwili zoezi la utoaji ajira mpya na upandishaji wa vyeo kwa watumishi wa umma.Dkt. John Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema serikali imeamua kusimamisha kwa muda mfupi usiozidi miezi miwili zoezi la utoaji ajira mpya na upandishaji wa vyeo kwa watumishi wa umma kwa lengo la kupisha uhakiki wa watumishi wa umma katika orodha ya malipo ya mshahara na kuondoa watumishi hewa.

SERIKALI YATOA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI MWAKA WA MASOMO 2016/2017

Ofisi ya Rais TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2016. Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na zisizo za Serikali.Wanafunzi
Jumla ya wanafunzi 65,720 wakiwemo wasichana 29,457 na wavulana 36,263 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi. Kati ya wanafunzi waliochaguliwa 34,064 wakiwemo wasichana 13,466 na wavulana 20,598 sawa na asilimia 52 watajiunga na masomo ya Sayansi na Hisabati; na wanafunzi 30,897 wakiwemo wasichana 15,445 na wavulana 15,452 sawa na

MAVOKO AITABILIA WCB MAKUBWA BARANI AFRICA

SUBSCRIBE HAPA
WCBAmesema anatamani angekuwa ameruhusiwa kusema mambo makubwa wanayoyapika ndani ya himaya yao. “Kiukweli kama ningeruhusiwa kutoa siri za kampuni, ningesema nani ana video ngapi lakini mi naomba watanzania waoneshe ushirikiano mkubwa kwa vijana wao,”

Thursday, 23 June 2016

KAAMKA NA NYOKA KITANDANI

BONYEZA HAPA SUBSCRIBE KUONA VIDEO KALI KILA SIKU
https://www.youtube.com/watch?v=Wi8fn43BXLM
Nyoka mkubwa ambaye alikuwa akiishi katika dari ya nyumba moja nchini Australia kwa takriban miaka 10 sasa ameamua kuingia katika chumba cha kulala.
Mwenye nyumba hiyo Trina Hibberd kutoka eneo la Queenland aliamka siku ya jumatatu na kumuona nyoka huyo mwenye urefu wa mita 5.2 amejipinda katika kitanda chake.
Aliwasha taa ya chumba hicho kabla ya mtaalam wa kushika nyoka Dave Goodwin kuwasli.

KOREA YA KASKAZINI YADAI UWEZO WA KUIRIPUA MAREKANI

BONYEZA HAPA SUBSCRIBE HUTAPITWA NA VIDEO ZOZOTE KALI
https://www.youtube.com/watch?v=RiSRyfG4FeM
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, amesema kuwa taifa lake linauwezo wa kushambulia maeneo ya Marekani, katika bahari ya Pacific.

KUMBE HONG KONG NDO MJI WA GHALI DUNIANI

BONYEZA HAPA SUBSCRIBE HUTAPITWA NA VIDEO KALI
https://www.youtube.com/watch?v=mTFQTl-J334
Mji wa Hong Kong ndio mji ghali zaidi duniani baada ya kuupiku mji wa Luanda, Angola kulingana na wafanyikazi wa kimataifa katika utafiti wa kila mwaka unaofanywa na shirika la Mercer.
Luanda ambao ulikuwa unaongoza orodha hiyo katika siku za hivi karibuni ulishuka kufuatia kudhoofika kwa sarufi yake.

RIHANNA ATOKWA NA MACHOZI KATIKA TAMASHA CHANZO HIKI HAPA

SUBSCRIBE HAPA ILI USIPITWE NA VIDEO KALI KILA SIKU HAPA 
https://www.youtube.com/watch?v=8hLupLJKJsw
Nyota wa muziki Rihanna alibubujikwa na machozi wakati wa tamasha mjni Dublin usiku wa kuamkia jana baada ya kuwasili akiwa amechelewa kwa dakika 30 katika ukumbi huo.
Mwanamuziki huyo alijawa na hisia wakati alipoanza kuimba wimbo wa 'Love The Way You Lie' aliyoimba kwa ushirikiano na mwanamuziki Eminem.
Mashabiki waliweka picha na video za mwanbamuziki huuo katika mitandao ya kijamii wakionyesha wasiwasi wao kuhusu kile kilichotokea.
Rihanna hakuelezea ni nini kilichotokea mbali na kuandika ujumbe kwatika mtandao

BABA WA DIAMOND PLATNUMZ AZIDIWA TENA

SUBSCRIBE HAPA KWA HABARI KWA NJIA YA VIDEOS
https://www.youtube.com/watch?v=PYv0tojX3rYMaskini wee! Baba wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Juma ‘Baba D’ anaumwa sana! Ndivyo Risasi Mchanganyiko linavyoweza kukuhabarisha baada ya mzazi huyo kuzidiwa ghafla na kukimbizwa hospitalini kutibiwa kwa msaada kutokana na kukosa fedha, twende hatua kwa hatua.

NI JUMAPILI ILIYOPITA
Tukio hilo la kusikitisha la baba mzazi wa msanii ambaye anatajwa kuwa na ukwasi wa kutosha Bongo, lilijiri Jumapili iliyopita ambapo kwa msaada wa Dk. Fadhili Emily wa Kituo cha Tiba cha Fadhaget Sanitarium kilichopo Mbezi Beach-Africana, Dar, baba Diamond alifikishwa kutoka nyumbani kwake Magomeni-Kagera hadi hospitalini hapo na kupatiwa matibabu.

Wednesday, 22 June 2016

KINGINE USICHOKIJUA KUHUSU HELIKOPTA INAYOTENGENEZWA TANZANIA

SUBSCRIBE HAPA KUONA VIDEO
 https://www.youtube.com/channel/UCohoLl9DK4oepzW_GdEL5sA?sub_confirmation=1
Raia nchini Tanzania wameamkia habari za kushangaza kwamba taifa hilo linaunda ndege.
Gazeti la Tanzania la Daily News limeripoti kwamba ndege hiyo aina ya helikopta inakaribia kukamilika na kwamba habari hiyo imekuwa ikisambaa barani Afrika kwa kasi.
Gazeti la Zambia, Observer linasema kuwa lengo la ndege hiyo itayokuwa ikibeba watu kwa bei rahisi itakabiliana na matatizo ya uchukuzi nchini humo.

Saturday, 18 June 2016

MAZITO KUHUSU RAY C NA MKURUGENZI WA SOBER HOUSE

SUBSCRIBE HAPA
https://www.youtube.com/channel/UCohoLl9DK4oepzW_GdEL5sA?annotation_id=annotation_1401368297&feature=iv&src_vid=8eCSdA3DiyY&sub_confirmation=1Mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’.
MKURUGENZI wa Kituo cha Kusaidia Waathilika wa Dawa Za Kulevya, Sober House, kilichopo Bagamoyo, Pwani, Karim Banji amekanusha taarifa zinazosambaa kuwa mwanamuziki mkongwe wa

Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amepelekwa katika kituo hicho.
Akizungumza na mtandao huu uliofunga safari mpaka kituoni hapo, Karim alisema kuwa ni kweli siku ya jana (Ijumaa) alipokea taarifa kutoka kwa watu wa karibu wa mwanamuziki huyo kuwa wange

UBELGIJI YAILAZA JAMHURI YA IRELAND

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU


Romelu Lukaku alifunga mabao mawili huku timu ya taifa la Ubelgiji ikipata ushindi wake wa kwanza katika michuano ya Euro2016 na kuharibu fursa ya timu ya Jamhuri ya Ireland kufika robo fainali.
Baada ya kukamilika kwa kipindi cha kwanza ambapo hakuna timu ilioona lango la

KUNA WATU WANATAMANI UHABA WA SUKARI UENDELEE PITIA MAONI YA WATU HAWA HAPA MTU WANGU

SUBSCRIBE HAPA HUTAPITWA NA VIDEO YOYOTE MTU WANGU
SOURCE NA MILLARDAYO.COM
Moja ya habari iliyoripotiwa ni hii kutoka gazeti la habari leo, yenye kichwa cha habari ‘Wenye kisukari watamani uhaba wa sukari uendelee’
Gazeti hilo limeripoti kuhusu Mwenyekiti wa chama cha wenye kisukari Tanzania, Prof Andrew Swai ambaye ametamani sukari iendelee kuadimika na bei yake kuwa juu ili matumizi yake yapungue kwa jamii kutokana na madhara ya bidhaa hiyo kwa mwili wa binadamu.
Gazeti hilo limesema Prof Swai ameyazungumza hayo jana jijini Dar es salaam wakati wa semina kwa waandishi wa habari iliyolenga kuelimisha juu ya magonjwa yasiyoambukiza  Prof Swai ambaye ni daktari katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alisema matumizi ya sukari ni moja ya kichocheo cha magonhjwa yasiyoambukiza kama kisukari na shinikizo la damu 

INAONEKANA KUNA TATIZO KATI YA PRODUCER NAHREEL NA KUNDI LA WEUSI KUNA CHANZO KIONE HAPA

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU
https://www.youtube.com/watch?v=XW8wPiVJxpEHivi karibuni kumeibuka taarifa kuwa ule ukaribu uliokuwepo mwanzo kati ya kundi la Navy Kenzo na Weusi umepotea tangu yalipofanyika mabadiliko ya studio ya The Industry. Nahreel amesema hilo siyo kweli bado ni washkaji kama zamani tofauti watu wanavyowachukulia.

Navy Kenzo na Weusi wamekuwa watu wa karibu sana hali iliyopelekea watu kuona wivu kwa kusema kuwa Nahreel anawapendelea wasanii hao kwa kuwatengenezea beat nzuri zaidi ya wasanii wengine.

Akiongea na Bongo5, Nahreel amesema kuwa wao na Weusi bado ni washkaji na bado wana kazi zao kwenye studio yake hazijatoka.

“Ni kweli utaratibu umebadilika na mimi kama mfanyabiashara mwingine lazima kila siku niendelee kuweka

Friday, 17 June 2016

TAARIFA YA KUZINGIRWA NYUMBA YA ASKOFU GWAJIMA, CHANZO HASA NI NINI? BOFYA HAPA

SUBSCRIBE HAPA
Taarifa ya kuzingirwa nyumba ya Askofu Gwajima, chanzo hasa ni nini? Bofya hapa
Watu sita wanaodhaniwa kuwa askari wa Jeshi la Polisi, wamevamia na kuizingira nyumba ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini, Josephat Gwajima.
Tukio hilo linadaiwa kutokea jana mchana katika makazi ya askofu huyo yaliyoko eneo la Salasala, Dar es Salaam.
Inadaiwa watu hao walifika nyumbani kwa askofu huyo wakiwa katika gari aina ya Toyota Land Cruiser, na kwenda kugonga geti ili wafunguliwe waingie ndani.
Picha mbalimbali zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii jana, ziliwaonyesha

advertise here