Wednesday, 30 March 2016

VIJUE VIDONDA VYA TUMBO KWA MAMA MJAMZITO

Vidonda vya tumbo kwa mama mjamzito
 
Vidonda vya tumbo kwa mama mjamzito
VIDONDA VYA TUMBO KWA MAMA MJAMZITO
Mwanamke mjamzito anaweza kupata vidonda vya tumbo kabla au baada ya ujauzito. Hata hivyo tafiti nyingi zinathibitisha idadi ya wanawake wajawazito wanaopatwa na vidonda vya tumbo kwa sasa ni ndogo sana.
Umakini unahitajika sana katika kumchunguza mama mjamzito ili kuelewa nini kitakuwa ndiyo chanzo cha vidonda vya tumbo kwake.
Mwanamke ambaye ulikuwa unaumwa vidonda vya tumbo hata kabla ya kushika ujauzito unaweza kuendelea kutumia baadhi ya dawa rafiki (hasa zitokanazo na vyakula na mimea) za kutibu au kuzuia dalili za

UKWELI KUHUSU UKIMWI

LAYIII

Ukimwi
Ukimwi

Fuatana nami katika makala hii ndefu, unaweza kuzima kabisa intaneti yako wakati ukiendelea kusoma.
‘’Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwakuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, Mimi nami nitawasahau watoto wako – Hosea 4: 6’’.
Ukweli Kuhusu UKIMWI ni maelezo yanayoipinga dhana inayosema ugonjwa wa UKIMWI husababishwa na Virusi Vya Ukimwi (V.V.U) kupitia maandiko kadhaa ambayo yameshaandikwa na wanasayansi wengine

DAWA MBADALA TISA(9) ZINAZOTIBU UTI

LAYIII
· 26/10/2014
Dawa za U.T.I
Dawa za U.T.I
U.T.I ni kifupi cha maneno ya kiingereza: ‘Urinary tract infections’, ni maambukizi ya bakteria katika njia ya mkojo. Ni moja ya ugonjwa unaowakumba sana wanawake kwa sehemu kubwa ingawa hata wanaume pia wanapatwa na ugonjwa huu. Zaidi ya wanawake milioni 8 wanauguwa ugonjwa huu kila mwaka nchini Marekani peke yake.
Kama ulishawahi kupatwa na U.T.I basi hutazisahau dalili zake ambazo mara nyingi huanza kwa hitaji la

UJUWE UGONJWA WA UTI CHANZO NA MATIBABU YAKE

LAYIII
ugonjwa wa uti

UTi ni ugonjwa ambao unasumbua watu wengi; watoto, vijana na watu wazima. UTI ni kifupisho cha Urinary Tract Infection. Huu ni ugonjwa ambao hushambulia figo (kidneys); ureters; ambayo ni mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo, kibofu cha mkojo (bladder) na urethra; sehemu inayotoa mkojo toka kwenye kibofu cha mkojo hadi nje ya mwili. Kwa kifupu ugonjwa wa UTI hushambulia viungo vinavyohusika katika

Tuesday, 29 March 2016

MAUMIVU WAKATI WA KUFANYA MAPENZI KWA MWANAMKE

LAYIII
MWANAMKE ACHEZA KIMAHABA OFISINI KWAKE MBELE YA WANAUME BONYEZA PICHA HII KUMSHUDIA

Maumivu wakati wa kufanya mapenzi ni hali inayojitokeza hasa kwa wanawake. Hujulikana kwa kitaalamu kama.

dyspareunia. Maumivu haya yanaweza kutokea wakati wa kufanya mapenzi au baada ya kufanya mapenzi. Sababu kuu za maumivu haya mara nyingi ni magonjwa ya zinaa na kupungua kwa majimaji ukeni wakati wa ngono.

SANAMU YA MGOMBEA URAIS NCHINI MAREKANI DONALD TRUMP YACHOMWA MEXICO SIKUKUU YA PASAKA

LAYIII
BONYEZA PICHA KUSIKILIZA TUKIO LA MTOTO ALIYEKUWA AMEKUFA KWA KIPINDI CHA MIAKA MITATU KUONEKANA NDANI YA NYUMBA YA TAJIRI MMOJA ANAYESADIKIWA KUWA NDUGU YAKE
https://www.youtube.com/watch?v=mUlBC6Nj-ls
Raia wa Mexico wanaosherehea sikukuu ya pasaka wamekuwa wakichoma sanamu za mgombea wa kiti cha urais kupitia chama cha Republicans Donald Trump.
Mojawapo ya tukio hilo la kushangaza limefanyika katika kitongoji kimoja cha wakaazi walio na kipato cha chini kiitwacho La Merced.

NDEGE YATEKWA ILI MFUNGWA MMOJA ATOLEWE GEREZANI HUKO MISRI

LAYIII
JIUNGE NAMI YOUTUBE KUMSKILIZA YULE MTOTO ALIYE KAMATIKA AKIWA HAI AKATI KAZIKWA MIAKA MITATU ILIYOPITA BONYEZA PICHA YOYOTE HAPO CHINI
Ndege ya Egypt Air imelazimika kutua kwa dharura kwenye uwanja wa ndege wa Larnarca, Cyprus baada ya Rubani kulazimishwa kufanya hivyo akiwa angani na ni baada ya mtekaji huyo kumtishia kwamba anaweza kuilipua ndege kama asingefanya anachoagizwa.
Anachokitaka abiria huyu mtekaji alietajwa kuwa Seif Eldin Mustafa ni pamoja na kuachiwa

ILIKUPITA HII YA WANARIADHA KULA SABUNI WAKIZANI NI CHAKULA BASI ISOME HAPA

LAYIII
Wanariadha waliokuwa wanakimbia mbio ndefu za marathon walijipata wamekula sabuni baada ya kudhania kwamba zilikuwa chakula kutokana na kukosa kuelewa lugha ya kiingereza.
Takriban wanariadha 20,000 katika mbio za Qinyuan marathon kusini mwa mkoa wa Guangdong nchini Uchina walipata zawadi mda mfupi baada ya kumaliza mbo hizo katika

SINGLE MPYA YA VANESSA MDEE NDANI YA TRACE TV

LAYIII

March 28 2016 single mpya ya Niroge‘ ya mwimbaji Mtanzania Vanessa Mdee umegongwa kama starter kwenye Television ya Ufaransa Trace TV ambayo matangazo yake yamekua yakionekana Afrika, video hii mpya iliwekwa kwenye

MANENO YA MBEYA CITY BAADA YA TAARIFA KUHUSU JUMA KASEJA KUSAMBAZWA

LAYII

Klabu ya Mbeya City ya jijini Mbeya ambayo inachezewa na golikipa wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga Juma Kaseja, mchana wa March 28 imeamua kuweka taarifa sawa kuhusiana na tetesi au uvumi uliokuwa unasambazwa mtandaoni kuhusuKaseja.

NKUIMESOGEZEA VIDEO MPYA YA MTANGAZAJI SAM SAGO

LAYIII
JIUNGE NAMI YOUTUBE BONYEZA PICHA HII HAPA
Mtangazaji wa Radio/TV Sam Misago ameendelea kuachia single zake mpya ikiwa hii ni single yake ya pili toka Watanzania wameanza kumuona kwenye maamuzi yake mapya ya kufanya muziki wa bongofleva anaoufanya kwa ku-rap, ukishaitazama hii video yake

NICK MINAJ AWAKA KWA HASIRA DHIDI YA MLINZI WAKE

LAYIII
MSIKILIZE HAPPYNESS HAPA BONYEZA PICHA YA NICK MINAJI
Hii ishu imetokea wakati Nicki Minaj akifanya show Dubai na kilichotokea ni kwamba Mlinzi wake huyo hakuwa makini na kazi, wakati Nicki yuko kwenye stage anaimba, akagundua kwamba upande wake wa kulia mmoja wa Walinzi wake hafanyi kazi inavyotakiwa maana kashika simu yake ya mkononi.

KATIKA VIDEO MPYA ZA BONGO FLEVA BASI HUTAIACHA NA HII YA AMINI "Hawajui"

LAYIII
Kwa harakaharaka ni zaidi ya miezi kumi na mbili imepita toka mara ya mwisho nimetazama video mpya ambayo Amini yuko ndani, ni mwimbaji mwenye miaka yake

Monday, 28 March 2016

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA OFFICIAL HAPPYNESS MY DADY

LAYIII
huwei acha kuskiliza wimbo huu kama mpenzi wa miondoko hii
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk

DOWNLOAD AUDIO MPYA YA DOGO ANAYEJIITA AGOO GIBRATINO DOGO KUTOKA ARUSHA

LAYIII


ULIPITWA NA VIDEO MPYA YA DOGO JANJA HII HAPA

LAYIII

DOWNLOAD VIDEO MPYA YA ADAMORE KIJANA ANAYEKUJA KWA KASI KATIKA ANGA YA BONGO FLEVA

LAYIII
Kijana anayekuja kasi katika tasnia ya music Tanzania

WALIOKATA TIKETI ZA CHAD KUREJESHEWA PESA ZAO

LAYIII
Taifa StarsWachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania 
Mashabiki wa soka waliokuwa wamenunua tiketi za mechi kati ya timu ya taifa ya Tanzania na Chad ambayo imetibuka watarejeshewa fedha zao.
Rais wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) Jamal Malinzi amesema utaratibu unawekwa kuwarejeshea mashabiki pesa zao.
Timu ya taifa ya Chad ‘Les Sao’ ilijiondoa katika michuano ya kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (AFCON) itakayofanyika mwaka 2017 nchini Gabon kutokana na matatizo ya kifedha.

CHAD YAJIONDOA, TANZANIA MASHAKANI

LAYIII

CAF: Chad yajiondoa mashindanoni na kuicha Tanzania Taifa Stars mashakani  
Chad imejiondoa kutoka kwenye kinyang'anyiro cha kufuzu kwa dimba la mataifa ya Afrika linalotarajiwa kufanyika mwakani huko Gabon.
Shirikisho la soka la Chad limefikia kauli hiyo kutokana na ukosefu wa fedha.
Katika barua iliyotumwa kwa shirikisho la soka la Tanzania,mwenyekiti wa shirikisho la soka la Chad

RAC ANASWA KAZIMIKA

LAYIII






























Ray C akiwa hoi na kinachodaiwa kuwa ni utumiaji wa madawa ya kulevya.
Stori:  Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: LICHA ya kutumia nguvu nyingi kukanusha habari zinazochapishwa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers kuwa, amerejea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amenaswa ‘laivu’ akiwa ‘ameangusha gari’ kando ya barabara, habari ndiyo hiyo!
Ray C ambaye kila anapoandikwa na Magazeti ya Global kuhusu kurejea kwenye unga, amekuwa

advertise here