Friday, 31 July 2015
BATA ALIYOKULA VEE MONEY SOUTH AFRIKA YALETA GUMZO MJINI
LAYIII
Utapenda kuona matembezi aliofanya VeeMoney Johannesburg South Africa. (Pichaz)
DR SLAA AJIBU MAPIGO TUHUMA ZA KUHAMA CHADEMA
LAYIII
Uchambuzi wa magazeti umekupita? Nimefanya jitihada ya kukusogezea zile zote kubwakubwa zilizoweka headlines kwa sauti yake kabisa kutoka Redioni.

Uchambuzi wa magazeti umekupita? Nimefanya jitihada ya kukusogezea zile zote kubwakubwa zilizoweka headlines kwa sauti yake kabisa kutoka Redioni.
Lowassa na Urais CHADEMA, Dk. Slaa?, BVR Dar? Lembeli na Esther Bulaya? Jangwani.. Majibu yako hapa (Audio)
Uchambuzi wa magazeti umekupita?
Nimefanya jitihada ya kukusogezea zile zote kubwakubwa zilizoweka
headlines kwa sauti yake kabisa kutoka Redioni.
Thursday, 30 July 2015
TUKIWA KATIKA HARAKATI ZA UCHAGUZI KIGOGO AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA.... NAYO CHADEMA YAZIDI KUPAAA KATIKA ANGA YA SIASA
LAYIII

This is very big shame for our country due to these day to day events, most of our leaders are not trustful thus why tried to participate in this dangerous business that destroy our human resources

This is very big shame for our country due to these day to day events, most of our leaders are not trustful thus why tried to participate in this dangerous business that destroy our human resources
LOWASSA GUMZO OFISI ZA CHADEMA
LAYIII
Aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa amechukua Fomu rasmi ya kugombea urais kupitia tiketi ya Chadema.
Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu amesema baada ya kuchukua fomu hizo Lowassa atakuwa tayari kuzunguka nchi nzima kujitambulisha kwa wananchi kama mgombea rasmi wa Chadema.
Wednesday, 29 July 2015
BREAKING NEWZ WEMA SEPETU NAYE NDANI YA UKAWA
LAYIII
Soon nitakupatia habari mpya kuhusu wema sepetu kujiunga na ukawa endelea kuwa nami na usiache kulike page yangu swaxbz

Soon nitakupatia habari mpya kuhusu wema sepetu kujiunga na ukawa endelea kuwa nami na usiache kulike page yangu swaxbz
CCM YATOA SIRI ZA LOWASSA NJE
LAYIII
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye
picha na Maktba
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye
picha na Maktba
Ndugu
wananchama wa Chama cha Mapinduzi-CCM ni wiki mbili tangu tulipo maliza
mchakato ndani ya chama kumpata mgombea wa Urais hapo Octoba 25, 2015.
Tuesday, 28 July 2015
BAHARI ILIYOGUNDULIWA NA WANASAYANSI KATIKA SAYARI YA MARTH YALETA KITENDAWILI KIKUBWA SANA KWA WAMAREKANI
LAYIII
WANASAYANSI wa anga kwa muda mrefu wamekuwa wakitafuta uwezekano wa maisha katika sayari nyingine, mbali na dunia.Kuna imani kuwa kwenye sayari hizo, huenda zikapatikana raslimali nyingi kwa urahisi kuliko duniani ambako binadamu wameishi mamilioni ya miaka hadi sasa.

Wataalamu hao wa anga wamekuwa wakifanya hivyo kwa muda sasa na moja ya mambo muhimu wanayoangalia ni upatikanaji wa maji. Popote maji yanapopatikana, wanaamini maisha
WANASAYANSI wa anga kwa muda mrefu wamekuwa wakitafuta uwezekano wa maisha katika sayari nyingine, mbali na dunia.Kuna imani kuwa kwenye sayari hizo, huenda zikapatikana raslimali nyingi kwa urahisi kuliko duniani ambako binadamu wameishi mamilioni ya miaka hadi sasa.

Wataalamu hao wa anga wamekuwa wakifanya hivyo kwa muda sasa na moja ya mambo muhimu wanayoangalia ni upatikanaji wa maji. Popote maji yanapopatikana, wanaamini maisha
HIVI NDIVYO CHADEMA ILIVYO MPOKEA LOWASSA
LAYIII
July 27 2015 Mbunge James Mbatia ambaye
ni mmoja ya Viongozi wa juu wa Jumuiya ya Vyama vinavyounda umoja wa
UKAWA aliongea maneno haya baada ya Viongozi wote kukaa Kikao na
kukubaliana >>>> “Nachukua fursa hii kumualika Mheshimiwa Lowassa ajiunge na UKAWA na tuko tayari kushirikiana nae kuiondoa CCM madarakani”— James Mbatia.
Lowassa kathibitisha kujiunga na UKAWA
LAYIII

Ikiwa ni siku chache tangu Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa kuenguliwa jina lake katika mbio za kuwania Urais na kamati ya maadili CCM, kumekuwepo na sintofahamu juu ya hatma ya mwanasiasa huyo.
Leo Lowassa kazungumza Bahari Beach, Dar es salaam pamoja na viongozi mbalimbali wa UKAWA walikutana na waandishi wa habari na kuzungumzia hatma yake kuelekea Ikulu pamoja na upungufu uliojitokeza wakati wa uchaguzi wa kumpata mgombea Urais wa CCM.
Ikiwa ni siku chache tangu Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa kuenguliwa jina lake katika mbio za kuwania Urais na kamati ya maadili CCM, kumekuwepo na sintofahamu juu ya hatma ya mwanasiasa huyo.
Leo Lowassa kazungumza Bahari Beach, Dar es salaam pamoja na viongozi mbalimbali wa UKAWA walikutana na waandishi wa habari na kuzungumzia hatma yake kuelekea Ikulu pamoja na upungufu uliojitokeza wakati wa uchaguzi wa kumpata mgombea Urais wa CCM.
Monday, 27 July 2015
HOT NEWZ JUU YA KIKAO CHA CHADEMA ALICHOHUDHURIA LOWASSA
layiii
BREAKING NEWS : LOWASA AJIUNGA CHADEMA RASMI, PICHA NA VIDEO ZA KILICHOONGELEWA LEO NMEKUWEKEA

Uamuzi wa Mhe Edward Lowassa kuhama kutoka kwenye chama chake cha enzi (CCM) na kujiunga na chama kingine cha siasa, ni uamuzi mgumu lakini sahihi kwa kadri itakavyompendeza.
Leo, watu wanabashiri endapo atafanya uamuzi huo, basi huo utakuwa ndio mwisho wake wa kisiasa na hata kiuchumi, kwa madai kwamba 'madudu' yake yote yatatumiwa kumbananisha kwenye kona na kummaliza kabisa ili asifurukute. Mmmmh!!!
BREAKING NEWS : LOWASA AJIUNGA CHADEMA RASMI, PICHA NA VIDEO ZA KILICHOONGELEWA LEO NMEKUWEKEA
Uamuzi wa Mhe Edward Lowassa kuhama kutoka kwenye chama chake cha enzi (CCM) na kujiunga na chama kingine cha siasa, ni uamuzi mgumu lakini sahihi kwa kadri itakavyompendeza.
Leo, watu wanabashiri endapo atafanya uamuzi huo, basi huo utakuwa ndio mwisho wake wa kisiasa na hata kiuchumi, kwa madai kwamba 'madudu' yake yote yatatumiwa kumbananisha kwenye kona na kummaliza kabisa ili asifurukute. Mmmmh!!!
Eti Lowassa Akijitoa CCM, Atafilisiwa na Kufanyiwa Hujuma, Nani Kasema?
MADAKTARI WA MAREKANI WAZIDI KUPAMBANA KUOKOA MAISHA YA MWANA SAYANSI ALIYEKUWA KAPOTEA MWEZINI
LAYIII
Madaktari
Nchini Marekani Jana Walizidi Kupambana Kujaribu Kuokoa Maisha Ya
Mwanasayansi Aliyepotelea Mwezini Miaka 180 Iliyopita.Aomba Kuandika
FORMULA Ya Kusaidia Kutengeneza Dawa Ambayo Itaweza Kutibu Magonjwa Yote
Kwa Wakati Mmoja.Yanayo Itesa Dunia Kwa Sasa.Video Yake Ipo Hapa
Akizungumza Kwa Tabu Sana>>>
LOWASSA ATIA UKAWA JOTO MBIO ZA URAIS........ ZITTO ACT KUSIMAMA YENYEWE URAIS 2015
LAYIII
Magazeti ya Tanzania July 27 2o15 na headlines zake kubwakubwa yako mtaani, hapa ninazo chache kwenye zile zilizobebwa leo.

Magazeti ya Tanzania July 27 2o15 na headlines zake kubwakubwa yako mtaani, hapa ninazo chache kwenye zile zilizobebwa leo.
Lowassa na UKAWA , NEC kuhusu Kampeni za Magufuli? ACT Wazalendo na UKAWA? (Audio)
Magazeti ya Tanzania July 27 2o15 na headlines zake kubwakubwa yako mtaani, hapa ninazo chache kwenye zile zilizobebwa leo.
Lowassa akoleza joto Urais UKAWA, asubiriwa kujiunga CHADEMA, ACT Wazalendo watamba kusimama kivyaovyao Uchaguzi 2015, CUF yabariki mgombea Urais UKAWA na Obama amaliza ziara yake ya siku 3 nchini Kenya.
Sunday, 26 July 2015
ILI KUFUZU KUINGIA FINAL ZA KOMBE LA DUNIA 2018 TANZANIA LAZIMA ITAKUTANA NA KITU HIKI
LAYIII
Safari ya kuelekea Kombe la Dunia 2018 Urusi imeshaanza kwa Shirikisho la Soka Ulimwenguni FIFA
kupanga makundi na ratiba ya michuano hiyo ili kupata timu
zitakazoshiriki fainali hiyo June 2018 Urusi… Droo ya kupanga makundi
imefanyika July 25 St Petersburg Urusi.
Kufuatia kupangwa kwa makundi hayo timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itaanza kucheza hatua ya mtoano na timu ya taifa ya Malawi October 5 2015 kabla ya
MWANASAYANSI ALIYEPOTEA MWEZINI ALEJEA TENA AKIWA NA MWONEKANO WA TOFAUTI KABISA INASEMEKANA ALIENS WALIMFANYIA UTAFITI
LAYIII

Kiumbe wa ajabu ametua los angels na baada ya kuchukuliwa kupelekwa katika vipimo ikagundulika kuwa ni miongoni mwa wanasayansi ambao waliwai kupotea wakiwa huko angani wakiwa wanafanya utafiti mwezini
Kiumbe wa ajabu ametua los angels na baada ya kuchukuliwa kupelekwa katika vipimo ikagundulika kuwa ni miongoni mwa wanasayansi ambao waliwai kupotea wakiwa huko angani wakiwa wanafanya utafiti mwezini
Subscribe to:
Posts (Atom)