Wednesday, 8 July 2015

HIKI NDICHO ABDU KIBA ANATAMANI KWA DIAMOND NA ALIKIBA

LAYIII
Post hii inamilikiwa na Abdu Kiba, msanii wa bongofleva ambaye ni mdogo wa Ali Kiba…. alifika TZA kwenye studio za Millard Ayo na kufanya Interview ya mambo mengi ambapo hii ni sehemu ya pili ya alichokiongea.

CHEKI ILE STYLE YA WACHINA YA KUFUTURU

LAYIII
Futari ni mlo ambao waislamu wengi hushirikiana kwa pamoja wakati wa jioni katika kipindi cha mfungo kwenye kipindi hiki cha Ramadhan… Kutokana na utaratibu ulivyo Futari huwa inaliwa wakati wa jioni.

Picha za Waislamu wa China wanavyoshiriki pamoja kwenye Futari!

chinese-muslim-brothers
Futari ni mlo ambao waislamu wengi hushirikiana kwa pamoja wakati wa jioni katika kipindi cha mfungo kwenye kipindi hiki cha Ramadhan… Kutokana na utaratibu ulivyo Futari huwa inaliwa wakati wa jioni.

MSIKIE MBUNGE WA SINGIDA HAPA AKIWAAGA WANANCHI WAKE

LAYIII
Leo July 08 2015 zimebaki saa chache kushuhudia Rais Jakaya Kikwete akivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wapo waliotangaza kwamba wanarudi Majimboni mwao kuomba tena Kura ili Uchaguzi wa August 2015 wapigiwe Kura za kuendelea kuwa Wabunge, lakini wapo walioaga pia.

Maneno ya Mbunge Mohammed Dewji alipokuwa akiaga watu wake Singida Mjini

MO DEWJI
Leo July 08 2015 zimebaki saa chache kushuhudia Rais Jakaya Kikwete akivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wapo waliotangaza kwamba wanarudi Majimboni mwao kuomba tena Kura ili Uchaguzi wa August 2015 wapigiwe Kura za kuendelea kuwa Wabunge, lakini wapo walioaga pia.
Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji ni Mfanyabiashara mkubwa lakini pia alikuwa Mbunge wa Jimbo hilo, leo alitua siungida na kuhutubia Wapigakura wake.
Hizi ni Tweets zake alizoandika kile alichowaambia wakati anaaga kutogombea tena Jimbo hilo.

 


5000 KUSIMAMISHWA KAZI MICROSOFT KISA HIKI HAPA

LAYIII
Kampuni ya Microsoft (MST Tech 30) ni miongoni mwa kampuni kubwa za teknolojia duniani, wakiwa ni watengenezaji wakubwa wa bidhaa za kompyuta na simu duniani.
Kampuni ya Microsoft ilikuwa na wafanyakazi 118,600 mpaka mwezi March 30 2015, kati yao wafanyakazi 60,000 walikuwa ndani ya Marekani… Mwaka 2014 kampuni hiyo iliwasimamisha kazi watu 18,000.. wengi walishangazwa na uamuzi huo.

Microsoft inasimamisha kazi watu zaidi ya 5,000… Sababu ni hii iliyotajwa hapa !!

microsoft2
Kampuni ya Microsoft (MST Tech 30) ni miongoni mwa kampuni kubwa za teknolojia duniani, wakiwa ni watengenezaji wakubwa wa bidhaa za kompyuta na simu duniani.
Kampuni ya Microsoft ilikuwa na wafanyakazi 118,600 mpaka mwezi March 30 2015, kati yao wafanyakazi 60,000 walikuwa ndani ya Marekani… Mwaka 2014 kampuni hiyo iliwasimamisha kazi watu 18,000.. wengi walishangazwa na uamuzi huo.
wafanyakazi3
Story kubwa kuhusu wao leo inahusu Kampuni hiyo kutangaza tena kuwasimamisha kazi wafanyakazi 7,800 na  hawatatoka Marekani  tu bali kwenye matawi yao yaliyoko sehemu mbalimbali Duniani.

Tuesday, 7 July 2015

BREAKINGS NEWZ HELICOPTER YA WABUNGE YAPATA AJALI

LAYIIII
Stori imeanza kuenea leo jioni July 07 2015 kwenye Mitandao ya Kijamii, inahusisha Mbunge wa CHADEMA kupata ajali ya Helicopter.

Ajali ya Helicopter imetokea leo July 07 2015, ndani yake alikuwemo Mbunge wa CHADEMA

CHADEMAAR
Stori imeanza kuenea leo jioni July 07 2015 kwenye Mitandao ya Kijamii, inahusisha Mbunge wa CHADEMA kupata ajali ya Helicopter.
Kwenye ukurasa wa Twitter wa CHADEMA zimeandikwa post zinazoonesha Mbunge Joshua Nassari ndiye aliyepata ajali hiyo ya Helicopter, amepelekwa Hospitali kwa ajili ya matibabu pamoja na rubani na watu wengine ambao hawajatajwa.

 


UTATAKA KUJUA ALICHO KIFANYA TI KABLA YA KURUDI KWAO BAADA YA ILE FIESTA CHEKI HAPA MTU WANGU

LAYIII


KATIKA MAGAZETI YA LEO 7/7/2014

LAYIII

Polisi wazuia wageni Dodoma, Lowassa asukiwa zengwe na hukumu ya kina Yona, Mramba…#MAGAZETINI JULY7

GOOO 
MWANANCHI
Kamati ya Maadili na Usalama ya CCM itakutana kesho mjini Dodoma kuanza shughuli yake ya kupitia taarifa za wagombea 38 wanaoomba kuwania urais na kisha kuwasilisha ushauri wake kwenye kikao cha Kamati Kuu inayokutana keshokutwa.
Habari kutoka ndani ya CCM zinasema kuwa kamati hiyo inayoongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete wakati mwingine hukasimisha shughuli zake kwa kamati ndogo inayoketi chini ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Philip Mangula.

MRAMBA ALIVOCHUKULIWA NA POLICE CHECK HAPA

LAYIII
July 6 2015 Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu iliwahukumu mawaziri wa zamani kwenye serikali ya Tanzania awamu ya tatu, kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na faini ya milioni 5 baada ya kupatikana na hatia.

Video: Basil Mramba na Daniel Yona walivyochukuliwa na Polisi kupelekwa gere

MAPYA YAIBUKA FLOYD MAYWETHER HANA MKANDA WA USHINDI TENA

LAYIII

Floyd MONEY
Bingwa Floyd Mayweather kaingia kwenye headlines nyingine, kila mtu anajua kwamba Floyd ndio anayeongoza kwa kulipwa vizuri kwenye list ya Wanamichezo duniani, ni kweli kashindwa kulipa  dola 200,000?

Floyd Mayweather amenyang’anywa mkanda wake aliomshinda Manny Pacquiao?

LIJUE DAU LA KIUNGO HUYU HUKO BARCELONA

LAYIII
Klabu ya Barcelona imefikia makubaliano na Atletico Madrid kuhusu kumsajili kiungo Arda Turan kwa Pauni Milioni 29.
Winga huyo alizivutia pia klabu za Chelsea na Manchester United, lakini Barcelona imeshinda mbio za kuwania saini yake baada ya kufikiana makubaliano.

Barcelona yamaliza mpango wa kunasa saini ya kiungo huyu..unajua ni kwa dau gani?…

turan
Klabu ya Barcelona imefikia makubaliano na Atletico Madrid kuhusu kumsajili kiungo Arda Turan kwa Pauni Milioni 29.
Winga huyo alizivutia pia klabu za Chelsea na Manchester United, lakini Barcelona imeshinda mbio za kuwania saini yake baada ya kufikiana makubaliano.

KENYA 14 WAUWAWA NA ALSHABABU

LAYIII
Takribani watu 14 wameuawa, 11 wakijeruhiwa baada ya Al-Shabaab kushambulia kijiji cha Soko Mbuzi kilichopo jirani na Mji wa Mandera, Kaskazini Mashariki mwa Kenya usiku wa kuamkia leo. Mamlaka husika huko Mandera yathibitisha.

WATU 14 WAUAWA NA AL-SHABAAB NCHINI KENYA



Maofisa wa polisi wakiwa eneo la tukio lilipotokea shambulio lililoua watu 14 usiku wa kuamkia leo.
Takribani watu 14 wameuawa, 11 wakijeruhiwa baada ya Al-Shabaab kushambulia kijiji cha Soko Mbuzi kilichopo jirani na Mji wa Mandera, Kaskazini Mashariki mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.

48 CCM ANAKATWA HAKATWI

LAYIII
WAKATI jina la waziri mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa likitajwa kila kona katika kinyang’anyiro cha kusaka nafasi ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), saa 48 zimesalia kufahamu kuwa jina la mgombea huyo litakatwa au halitakatwa katika mchujo wa kwanza, Uwazi linashuka nayo.

SAA 48 ZA ANAKATWA, HAKATWI

MAKONGORO OGING NA OJUKU ABRAHAM
WAKATI jina la waziri mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa likitajwa kila kona katika kinyang’anyiro cha kusaka nafasi ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), saa 48

Monday, 6 July 2015

WALIOMTESA DROGBA HAWA HAPA

LAYIII
Gwiji wa zamani wa soka la kimataifa wa Ivory Coast na klabu ya Chelsea, Didier Drogba, ni mmoja wa washambuliaji bora zaidi waliowahi kutamba katika barani Afrika, Asia na Ulaya.

Drogba kawataja hawa mabeki kwamba ndio waliomsumbua zaidi Uwanjani..

Didier-Drogba-Wallpaper_0
Didier Drogba
Gwiji wa zamani wa soka la kimataifa wa Ivory Coast na klabu ya Chelsea,

BAADA YA KUKOSA HOUSE GIRL SIARA AMEAMUA HAYA

LAYIII
Msanii maarufu wa R&B Ciara hivi karibuni alifanya interview kuzungumzia maisha yake ya kuwa mama yakoje na anawezaje kuwa mama na mwanamuziki kwa wakati mmoja… Ciara alikuwa na mengi ya kuongea kuhusu life yake  ya sasa hivi.

Ciara amekosa Housegirl? Haya ndio maisha yake na mtoto wake.. (Pichaz)

ciara-facebook-ciara
Msanii maarufu wa R&B Ciara hivi karibuni alifanya interview kuzungumzia maisha yake ya kuwa mama yakoje na anawezaje kuwa mama na mwanamuziki kwa wakati mmoja… Ciara alikuwa na mengi ya kuongea kuhusu life yake  ya sasa hivi

Majibu ya Diamond Platnumz kuhusu beef, uchawi, kulipia collabo, Team za mitandaoni.. (Audio)

layiii
MONDIII
Diamond Platnumz alikuwa live kwenye XXL @CloudsFM, kuna vingi kaviongea Exclusive, nilipata nafasi kumsikiliza na hivi ni baadhi ya vitu alivyoviongelea leo June 6 2015.
Unadhani Diamond anaamini uchawi >>> “Japokuwa vitabu vya dini vinasema ‘ndele’ zipo lakini  haupaswi kuamini… Kuamini ni sawa na kumkiuka Mwenyezi MUNGU”>>>

NYIMBO ISHIRINI ZA DIAMOND KABLA HAJATOKA

LAYIII



Diamond kabla ya mafanikio
 Kampuni ya Coca-Cola Afrika ya Kati, Mashariki na Magharibi imezindua kampeni mahsusi ijulikanayo kama ‘Sababu Bilioni za Kuamini’ inayolenga kuwahamasisha vijana wa Kitanzania kujiamini pindi wanapopita katika changamoto mbalimbali zinazowakabili kimaisha kabla ya kutimiza ndoto zao. Kampeni hiyo ya miezi mitatu itaendeshwa nchi nzima.
Nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ni miongoni mwa vijana wanaotolewa mfano katika dhana hii. Alitengeneza single zaidi ya 20 kabla ya kufanikiwa na hatimaye kufikia katika mafanikio makubwa aliyonayo sasa..

JINSI CHRISTIAN RONALDO ALIVOWAACHA WAANDISHI KWENYE MATAA

LAYIII
Mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo ametoa kali  baada ya kuondoka katikati ya kipindi cha runinga wakati akihojiwa na Televisheni ya Sports News.
Kitendo cha mchezaji huyo kuondoka kulisababishwa na kuulizwa swali kuhusu mchezaji mwenzake beki Sergio Ramos. kama ataendelea kubaki Real Madrid au kujinga na Manchester United swali lililoonekana kumkera.

KATIKA MAGAZETI YA LEO CHEKI 6/7/2015

LAYIII

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

BZMORNING TANZANIA NA MAGAZETI YA LEO 6/7/2015

LAYIII

PEPA 
NIPASHE

#MAGAZETINI JULY6…Mume kumnyonga mjamzito, wiki ngumu CCM na kompyuta yaibiwa kituo cha kupigakura


Zikiwa zimebakia siku sita kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpata mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, kura ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia (REDET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, inamweka kileleni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuwa changuo la kwanza la wengi kwa kujipatia asilimia 27.0 ndani ya chama hicho.
Wakati Lowassa akiwafunika watia nia wenzake ndani ya CCM, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa, anawafunika wenzake kwenye Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) akiwa changuo la wengi kwa asilimia 23.1.

CHEKI MAREKANI WALIVO SHEREKEA KOMBE LA DUNIA HAPA

LAYIII
Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya.
Katika mchezo huo Marekani ilifanikiwa kutawala mchezo kwa muda wote kwani ndani ya dakika 15 tayari wailikua wameshafunga mabao 4 na kuwachanganya zaidi wapinzani wao.
cha
Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya.

advertise here