Friday, 10 April 2015

TASWIRA YA MGOMO WA MADEREVA JIJINI DAR

NA SWAXBZ LAYIII
AW1A1307
Kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii, redioni na TV ni ripoti ya story kubwa ya mgomo wa mabasi ya abiria, nikasogea Kituo cha Mabasi Ubungo kuona hali ilivyo.
Vurugu kubwa zimezuka, yakachomwa matairi ya magari barabar

Monday, 6 April 2015

MALEGEND AMBAO NI WAJASILIAMALI WAKUBWA WA KUIGWA

NA SWAXBZ LAYIIIIIIIIII

Sean John ' P. Diddy'.
LICHA ya wasanii nyota wa filamu wa Hollywood nchini Marekani kuingiza fedha nyingi kutokana na kuigiza na kudhaminiwa na makampuni makubwa, waigizaji wa Nigeria waliochini ya Nollywood, mambo yao hayaendi vizuri kama wanavyotaka.
Pamoja na kupata mafanikio makubwa katika kuigiza, waigizaji wa Marekani wamejiingiza katika sanaa nyingine nyingi kama yale ya fasheni za mavazi ambako wameingiza mkwanja mkubwa.
Nyota ambao wanaingiza mkwanja mkubwa kila mwaka katika anga hizo, kwa mujibu wa gazeti la Forbes ni pamoja na Nicole Richie ambayo imemwingizia Dola milioni 2, Rachel Zoe Collection (milioni 20), Justin Timberlake na rafiki yake Trace Ayala (milioni 50), Gwen Stefani (milioni 90) na . Victoria Beckham milioni 95) alizovuna mnamo mwaka 2011 peke yake.

Friday, 3 April 2015

ETI DAR KUNA KELELE E BANA EEE MIJI HII NI NUKSI KWA KELELE DUNIANI

SWAXBZ LAYIIIII BLOGGER
nyc-skyline
Moja ya ishu zilizojadiliwa Bungeni katika vikao vilivyofanyika ndani ya wiki hii ni suala la kelele ndani ya Miji Mikubwa TZ kam vile Dar.. Wabunge wakasema ikiwezekana kuwepo utaratibu wa kufungia kumbi za sherehe ambazo zinaongoza kwa kupiga muziki na kusababisha kero ya kelele.

BAADA YA MUDA KIDOGO NANII AKIWA RAISI DAR USAFIRI NI HIVI

NA SWAXBZ LAYIIIIII
Tram 5Nakupeleka moja kwa moja kwenye jiji la Barcelona Spain, ni jiji ambalo mpaka mwaka 2011 lilikua na watu zaidi ya milioni moja na laki sita ndani yake na sasa wanasema kuna zaidi ya watu milioni 5 ambapo ni jiji la pili kwa ukubwa kwenye nchi ya Hispania.
Barca 3Unaambiwa usafiri huu wa Tram ulianza kufanya kazi kwenye mji wa Barcelona toka mwaka 1872 lakini barabara zilizokua

Wednesday, 1 April 2015

KWA WANATECHNOLOGIA SASA ANGALIA JINSI YA KUPLANT NUCLEAR { I MEAN NUCLEAR INSTALLATION}

Pressurized Water Reactors (also known as PWRs) keep water under pressure so that it heats, but does not boil. This heated water is circulated through tubes in steam generators, allowing the water in the steam generators to turn to steam, which then turns the turbine generator. Water from the reactor and the water that is turned into steam are in separate systems and do not mix.
View animated image of a Pressurized Water Reactor
Source: Nuclear Regulatory Commission

amizing houses,SWAXBZ LAYIIII

.Maajabu ya kuvutia.. yani zimetengenezwa nyumba na Hotel kwa ubunifu wa nguvu mtu wangu.
Nyumba za vioo, nyumba za miti.. Ziko nyingi hapa mtu wangu, unaweza kuzicheki

Monday, 30 March 2015

VYUMBA BORA VYA KULALA NA MIPANGILIO YAKE

SWAXBZ KAYIIII

7 amazing comic book hotel rooms

7 amazing comic book hotel rooms
Look at these incredible 7 hotel rooms comics. We will make sure that the images you see then give you eager to travel. Join in and be not with the urge! The world is waiting with open doors!
Surely I will not have the need to tell you, but still, I will: tourism, in short, is one of the most fun things that humans can do. Having the opportunity to meet and marvel at the variety of scenarios that the world makes available, priceless! If you are a person who constantly does, you’ll agree.

HOTEL 9 BORA NA ZA AJABU DUNIANI

NA SWAXBZ LAYIII SWAG BOY
9 strangest Hotels of the worldThese are the 9 most strange hotels in the world.Do not overlook this curious gallery that will teach you that you can stay in unimaginable places! And besides this, it will prompt to travel more, of course.

UKIFANYA SAFARI ZAKO KWA STYLE HII AMINI TU UTASAVE PESA YAKO SANA NA UTAUPA MWILI WAKO MAZOEZI VYA KUTOSHA NA WALA MAGONJWA HUTAYAPATA OVYO OVYO

9 Tips for traveling without moneyDo not stop seeing these 9 tips to travel without money. Do you like extreme experiences? Are you passionate about live new moments? Pay attention to this post!

NI KWA MARA NYINGINE TENA NAKULETEA MZEE MZIMA RICH MAN KUTOKA DUBAI NA BAADHI YA BICHA ZAKE NAMBIE UNAJIFUNZA NINI

33 incredible pictures of rich men in DubaiThese 33 amazing Pictures of rich men in Dubai. They will leave you impressed.
Dubai is an incredible beauty. Dubai is one of the seven emirates that make up the United Arab Emirates. Its strategic location has made it a strong commercial focus, especially with India. Although now Dubai is

HUYU NDIO KIBOKO YAO>>>HAKUNA CHA ZARI, HUDDAH,wema WALA VERA SIDIKA>>>JIONEE mwenyewe




Tuesday, 24 March 2015

Nimeshare na wewe hizi Pichaz kutoka Maisha Club show ya Meninah

4X7A0999
Siku ya juzi March 21 2015 staa wa muziki Bongo, Meninah alifanya party na watu wake wa nguvu hapahapa Dar ambapo party hiyo aliifanya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.

kama miundo mbinu tanzania ni mizuri basi swala la mafuriko tanzania tutaweza epuka embu cheki mvua ilivyo fanya kitu mbaya dar jana

Na swaxbz layiiiiiiiii
DSC_4736Kwenye zile zilizoandikwa magazetini na kuchambuliwa kwenye Power Breakfast @CloudsFM leo March 23, iko story ya watu watano kufariki kutokana na mvua iliyonyesha Dar, makundi mbalimbali kuibuka uchaguzi wa Urais 2015 na stori ya albino kulindwa kwa teknolojia ya simu ya mkononi.

Yemi Alade alivyo wapagawisha fans wake italy…

yemi6Yemi Alade yupo Rome italy akiendelea na ziara yake ya kimuziki ambapo akiwa nchini humo alifanya shoo ya aina yake iliyopokewa na mashabiki kwa furaha na mashabiki ambao walifurika kumshuhudia

Wednesday, 18 March 2015

ETI MAREKANI HAKUNA NJAA EMBU ONA WAKAZI WENGI WALIVO JITUMA KUJENGA NYUMBA ZA MAKOPO

NA SWAXBZ LAYIIIIIIIIII SWAG BOY
plastic-bottle-1
HAPA JAMAA ANAJENGA NA ANAPIMA KINOUMA NOUMA
ICHEKI HOUSE NA UKUTA ULIPOFIKIA HAPA

TRUE LOVE: RIHANNA ACCOMPANIES CHRIS BROWN TO COURT HEARING

angazo

Rihanna accompanied her man Chris Brown to his court hearing yesterday Wednesday February 6th. 

Chris Brown's ongoing probation case stems from assaulting Rihanna in 2009. 

Yesterday was his progress report hearing, where he faced allegations that he lied about completing his community

NOUMA SANA DAR ES SALAAM KA MBELEE MANAKE

EWURA na ishu ya umeme kukatika.. Polisi na aliyemzushia kifo mama Maria Nyerere je?

Manzese
Kuna stori ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu

Hii Good news kutoka kwa rapper Fid Q kashea na sisi iko hapa…

.
.
Good news ninayokusogezea ni hii inamuhusu rapper Fareed Kubanda ambaye leo hii amekabidhiwa tuzo ya Champion of the 2015 European year for development in

BONDIA FRANCIS CHEKA AACHIWA, KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE

BONDIA nyota wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka aliyehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na faini ya shilingi milioni moja, hapo

kiba kutambulisha style yake ya cheketua

GOOD News ni kwamba, mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘Mwana Dar Live’ ameshafuta kiti chake na Aprili 5, mwaka huu (Sikukuu ya Pasaka) ndani ya Uwanja wa

advertise here