Friday 31 March 2017

KIMENUKAAA..SHIGONGO AMCHANA LIVE DIAMOND,AFUNGUKA HAYA MAZITO NA MAKUBWA..!!!




Shigongo ni mmoja wa waandaji wakubwa wa matamasha kupitia ukumbi wake wa Dar Live na huenda miaka ya hivi karibuni ameshindwa kuzimudu gharama za kumchukua kutumbuiza. Kupitia Instagram, haya ndio mambo aliyoandika:

RAIS AMFUKUZA KAZI WAZIRI WAFEDHA

Kwa siku za hivi karibuni Zuma amekuwa na ushawishi mdogo ndani na nje ya chama cha ANC

HAYA NDIYO MANENO YA MWAKYEMBE ALIPOKUWA AKIMPOKEA NAY WA MITEGO




Rapper Nay wa Mitego, Alhamis hii aliitikia wito wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe kukutana naye mjini Dodoma kwaajili ya kuzungumza namna ya kuuboresha wimbo wake Wapo ambao licha ya kuikosoa vikali serikali pamoja na Rais Dkt John Magufuli umepokelewa kwa mikono miwili.

Tuesday 28 March 2017

KAULI YA BASATA BAADA YA WIMBO WA NEY KURUHUSIWA KUPITIA MKONO WA RAIS




Baraza la Sanaa Taifa ‘BATASA’ limerudi tena na kuufungilia wimbo ‘Wapo’ wa Nay wa Mitego kwa madai waliufungia ili kupisha uchunguzi wa kipolisi upite baada ya jeshi hilo kumshikilia rapa huyo kwa siku mbili kutokana na wimbo huyo.

Awali baraza hilo lilitangaza kuufungia wimbo huo kwa madai hauna maadili kabla ya Rais Magufuli kutoa tamko la wimbo huo kuendelea kupigwa kwa kuwa hauna tatizo lolote.

HII HAPA SABABU YA LIPUMBA KUMTUMBUA MAALIM SEIF



Baraza Kuu la Uongozi Taifa la Chama cha Wananchi (CUF) leo limemvua, Maalim Seif nafasi ya Ukatibu Mkuu wa Chama hicho na nafasi hiyo kukaimiwa Bi. Magdalena Hamis Sakaya.

Sunday 26 March 2017

POLISI WATAJA SABABU YA KUMKAMATA MSANII NAY WA MITEGO

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro, Kamanda Ulrich Matei amethibitisha kukamatwa kwa msanii Nay wa Mitego usiku wa kuamkia leo mkoani Morogoro.


Friday 24 March 2017

MAGUFULI AONYA WAMILIKI WA MAGAZETI,




RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, amechukizwa na mwenendo wa utendaji kazi wa vyombo vya habari hususan magazeti, akiwaonya wamiliki wa vyombo hivyo vya habari katika hali inayotafsirika kuwa kulenga “kuwashughulikia”.

RAIS JOHN MAGUFULI: NIKISEMA UKWELI, WATANZANIA WENYE UCHUNGU MTALIA!!!




Rais wetu kipenzi, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, jana alifanya yale ambayo huwa anayapatia kweli kweli!! 

Kwa kutumia umahiri mkubwa kabisa, bila shaka aki-apply mbinu za kijeshi alizowahi kujifunza JKT, Mheshimiwa Magufuli aliingia bandarini kwa kushitukiza hali iliyowafanya watu wa pale wapigwe

WAZIRI MWIGULU NCHEMBA: NAPE NNAUYE SIYO JAMBAZI,HANA RECORD YA UHALIFU...NAAGIZA ASKARI ALIYEMTOLEA BASTOLA ACHUKULIWE HATUA


Kufuatia tukio la mtu mmoja aliyedaiwa kuwa ni Askari kumtishia Mbunge Nape Nnauye kwa kutumia bastola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amesema tukio lile halikuwa sahihi na kuagiza hatua zichukuliwe.


Waziri Mwigulu Nchemba ambaye ndiye mwenye dhamana ya kusimamia usalama wa raia na mali zao amesema kuwa, Nape Nnauye si jambazi, hakuwahi kuwa na taarifa za uhalifu, sasa kwanini mtu amtishe kwa bastola tena mbele ya umati mkubwa uliojaa waandishi wa habari?

Thursday 23 March 2017

NAPE NILIKUTA CCM SHIMONI NIKAITOA


Nape Nnauye amezungumza na Waandishi wa habari akiwa juu ya gari lake leo maeneo ya St. Peter Osterbay Dar es salaam ikiwa ni saa chache kabla ya taarifa kutoka IKULU kutangaza kwamba nafasi yake ya Waziri wa Habari amepewa Dr. Mwakyembe, hii ni Sentensi hapa chini ya jinsi ilivyokua


"Nataka aliyeinua bastola hapa aje aseme ameiinua kwa sababu gani" - Nape Nnauye

Tuesday 21 March 2017

USHINDI WA TUNDU LISSU LIFT YA SERIKALI


Serikali imekuwa lift ya ushindi wa Tundu Lissu TLS (Tanganyika Law Society). Ilipokuwa ikikazana kumkamata, ikawa inamtengeneza kuwa mgombea wa pekee. Wagombea wengine wakawa hawatajwi. Wakafunikwa kabisa. 
Kwa hali hiyo ulitarajia nini? Mabavu ni zero kama akili haishiriki vizuri kwenye vitendo.

Serikali kama walitaka kucheza michezo kumzuia Lissu walipaswa kutimia njia tofauti.

Njia ya kumkamata na kutoa vitisho vya kuifuta TLS, ilikuwa inampa promotion kubwa Lissu kwa mawakili wenzake na nchi kwa jumla.

Serikali ilitakiwa kufahamu kuwa TLS ni chama cha wasomi wenye kujitambua. Ukitumia njia ya

Sunday 19 March 2017

HII HAPA TAARIFA YA MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA KUHUSU MAKONDA KUVAMIA CLOUDS SHILAWADU

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikiaminika ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiingia Clouds Media akiwa na askari, Uongozi wa Clouds Media Group umetoa taarifa rasmi leo March 19 2017.

Taarifa imesema…>>>’Kumekuwa na habari mbalimbali kuhusu Clouds Media Group na viongozi mbalimbali akiwemo Askofu Josephat Gwajima na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda. Kiini

NAPE NNAUYE KUTINGA CLOUDSFM NI KUHUSIANA NA KILICHOTOKEA DHIDI YA KINACHOSEMWA UVAMIZI WA OFISI HIYO


Waziri Nape: Nakwenda Clouds Media kuona kilichotokea, Ni kuhusu Ishu ya RC Makonda
Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikiaminika ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiingia Clouds Media akiwa na askari, Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye kupitia account yake ya twitter ameyaandika haya……

Saturday 18 March 2017

TUNDU LISSU AANDIKA HISTORIA NYINGINE MTU WANGU


Mwanasheria Mkuu Chadema Tundu Lissu achaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa jumla ya kura 1,411 kati ya 1,682 zilizopigwa.
Mwanasiasa Julius Mtatiro ambaye kwa sasa yupo jijini Arusha amethibitisha ushindi huo wa Tundu Lissu 
"Wakili msomi Mhe.Tundu Lissu ameshinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata kura

TUNDU LISSU ASHINDA URAIS TLS KWA KISHINDO

Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu Mapema Hii Leo ameweza kuibuka na ushindi wa kishindo cha Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kwa Kujizolea Asilimia 88 ya Kura Zote.

LIZUIE KWAPA LAKO KUNUKA KWA NJIA HIZI HAPA

Kikwapa  ni  tatizo la kutoa harufu mbaya  sehemu ya kwapani katika mwili wa binadamu. Tatizo la kikwapa husababishwa na bakteria wanaovutiwa na jasho au unyevunyevu  chini ya kwapa.
Tatizo la Kikwapa ni kero kwa sababu husababisha mtu kutoa harufu inayokuwa kero kwako na kwa mtu mwingine aliyeko jirani yako.

Ili kwapa lako liwe na harufu nzuri, kavu na safi fanya yafuatayo
  • Paka kipande cha limao kwenye kwapa na kuacha lipate hewa  safi ili kuua vijidudu na kutoa tezi za jasho kuondoa harufu mbaya
  • Vaa nguo safi zenye nyuzinyuzi za asili kama pamba, hariri na sufu zitasaidia kufyonza

UJUMBE WA LOWASSA KWA RAIS MAGUFULI

Image result for lowassaAliyekuwa Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa, amemtaka Rais Dkt. John Magufuli kuifuta kauli yake ya kuwataka wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wasishirikiane na wabunge wa vyama vya upinzani.

KIAINA AINA JPM AMDISI WEMA SEPETU KUHAMA CHAMA


Magufuli akiwakaribisha wasanii kwenye mkutano wa CCM Dodoma aliwasifu kuwa ni wasanii wazuri na sio kama yule mwingine aliyehamia upande wa pili

Wednesday 15 March 2017

ZIMEBAKI SIKU 5 MSHINDI KUTANGAZWA, JISAJILI SASA NAFASI NI YAKO USIFE MOYO



Umeshawahi Kufikiria Kupata Gari la Bure bila Kulipa Chochote, Basi hii Kampuni ya Cars From Japan Wanakupa Nafasi Hiyo na ww miliki Gari bure.

Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo, Nirahisi sana wala usihofu

Tuesday 14 March 2017

MVUA DAR YAUA MTOTO AKIJARIBU KUVUKA MTO MSIMBAZI


Na Regina Mkonde
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam jumanne ya Machi 13, 2017 katika eneo la Mongo la Ndege, limeokota mwili wa mtoto wa kike aliyefahamika kwa jina la Imelda Ngonyani (13) aliyekufa maji wakati akijaribu kuvuka mto Msimbazi.

Akizungumza na waandishi wa habari Machi 14, 2017, Kamishna wa Kanda hiyo, Kamanda Simon Sirro amesema marehemu huyo kabla ya kufa maji alikuwa pamoja na wenzake watano walionusurika kifo wakielekea shule ya Msingi ya Mongo la Ndege.

NIMEKUSOGEZEA KATUNI KALI ZA LEO



Monday 6 March 2017

GWAJIMA NNA MAZAGA ZAGA KIBAO KUHUSU DAUDI BASHITE


Askofu mkuu wa Kanisa la Ufufuo na uzima ,Bwn Josephat Gwajima amesema kwamba, vita ndo kwanza imeanza. Ana nyaraka zote zinazoonesha uhalali wa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwamba jina lake halisi ni Daudi Bashite na kwamba kama anabisha hakuina cheti, ajitokeze kuthibitisha swala hilo.

" Nilichorusha ni kijipande tu, matokeo yake mnayaona. Ajiyokeze akanushe swala hilo kwa evidence

Sunday 5 March 2017

TRUMP ATAKA OBAMA ACHUNGUZWE KWA KUTUMIA MAMLAKA YA URAIS VIBAYA

BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NASI SOUNDCLOUDS

Rais wa Marekani Donald Trump ametaka bunge la Congress kuchunguza ikiwa Barack Obama alitumia vibaya mamlaka yake wakati wa kampeni ya uchaguzi siku moja baada ya kudai kuwa Obama alikuwa akidukua simu zake.

Msemaji wa Trump alisema kwa uchunguzi kuhusu kuingia kwa Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani utasaidia uchunguzi huo.

Trump alitoa madai hayo kwenye mtandao wa tittwer lakini hakutoa ushahidi wowote.

Aliyekuwa mkuu wa ujasusi nchini Marekani James Clapper, wakati wa kampeni alikana

SERIKALI YATEUWA WAZIRI WA MASUALA YA NGONO


BONYEZA PICHA KUONA VIDEO HAPA MTU WANGU

Bunge la Uhispania

Katika juhudi za kuongeza idadi ya watu inayoendelea kupungua, nchini Uhispania sasa serikali imeamua kumteua waziri wa masuala ya ngono.

Waziri mkuu wa nchi hiyo Mariano Rajoy amethibitisha uteuzi wa Edelmira Barreira kuwa afisa mkuu wa masuala ya ngono.

Hatua ya kubuni wizara nzima ya maswala ya ngono na mahaba huko Uhispania imetokana na hofu waliyo nayo wanasiasa.

Wakati kwengineko duniani watu wana hofu kwamba idadi ya watu nchini mwao inaongezeka kushinda rasilmali zilizopo , huko Spain hofu ni kwamba idadi ya

WEMA SEPETU AMTEMBELEA MBUNGE GODBLESS LEMA


Bonyeza picha hapa kujiunga nasi sound clouds
Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye hivi sasa amehamia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametimiza hadi yake kwenda kuonana na Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Godbless Lema ambaye amepata dhamana siku ya Ijumaa na kutoka gerezani.

advertise here