Sunday 19 March 2017

NAPE NNAUYE KUTINGA CLOUDSFM NI KUHUSIANA NA KILICHOTOKEA DHIDI YA KINACHOSEMWA UVAMIZI WA OFISI HIYO


Waziri Nape: Nakwenda Clouds Media kuona kilichotokea, Ni kuhusu Ishu ya RC Makonda
Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikiaminika ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiingia Clouds Media akiwa na askari, Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye kupitia account yake ya twitter ameyaandika haya……


No comments:

Post a Comment

advertise here