BONYEZA PICHA KUSUBSCRIBE NASI YOUTUBE NA KUONA VIDEO NYINGI ZAIDI
Sunday, 6 November 2016
ARSENAL YATOKA SARE NA TOTTENHAM
Harry Kane alionyesha umahiri wake
baada ya kuuguza jereha kwa majuma saba kwa kufunga bao la kusawazisha
dhidi ya wenyeji Arsenal katika uwanja wa Emirates,na kuifanya Tottenham
kusalia kuwa timu ambayo haijafungwa katika ligi ya Uingereza msimu
huu.
Mshambuliaji huyo wa Uingereza alikuwa akiuguza jereha tangu
tarehe 18 mwezi Septemba lakini alifunga bao la kusawazisha kupitia
mkwaju wa penalti mapema katika kipindi cha pili baada ya Saturday, 5 November 2016
MWANAMKE MWENYE NYWELE NDEFU DUNIANI
MWANAMKE anayetambulika kwa jina la Asha Mandela anaongoza kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
Mwanamke huyo ambaye anadaiwa kuonywa na madakati juu ya urefu wa nywele
zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza Asha amedai hawezi
kuzikata nywele hizo.
Mama huyo aishiye Atlanta mwenye umri wa miaka 47 anayeweka rekodi ya kuwa na rasta ndefu duniani ameweka wazi humchukua siku mbili kuosha pamoja na kuzikausha nywele zake.
Katika moja ya mahojiano aliyowahi kufanya mwanamke huyo ameeleza kuwa nywele zake zimekuwa ni sehemu ya maisha yake na hatoweza kuzikata kwani akifanya hivyo ni sawa na kujiuua.
Pamoja na kuonywa na madaktari kuwa urefu wa nywele zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza, Asha Mandela amesema hawezi kuzikata.

Bi. Mandela

Nywele zake ni ndefu kuliko bus(gari)
Mama huyo mwenye mtoto mmoja aishiye Atlanta, Georgia amesema: Nywele zangu zimekuwa sehemu yangu. Ni maisha yangu. Sitozikata kamwe. Kuzikata itakuwa ni kama kujiua. Itakuwa ni sawa na zombie.’




Mrs Mandela, 47, anashikilia Guinness World Record kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
Humchukua siku mbili kuziosha na kuzikausha nywele zake. Mrs Mandela, ana mtoto mwenye miaka 11 aitwaye Zion aliyezaa na mume wake wa pili, anasema nywele zake zimesaidia uhusiano wake na mumewe.
Kwa sasa ameolewa na mume wa tatu na asili yake ni Trinidad and Tobago. Alianza kuzitunza nywele hizo miaka 25 iliyopita.







Mama huyo aishiye Atlanta mwenye umri wa miaka 47 anayeweka rekodi ya kuwa na rasta ndefu duniani ameweka wazi humchukua siku mbili kuosha pamoja na kuzikausha nywele zake.
Katika moja ya mahojiano aliyowahi kufanya mwanamke huyo ameeleza kuwa nywele zake zimekuwa ni sehemu ya maisha yake na hatoweza kuzikata kwani akifanya hivyo ni sawa na kujiuua.
Pamoja na kuonywa na madaktari kuwa urefu wa nywele zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza, Asha Mandela amesema hawezi kuzikata.
Bi. Mandela
Nywele zake ni ndefu kuliko bus(gari)
Mama huyo mwenye mtoto mmoja aishiye Atlanta, Georgia amesema: Nywele zangu zimekuwa sehemu yangu. Ni maisha yangu. Sitozikata kamwe. Kuzikata itakuwa ni kama kujiua. Itakuwa ni sawa na zombie.’
Mrs Mandela, 47, anashikilia Guinness World Record kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
Humchukua siku mbili kuziosha na kuzikausha nywele zake. Mrs Mandela, ana mtoto mwenye miaka 11 aitwaye Zion aliyezaa na mume wake wa pili, anasema nywele zake zimesaidia uhusiano wake na mumewe.
Kwa sasa ameolewa na mume wa tatu na asili yake ni Trinidad and Tobago. Alianza kuzitunza nywele hizo miaka 25 iliyopita.
SUMU YA NYOKA NI DAWA YA KUMALIZA UCHUNGU
Bonyeza picha hi kuiona video usiache kulike share comment na subscribe mtu wangu

Joka mwenye sumu kali zaidi duniani
huenda akawa jibu la kupatikana dawa ya kupunguza uchungu. Hii ni kwa
mujibu ya wanasayansi.
Joka anayejulikana kama 'Blue Coral' ndiye
mwenye sumu kali zaidi na hupatikana zaizi Kusini Mashariki mwa Bara
Asia. Utafiti mpya uliochapishwa kwenye jarida la afya la Toxin umepata
joka huyo huwalenga maadui wake ambao husababisha uchungu kwa binadamu. POLIS WA KIKE WA KIISLAMU KUVAA IJABU SASA
Serikali ya Scotland imeidhinisha vazi la hijabu na kulijumuisha kwenye
sare za maafisa wa polisi wa kike wa Kiislamu ili kuongeza idadi yao
katika idara hiyo.
Mkuu wa idara ya polisi nchini humo Phil Gormley, ametoa maelezo na kubainisha furaha kubwa kwa kutangaza uamuzi huo, na kufahamisha nia yao kutaka kusaidiana na maafisa wa Kiislamu katika suala la usalama wa taifa.
Mkuu wa idara ya polisi nchini humo Phil Gormley, ametoa maelezo na kubainisha furaha kubwa kwa kutangaza uamuzi huo, na kufahamisha nia yao kutaka kusaidiana na maafisa wa Kiislamu katika suala la usalama wa taifa.
Wednesday, 2 November 2016
AINA TATU YA MAWAZO YANAYOZUIA USHINDWE KUFANIKIWAA
Kiasili binadamu tumepewa uwezo mkubwa wa kufikiri ukitofautisha na
wanyama wengine. Uwezo huu tulionao huwa unakuja hasa kutokana na
matumizi ya mawazo au kufikiri kwetu. Kufikiri huko ambapo tunafanya
kila siku na kila wakati ndipo kunapotufanya tuwe na maisha ya aina
fulani, haijalishi yawe ya mafanikio au kushindwa.
Lakini hata hivyo wengi wetu huwa tunafikiri au tuna mawazo ya kimazoea na kushindwa kutambua kwamba hayo mawazo yetu pia yamegawanyika. Kwa mawazo yoyote uliyonayo mara huwa yamegawanyika katika sehemu. Kwa mfano unapowaza wazo fulani, wazo hilo linakuwa lipo moja
Lakini hata hivyo wengi wetu huwa tunafikiri au tuna mawazo ya kimazoea na kushindwa kutambua kwamba hayo mawazo yetu pia yamegawanyika. Kwa mawazo yoyote uliyonayo mara huwa yamegawanyika katika sehemu. Kwa mfano unapowaza wazo fulani, wazo hilo linakuwa lipo moja
KAZI: MAMBO YA MSINGI KUZINGATIA KABLA YA KUACHA KAZI
Leo hii karibu kila mtu aliyeajiriwa ukimuuliza je, unafurahia maisha ya
kuajiriwa? Atakwambia hapana ila natamani kujiajiri, na endapo
utaendelea kumuuliza ni kwa nini unatamani kujiajiri? Utamsikia anasema
nataka kuwa huru na muda na pia nahitaji uhuru wa kipesa.
Majibu hayo kwa mtazamo wa wengi ni sawa, ila kuna kitu ambacho ni vyema ukakijua kabla ya kuamua kuacha kazi na kwenda kujiajiri.
Kujiajiri kuna hitaji ujasiri wa hali ya juu sana maana kuna changamoto zaidi ya kuajiriwa. Hivyo nakusihi ufikirie kwa umakini sana suala zima la kuacha kazi kabla kwenda kujiajiri.
Na endapo utaamua kuacha kazi ya kuajiriwa bila ya kufikiria ipo siku utakuja kujutia uamuzi wako. Hivyo ni vyema ukafikiria mara mbili kabla ya kufanya maamuzi magumu.
Mambo ya msingi ya kuzingatia kabla ya kuacha kazi.
1. Kuwa na nidhamu ya muda.
Kwa kuwa kwa sasa bado umeajiriwa, hivyo huna jukumu la kufanya maamuzi ya matumizi ya muda, Bali unafanya kazi kutokana na muda ambao muajiri wako ameamua yeye kukupangia kuweza kufanya kazi.
Na kwa kuwa umezoea kufanya kazi kutokana na amri ya mwajiri wako, hata pale ambapo utaamua kuacha kazi fahamu fika ya kwamba suala la kuwa na nidhamu ya muda kwako ni suala gumu, hivyo unatakiwa kufanya jitihada zako binafsi kadri iwezekanavyo hasa katika matumizi sahihi ya kufanya kazi hasa suala zima la uzalishaji wa mali au huduma.
Nazungumza suala zima la matumizi ya muda kwani hapa ndipo ambapo tunapata makundi mawili ya watu waliofanikiwa na wasiofanikiwa. Hivyo ni jambo jema kuhakikisha unazingatia matumizi sahihi ya muda ili pindi utakapoacha kazi wewe ndiye ambaye utakuwa na jukumu la kupanga muda wa kufanya kazi na ni muda gani utakuwa ni wa kupumzika. Pia ikiwezekana ongeza matumizi sahihi ya muda mara mbili zaidi ya ulivyokuwa umeajiriwa.
2. Kutokuahirisha kufanya mambo ya msingi.
Utakuwa shahidi ya kwamba wakati umeajiriwa suala zima la uahirishaji wa kufanya mambo ya msingi lilikuwa ni suala gumu sana labda awe ameamua mwajiri wako. Kama ndivyo hivyo basi pale ambapo utakuwa umeamua mwenyewe kuacha kazi na kuamua kufanya kazi mwenyewe hivyo huna budi kuhakikisha ya kwamba suala zima la uhairishaji mambo linakuwa ni suala ambalo halina nafasi katika maisha yako.
Ukiwa ni mtu wa kufanya kazi kwa kuamua kutenda bila kuahiirisha vitu vya msingi ama hakika utafika kilele cha mafanikio yako ndani ya muda mfupi. Ni vyema kulizingatia hili, kwani hili ndilo ambalo limewafanya watu wengi ambao waliacha kazi kuwa na maisha duni zaidi, kwani wengi wao walikuwa ni waahirishaji wazuri wa vitu vya msingi
Majibu hayo kwa mtazamo wa wengi ni sawa, ila kuna kitu ambacho ni vyema ukakijua kabla ya kuamua kuacha kazi na kwenda kujiajiri.
Kujiajiri kuna hitaji ujasiri wa hali ya juu sana maana kuna changamoto zaidi ya kuajiriwa. Hivyo nakusihi ufikirie kwa umakini sana suala zima la kuacha kazi kabla kwenda kujiajiri.
Na endapo utaamua kuacha kazi ya kuajiriwa bila ya kufikiria ipo siku utakuja kujutia uamuzi wako. Hivyo ni vyema ukafikiria mara mbili kabla ya kufanya maamuzi magumu.
Mambo ya msingi ya kuzingatia kabla ya kuacha kazi.
1. Kuwa na nidhamu ya muda.
Kwa kuwa kwa sasa bado umeajiriwa, hivyo huna jukumu la kufanya maamuzi ya matumizi ya muda, Bali unafanya kazi kutokana na muda ambao muajiri wako ameamua yeye kukupangia kuweza kufanya kazi.
Na kwa kuwa umezoea kufanya kazi kutokana na amri ya mwajiri wako, hata pale ambapo utaamua kuacha kazi fahamu fika ya kwamba suala la kuwa na nidhamu ya muda kwako ni suala gumu, hivyo unatakiwa kufanya jitihada zako binafsi kadri iwezekanavyo hasa katika matumizi sahihi ya kufanya kazi hasa suala zima la uzalishaji wa mali au huduma.
Nazungumza suala zima la matumizi ya muda kwani hapa ndipo ambapo tunapata makundi mawili ya watu waliofanikiwa na wasiofanikiwa. Hivyo ni jambo jema kuhakikisha unazingatia matumizi sahihi ya muda ili pindi utakapoacha kazi wewe ndiye ambaye utakuwa na jukumu la kupanga muda wa kufanya kazi na ni muda gani utakuwa ni wa kupumzika. Pia ikiwezekana ongeza matumizi sahihi ya muda mara mbili zaidi ya ulivyokuwa umeajiriwa.
2. Kutokuahirisha kufanya mambo ya msingi.
Utakuwa shahidi ya kwamba wakati umeajiriwa suala zima la uahirishaji wa kufanya mambo ya msingi lilikuwa ni suala gumu sana labda awe ameamua mwajiri wako. Kama ndivyo hivyo basi pale ambapo utakuwa umeamua mwenyewe kuacha kazi na kuamua kufanya kazi mwenyewe hivyo huna budi kuhakikisha ya kwamba suala zima la uhairishaji mambo linakuwa ni suala ambalo halina nafasi katika maisha yako.
Ukiwa ni mtu wa kufanya kazi kwa kuamua kutenda bila kuahiirisha vitu vya msingi ama hakika utafika kilele cha mafanikio yako ndani ya muda mfupi. Ni vyema kulizingatia hili, kwani hili ndilo ambalo limewafanya watu wengi ambao waliacha kazi kuwa na maisha duni zaidi, kwani wengi wao walikuwa ni waahirishaji wazuri wa vitu vya msingi
GABO KULIZIBA PENGO LA KANUMBA
Mwigizaji huyo ambaye ni miongoni mwa wasanii wa filamu ambao wanafanya vizuri kwa sasa, amedai kama wasanii wakiamua kufanya kazi kwa bidii basi kila kitu kinawezekana.
Tuesday, 1 November 2016
UJUMBE WA WEMA SEPETU KWA MISS TANZANIA MPYA
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu amedai mshindi wa shindano la Miss Tanzania 2016, Diana Edward alistahili kuchukua taji hilo.
Kupitia Instagram, Wema ameandika:
When You Nailed that question Properly, I knew that The Crown was Yours…. Congratulations mdogo wangu… You deserve it… And I have a very good feeling about Your performance in the
Kupitia Instagram, Wema ameandika:
When You Nailed that question Properly, I knew that The Crown was Yours…. Congratulations mdogo wangu… You deserve it… And I have a very good feeling about Your performance in the
Monday, 31 October 2016
KIFO CHA MWANAMASUMBWI THOMASI MASHALI KUTOLEWA TAARIFA SIKU YA JUMA TANO
Akizungumza na waandshi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro amesema taarifa zilizopo kwa kufuatia kifo cha bondia huyo ni za kufikirika na zinasemwa tu, hivyo Jumatano nitatoa taarifa hiyo.
KIPYA KUHUSU MISS TANZANIA 2016
Diana ameamua kuweka kila kitu wazi kwa kusema ‘Jina langu ni Diana Loi Lukumay, mmasai na
Sunday, 30 October 2016
HESLB YAFAFANUA VIGEZO UTOAJI MIKOPO, WALIOKOSA SABABU ZATAJWA, WAPEWA NAFASI YA KUKATA RUFAA
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa ufafanuzi
kuhusu vigezo inavyotumia katika kuchambua, kupanga na kutoa mikopo kwa
wanafunzi 20,183 (asilimia 74) wa mwaka wa kwanza hadi sasa kati ya
25,717 iliyopanga kuwapa mikopo katika mwaka huu wa masomo, 2016/2017.
Idadi iliyobaki (asilimia 26) ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza itajazwa na waombaji ambao baadhi ya nyaraka walizowasilisha zinaendelea kuchambuliwa ili kuthibitisha uhalisi wake na baadhi
Idadi iliyobaki (asilimia 26) ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza itajazwa na waombaji ambao baadhi ya nyaraka walizowasilisha zinaendelea kuchambuliwa ili kuthibitisha uhalisi wake na baadhi
Wednesday, 26 October 2016
Monday, 24 October 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)