Tuesday, 24 May 2016

CHINA HATUUZI NYAMA ZA BINADAMU AFRIKA

LIKE PAGE YETU HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=7lS96yn7FwcWizara ya maswala ya kigeni nchini China imekana ripoti kwamba kampuni za chakula nchini humo zinaweka nyama ya binaadamu na kuuza barani Afrika kama nyama ya ng’ombe.

Chombo cha habari nchini humo Xhinua kimesema kuwa jarida moja nchini Zambia lilimnukuu kimakosa mwanamke mmoja ambaye hakutajwa anayeishi China.

Alisema kuwa kampuni za China zilikuwa zikichukua miili ya wafu kuitia katika viungo na kuiweka katika mikebe.
Msemaji wa China Hong Lei amesema kuwa ripoti hizo hazina uwajibikaji.

Balozi wa China nchini Zambia,Yang Youming ,amesema kuwa ripoti hizo zililenga kuharibu

WAZIRI MKUU MSTAAFU AKIWA KATIKA KIBANDA CHA MPESA AKISUBIRI MUHAMALA WAKE




Waziri Mkuu mstaafu Mhe.Mizengo Pinda akiwa kibanda cha MPESA akisubiri kupokea malipo ya muamala wake. Hii ni mara ya kwanza kwa mtu aliyepata kuwa kiongozi mkubwa serikalini kuonekana hadharani akitumia huduma ya kutoa fedha kwa njia ya simu. Kwangu naona ni mfano bora kwa viongozi, kuishi REAL. 

ALI KIBA NA KAMPUNI YA SONY .VIJUWE VIJEMBE JUU YAKE VINAVYOENDELEA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK HAPA
bonyeza hapa kuiona interview ya king kiba hapa
https://citizentv.co.ke/wp-content/uploads/2015/07/Ali-Kiba.jpgMuziki wa kizazi kipya nchini Tanzania unazidi kupata nafasi ya kuwa muziki mkubwa duniani.Hii ni baada ya msanii Ali Kiba kusaini mkataba na kampuni ya Sony , kampuni inayojihusisha na kazi ya kusimamia wasanii.Baadhi ya wasanii wengine wakubwa wa kimataifa waliosimamiwa na Sony ni

Monday, 23 May 2016

SPIKA.. KUNA WA BUNGE WANAINGIA BUNGENI AKIWA WAMETUMIA VILOBA NA POMBE

LIKE PAGE YETU HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=cQFl2V9IFUAKama unashangaa kusikia kwamba aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, ametimuliwa kwa kuingia bungeni akiwa amelewa.

Bila shaka utachoka zaidi ukisikia kuna wabunge kadhaa huingia kwenye ukumbi wa Bunge wakiwa wametumia vilevi vikali zaidi vikiwamo bangi, viroba na dawa za kulevya.

Spika wa Bunge, Job Ndugai, ndiye aliyefichua siri hiyo jana.

Kutokana na hali hiyo, Ndugai alisema sasa wanafikiria kuweka vifaa maalumu vya kupima ulevi kwa watunga sheria hao na kutafuta wataalamu wa ushauri nasaha watakaowapa msaada wa kisaikolojia.

Sunday, 22 May 2016

AFANYA JARIBIO LA KUJIUA KWA KUJITUPA KATIKA SHOMO WALIMOJAA SIMBA

LIKE PAGE YETU HAPA 
BONYEZA PICHA HII KUSUBSCRIBE NASI YOUTUBE 
mountian lion tearing apart bloodied deer carcaus

ALI KIBA NA DIAMONDPLATNUMZ KIMENUKA TENA

LIKE PAGE YETU HAPA
Kimenuka! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mafahari wawili wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kudaiwa kutupiana vijembe vya kufa mtu baada ya kuwepo kwa madai ya Kiba kuhujumiwa.

Kwa mujibu wa chanzo makini, ili kuweka hujuma ya kibiashara, hivi karibuni, pamoja na kukanusha mara kadhaa kutokuwa na tatizo na Kiba, Diamond alidaiwa ‘kutengeneza’ kwa makusudi penzi la mwigizaji Jacqueline Wolper Massawe na msanii wa Wasafi Classic Baby (WCB), Rajabu Abdulhan ‘Harmonize’ kisha kuvujisha video ya uhusiano huo mpya siku ambayo Kiba alikuwa akiuachia wimbo wake mpya wa Aje (Jumamosi iliyopita), lengo likiwa kuhamisha upepo mashabiki kutoka

VOLKANO IMEUWA WATU SABA

LIKE PAGE YETU HAPA
BONYEZA picha hii subscribe kuona tukio lingine la mauwaji
https://www.youtube.com/watch?v=8B2S3rtS304&feature=youtu.be
Idadi ya watu waliofariki kufikia sasa Nchini Indonesia imepata na kufikia saba.
Watu hao wamefariki na wengine kadhaa kupata majeraha mabaya baada ya kuchomwa na gesi iliyochangamana na moshi wa volkeno baada ya mlima

Saturday, 21 May 2016

NIMEKUSOGEZEA PICHA YA NYOKA MKUBWA ALIYEWAHI KUTOKEA DUNIANI

LIKE PAGE YETU HAPA
Bonyeza picha yoyote kuona video live
https://youtu.be/Wi8fn43BXLM

BUSU A PENNY IMEACHA MASWALI

LIKE PAGE YETU HAPA FACEBOOK
https://youtu.be/_2xr9mgpj4s
Busu ambalo mtangazaji Peniel Mungilwa ‘Penny’ amempiga mwigizaji Shamsa Ford limezua utata kufuatia watu kumhusisha na tabia isiyofaa.

Hayo yalijiri hivi karibuni baada ya mtangazaji huyo kutupia picha kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram ndipo wafuasi wa mtandao huo walipoanza kumsema vibaya wakidai anajiabisha kwa

MAZUNGUMZO YA AMANI BURUDI KUFANYIKA ARUSHA

LIKE PAGE YETU  FACEBOOK HAPA
Bonyeza picha hii kuiona video ya kenya ya vurugu zilizokuwa zikiendelea
https://www.youtube.com/watch?v=W_4hDe0dH5s
Mazungumzo ya amani kuhusu Burundi yameanza mjini Arusha, Tanzania, baada ya kuahirishwa mara kadha.
Serikali ya Burundi, na baadhi ya viongozi wa upinzani wanahudhuria mazungumzo hayo, ambapo mpatanishi ni rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa.
Lakini kundi kuu la upinzani halikujumuishwa, kwa sababu serikali imesema, haitozungumza na watu, inaowaona kuwa wapiganaji.
Mamia ya watu wameuwawa nchini Burundi, tangu Rais Pierre Nkurunziza kuamua kuania muhula

Friday, 20 May 2016

TANZANIA KUCHUANA NA MALAYSYA ULIISKIA HII

LIKE PAGE YETU FACEBOOK  HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=a4HLJVd_5to
Timu ya Taifa ya vijana wa Tanzania wa chini ya miaka 17 Serengeti Boys siku ya Jumamosi itacheza na Malaysia kwenye mechi yao ya mwisho ya kundi wakisaka ushindi ili kutinga fainali ya 2016 AIFF Youth Cup huko Tilak Maidan Stadium, Vasco, Goa nchini India.
Tanzania mpaka sasa imeshacheza mechi 3 na kuifunga India 3-1 na kutoka Sare na USA 1-1 na kisha South Korea 1-1.
Ili kutinga Fainali Serengeti Boys wanapaswa kuifunga Malaysia ambayo imetoka sare na India na kubondwa na South Korea 3-0.
Ikiwa Serengeti Boys wataifunga Malaysia basi njia yao itakuwa nyeupe ikiwa pia Jumamosi mechi kati ya Marekani na Korea Kusini itaisha kwa timu moja kushinda.
2016 AIFF Youth Cup ni mashindano yaliyoandaliwa na shirikisho la soka la India, All India

VIRUSI HATARI VYA ZIKA SASA VIMEINGIA RASMI AFRICA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK HAPA
 Zika
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema aina ya virusi vya Zika ambavyo vimekuwa vikisababisha watoto kuzaliwa na vichwa vidogo vimegunduliwa Afrika kwa mara ya kwanza.
Virusi hivyo vimesababisha taharuki nchi za Amerika Kusini, na hasa Brazil.
Virusi hivyo vilipatikana katika visiwa vya Cape Verde.
Jina la virusi hivyo linatokana na msitu wa Zika, Uganda ambapo virusi hivyo vilitambuliwa kwa

Thursday, 19 May 2016

ALIKIBA NA DEAL LA SONY MAKOSA YANAYOJIRUDIA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK BOFYA HAPA
https://youtu.be/JybGIaVor0MHuko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa ni kuwa huo unaweza kuwa anguko la King Kiba badala ya kuwa neema..

Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari..

BASI LA MWNDOKASI LA GONGA NA KUUWA

LIKE AG YETU HAPA FACEBOOK
Basi la mwendo kasi ( DART)  limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita basi hilo

Ajali hiyo imetoke leo katika  eneo la Shekilango jijini Dar es Sallam.

Tuesday, 17 May 2016

Chelsea na Tottenham wapigwa faini kubwa

LIKE PAGE YETU HAPA 

Chelsea na Tottenham wamepigwa faini kutokana na mashtaka matatu ya kushindwa kuwadhibiti wachezaji wao katika sare ya 2-2 katika uwanja wa Stamford Bridge.
Chelsea watalazimika kulipa pauni 375,000 baada ya kukiuka sheria za shirikisho la soka nchini Uingereza kuhusu makabiliano ya wengi ikiwa ni mara ya nne tangu mwezi Novemba 2014.
Spurs wamepigwa faini ya pauni 225,000 ikiwa ni kisa chao cha tatu kutokea.Mechi hiyo ilikuwa na kadi 12 za manjano .
Mapema mwezi huu mchezaji wa Spurs Mousa Dembele alipigwa marufuku kwa mechi sita kutokana na ghasia katika mechi hiyo hiyo ambayo ambayo ilimaliza matumaini ya Tottenham kushinda ligi ya Uingereza.
Kiungo wa kati wa Ubelgiji Dembele mwenye umri wa miaka 28 alionekana akimgusa jicho

POLICE KENYA WASHUTUMIWA KWA UKATILI

LIKE PAGE YETU HAPA FACEBOOK
Polisi
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu nchini Kenya yameshutumu maafisa wa polisi wakisema walitumia nguvu kupita kiasi kukabili waandamanaji jijini Nairobi Jumatatu.
Tume ya Taifa ya Haki za Kibinadamu (KNHRC) imesema imeshangaza sana na video na picha ambazo zinaenea kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari kuhusu yaliyojiri wakati wa maandamano hayo.

Monday, 16 May 2016

HAYAWI HAYAWI MGANGA WA KIENYEJ AMBAKA MGONJWA WAKE

LIKE PAGE YETU FACEBOOK HAPA
Unaweza pia ukabonyeza picha hii kuona video kamli usiache kusubscribe nasi youtube mtu wangu
https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4
Mganga wa Kienyeji Hamza Saidi,(40) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mgonjwa aliyekwenda kutibiwa masikio kwenye ofisi ya mganga huyo.

Mganga huyo, Mkazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji anatuhumiwa kumbaka msichana wa miaka 20, na kumsababishia maumivu makali.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma SACP Fredinandi Mtui alisema, mganga huyo alifanya tukio hilo, Mei 15 majira ya saa tano asubuhi.

Inadaiwa kuwa msichana alifika  nyumbani kwa mganga huyo akiwa na lengo la kutibiwa masikio lakini mganga alimwambia ili dawa hiyo ifanye kazi ni lazima afanye naye mapenzi kwanza.

WATU WENGI PWANI YA TANZANIA HUWA HATARINI RIPOTI YAONYESHA

LIKE PAGE YETU HAPA FACEBOOK

Tanzania
Tanzania ni miongoni mwa nchi 25 duniani ambazo zitakuwa na watu wengi maeneo ya pwani walio katika hatari ya kuathiriwa na mafuriko kutokana na mabadiliko ya tabia nchi kufikia mwaka 2060.
Shirika la Christian Aid la Uingereza, kwenye ripoti yake, linasema Tanzania itakuwa na watu 14 milioni katika pwani yake ambao watakuwa katika hatari ya kuathiriwa na mafuriko.
Kufikia mwaka 2000 idadi hiyo ilikuwa 600,000 pekee lakini kufikia mwaka 2030 watakuwa wamefikia 2.8 milioni.
Afrika Mashariki, taifa jingine ambalo limo kwenye orodha ya nchi 25 ni Somalia, ambayo itakuwa

JINSI MAFURIKO YANAVYO DHIDI SHAMILI KENYA NA TANZANIA

LIKE PAGE YETU HAPA 

Leo imekuwa siku ngumu sana kwa uchukuzi mjini Dar es Salaam, Tanzania.

UWEZEKANO WA KURUDISHA UHAI WA MAREHEMU WANASAYANSI WAMEKUJA NA HILI MPYA

LIKE PAGE YETU HAPA HUTAPITWA NA HABARI YETU FACEBOOK
Jopo la madaktari linataka kujaribu kurudisha uhai kwa watu wanaofariki kutokana na matatizo ya ubongo baada ya majaribio ya muda mrefu sasa wamekabidhiwa leseni ya kufanyia majaribio kufanya kitu kama hicho
bonyeza picha hii njoo youtube subscribe hutapitwa na habari za matukio yetu kwa njia ya video
O companie din SUA vrea să readucă la VIAŢĂ 20 de pacienţi. Cum va fi posibil acest lucru
uwezekano wa kurudisha watu wanao kufa kutokana na matatizo ya ubongo hicho ndicho shirika la bioquark linataka kukifanya. Bodi ya afya nchini marekani imekubari ombi la shirika hilo na sasa shirika limejikita katika kufanya utafiti na majaribio kurudisha uhai wa mtu aliyefariki kutokana na matatizo ya ubonngo kama vile kansa na salatani ya ubongo.  Utfiti huo umepewa jina la ReAnima
project. Kutokkana na swala hilo kampuni hiyo iko mbioni kufanyia utafiti maiti 20 iliyokufa

advertise here