Saturday, 9 April 2016

Download | Bexy Wamusic - Vanessa [Official Audio & Video]

LAYIII

Download | Nikki Mbishi Feat. Becka Title - Kwanini Mimi [Audio]

LAYIII


Download | Lonka Brown - Ndoto Yangu [Audio]

LAYIII

Download | Mabeste Feat. Barakah Da Prince - Macho Kwa Macho / Nakuchana Leo [Audio]

LAYIII


VIWANJA VYA DAR ES SALAAM VYATAKIWA KUKARABATIWA

LAYIII


Shirikishio la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeishukuru kampuni ya bia ya Heineken ambao ni wadhamini wakuu wa michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA) kwa kujitolea kufanya ukarabati wa viwanja vitatu vya mpira wa miguu vilivyopo jijini Dar es salaam.
Katika barua ya Meneja Mkuu wa Heineken nchini Tanzania, Michael Mbugu kwenda kwa wakurugenzi ya Manispaa wilaya za Ilala na kinondoni, nakala yake kutumwa kwa Rais wa TFF, imeeleza mdhamini ameelekeza nguvu zake kwenye kukarabati baadhi ya viwanja nchini ili viwe katika hali nzuri na salama ili kukuza vipaji vya vijana kwenye mchezo wa soka.

TFF YAZITAKIA HERI AZAM FC YANGA AFRICAN

LAYIII


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limezitakia kila la kheri klabu za Azam FC na Young Africans ambao ni wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa itayochezwa wikiendi hii.
TFF imevitaka vilabu hivyo kupambana katika michezo inayowakabili na kuweza kufanya vizuri kwa kupata ushindi, ili kutengeneza mazingira mazuri katika michezo ya marudaino itakayochezwa Aprili 19-20 mwaka huu.

UJUMBE MZITO WAKUTWA KABURINI KWA KANUMBA

LAYIII
IMG_3360Ujumbe uliokutwa kaburini kwa Kanumba.
Stori:  Mayasa Mariwata na Gladness mallya, Ijumaa
Wakati mama yake, Flora Mtegoa (pichani), baadhi ya wasanii na mashabiki wake wakikumbuka miaka minne ya kifo cha aliyekuwa staa mkubwa wa filamu za Kibongo, Steven Charles Kanumba ‘The Great’, kumezuka sintofahamu ya kukutwa ujumbe mzito wa kimapenzi kaburini kwa msanii huyo ambao unadaiwa kuwekwa na mrembo aliyefika mahali hapo mapema wiki hii.

Thursday, 7 April 2016

NI SIKU MBILI TU AAMEDAI ANA MIMBA YANGU E NDELEA NA KISA HIKI

LAYIII
BONYEZA PICHA KUSKILIZA HADITHI KWA NJIA YA SAUTI
Wiki iliyopita ya Pasaka nilipewa taarifa na ndugu yangu sista alieolewa na muhindi, kwamba wanaomba msaada jumatatu saa6 usiku niwapeleke airport wanaelekea india, kwa sababu hawakua na gari, nikawakubalia, ilivyofika hjiyo cku nikawafuata saa 5 ucku, ili waandae mizgo yao kwanza.

Ghafla nashtuka namuona mtoto mrembo kavaa kanga ni mweupe akiwasaidia kubeba mabegi na kupakia kwenye gari, ikabidi nimuulize sista kwamba huyu dada ni nani, akanijibu ni dada wa nyumba ya pili hapo tumemuomba awe anakaa hapa kwa mda sisi tukiwa india, maana hapakua na mtu nyumba yote ile. nikamjibu OK, akili yote iliamia kwa yule mrembo.

Muda ukafika nikawapeleka airport nikakaa nao mpaka saa saba nikageuza kurudi zangu. nikasema hata lazima nirudi kulekule kwa sista nikamalizane nae yule mtoto, kwa kisingizio cha kusahau ufunguo. aisee nilikamua mafutaa mpaka mbez beach, ninakaa nao karbu umbali wa km3 toka kwao.

WAKATI MWINGINE MWANAMKE KUTOKA NDANI YA NYUMBA WANAUME MNAJITAKIA WENYEWE

LAYIII
Bonyeza picha kuskia hadithi kwa njia ya sauti
Hili suala nimelifikiria kwa kipindi kirefu sana., naona mifano mingi kupitia kwa marafiki zangu na hata ndugu zangu na watu wangu wa karibu. Unakuta mwanaume upo kwenye mahusiano ya kawaida na msichana bado hamjafunga ndoa alafu migogoro na kuachana mara kwa mara, tena unakuta wewe ndo unaachwa na huyo mwanamke alafu unambembeleza mnarudiana. Mwanamke haonyeshi upendo wowote kwako lakini

MTOTO WA DARASA LA TANO AKUTWA KAJINYONGA

LAYIII
ccccccccccccccc-zDada wa marehemu akilia baada ya mdogo wake kujinyonga.
STORI: Dustan Shekidele, Wikienda
Morogoro: Mshtuko! Mwanafunzi wa wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Mchikichini ‘B’ ya mjini hapa, Anosisye Gidion (12), ameacha viulizo kibao baada ya kujinyonga kwa kutumia kitenge cha mama yake, Judith Kilalu ‘Mama Kapipi’.

GUMZO MWANAFUNZI WA KIUME ANAYEPATA HEDHI

LAYIII
Chanzo na BBSWAHILI
UNAWEZA BONYEZA PICHAA KUJIUNGA NAMI KTK HABARI KAMILI MTU WANGU KWA NJIA YA VIDEO
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
George Fellowes ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 22 na anaamni kwamba hata yeye hupatwa na ''hedhi ya kiume''.
Anasema kuwa ni rafiki wa karibu wa Amber May Ellis jirani yake na hivyobasi hupata uchungu wa hedhi kila mwezi rafikiye anapopata hedhi.
Uchungu huo anasema huwa mkali hadi kulazimika kuchukua likizo ya kuwa mgonjwa.Akizungumza na Newsbeat,George anaelezea:Nadhani ni swala la kifikra kwa sababu sisi ni marafiki wa karibu sana na tuna

MUIMBAJI MAARUFU AFARIKI JUKWAANI

LAYIII
 
Huzuni na mshangao umeghubika Indonesia baada ya muimbaji maarufu Irma Bule, aliyekuwa akiwatumbuiza mashabiki wake kuanguka na kufariki dunia jukwaani
Yamkini bi Bule aliumwa na nyoka yapata dakika 45 zilizotangulia katika ''shoo yake'' iliyokuwa magharibi mwa Java Indonesia.
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa muimbaji huyo nyota alimkanyaga kimakosa nyoka huyo ambaye alikuwa sehemu ya ''shoo'' yake na kwa bahati mbaya nyoka huyo akamuuma kwenye paja.
Japo nyoka huyo alikuwa ameng'olewa chonge zake , kwa njia moja au nyingine aliweza kum'gata na

Wednesday, 6 April 2016

MAMBA WA AJABU AUWAWA HUKO FROLIDA

LAYIII
CHANZO na bbc swahili
unaweza bonyeza picha kujiunga nami habari kwa njia ya video
Lightseyh
Mamba mkubwa mla ng’ombe ameuawa katika jimbo la Florida nchini Marekani.
Mnyama huyo alikuwa na uzani wa kilo 360.
Mwindaji Lee Lightsey amesema mamba huyo wa ukubwa wa futi 15 (4.5m) ndiye mkubwa zaidi ambaye amekumbana naye katika kipindi cha miaka 18.
Baada ya kumuua, alihitaji trekta kumbeba.
Bw Lightsey alimgundua mnyama huyo akiwa na mwelekezi wa wawindaji Blake Godwin walipokuwa

Tuesday, 5 April 2016

ALIYEKUWA MAARUFU KWA KUCHEZA FILAMU ZA NGONO AFARIKI USINGIZINI

LAYIII
BONYEZA HII PICHA KUMWONA YULE DADA ALIYECHEZA KIMAHABA MBELE YA WAFANYAKAZI WENZAKE AKIWA OFISINI
https://www.youtube.com/watch?v=Wi8fn43BXLM
Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Amber Rayne amefariki nyumbani kwake mjini Los Angeles ,maafisa wamethibitisha.
Marafiki na waliokuwa wafanyikazi wenzake walituma ujumbe katika mtandao wa Twitter wakimuenzi mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye alifariki usingizi wikendi iliopita.
Amber alikuwa nyota wa filamu za ngono kwa muongo mmoja kabla ya kujiuzulu mwaka 2015.
Alikuwa miongoni ,mwa kundi moja la wanawake ambao walidai kwamba James Deen,ambaye pia

Monday, 4 April 2016

LADY JAYDEE SIJAMPIGA VIJEMBE GARDNER KATIKA WIMBO WANGU

LAYIII
BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NA MTOTO HAPPY
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
MKONGWE wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide, amefunguka kuwa katika wimbo wake mpya wa Ndindindi, hajampiga kijembe  aliyekuwa mumewe, Mtangazaji Gardner G. Habash kama wengi wanavyodhani.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Jide alisema wimbo huo ulitungwa na watu wake tofauti na yeye kuukamilisha hivyo kwa kuwa umebeba ujumbe mzito ni rahisi mtu kuhisi amemuimba mtu fulani kumbe yeye aliimba kwa ajili ya mashabiki wake wote.

BABU TALE AELEZEA NAMNA ALIVYOSAIDIWA NA RAY C KABLA HAJAJULIKANA

LAYIII
BONYEZA PICHA YA TALE KUMSIKILIZA MTOTO HAPPY USIACHE KUSUBSCRIBE YOUTUBE
Babu-Tale


 Meneja wa Tip Top Connection na WCB, Babu Tale, amefunguka kuwa anatamani kumsaidia Ray C kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya na kumrejesha vizuri kwenye muziki kama zamani kwakuwa naye aliwahi kumsaidia.

Akiongea kupitia kipindi cha The Playlist cha Times FM, Jumamosi iliyopita, Tale alidai watu wengi hawajui Ray C alimsaidia kwa kiasi kikubwa kukaa kwenye ramani nzuri kisanaa kama alivyo leo.

CUF: HATUMTAMBUI SHEIN KAMA RAIS ZANZIBAR

LAYIII
BONYEZA PICHA KUSHUHUDIA SHEREHE ZA UKAWA KIPINDI CHA UCHAGUZI WA BARAZA LA MAWAZIRI
CUF
Chama kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar kimesema hakimtambui Dkt Mohamed Ali Shein aliyetangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa marudio uliofanyika mwezi uliopita.
Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), wakizungumza kwa mara ya kwanza tangu kufanyika kwa uchaguzi huo ambao chama hicho kilisusia, wamesema hawamtambui Dkt Shein kama rais wa visiwa hivyo.
“Tangu mapema, tangu Jecha (Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha) alipofuta uchaguzi, tulisema waziwazi kwamba haikuwa halalali. Walipoitisha uchaguzi wa marudio, tulisema waziwazi

MAGUFULI AFUTA SHEREHE ZA MUUNGANO

LAYIII
KAMA HUKUONA ZILE SHEREHE ZA CHADEMA KIPINDI CHA UCHAGUZI UNAWEZA BONYEZA PICHA HII
Magufuli
Rais wa Tanzania John Magufuli ameahirisha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Muungano na badala yake akawataka Watanzania waiadhimishe wakiwa majumbani au wakiwa katika shughuli zao binafsi.
Siku hiyo hata hivyo bado itasalia kuwa ya mapumziko kama kawaida. Agizo hilo la Dkt Magufuli aidha linaathiri shamrashamra za mwaka huu pekee.

Sunday, 3 April 2016

BUNGE KUJADILI NAMNA YA KUMNG`OA ZUMA

LAYIII

Bunge la Afrika kusini litajadili hoja ya kumng'oa rais Jacob Zuma madarakani siku ya Jumanne.
Spika wa bunge la Afrika Kusini ametoa taarifa hiyo baada ya shinikizo kutoka kwa vyama vya upinzani vikiongozwa na kile cha Economic Freedom Fighters (EFF) kinachoongozwa na Julius Malema.

BAADHI YA WACHEZAJI WA EPL WANATUMIA MADAWA HARAMU

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.
Gazeti la Sunday Times limechapisha ripoti ya uchunguzi iliyothibitisha kuwa sio tu wasakataji dimba bali hata waendesha baiskeli, wachezaji Kriketi na hata wachezaji wa tenisi wamekuwa wakipokea matibabu kutoka kwa daktari mmoja ambaye anajulikana kwa kupeana madawa hayo

advertise here