Thursday, 11 June 2015
haya sasa mimba ya zari si ya diamond a.k.a chibuuuu..........nifate hapa chini
na layiii
Mwandishi wetu
OHOOO! Wakati Nasibu Abdul ‘Diamond’ akijinadi kwa mbwembwe kuwa anategemea kiumbe kutoka kwa mwandani wake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, ubuyu mpya wa mjini unadai kuwa mimba aliyobeba mrembo huyo si ya Diamond, Amani limemeza sababu za kutosha.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho karibu na Diamond anayesumbua kwa sasa na wimbo wake wa Nana, tangu habari ya ujauzito wa mlimbwende huyo mwenye asili ya Uganda ianze kupamba vyombo mbalimbali vya habari, watu walio karibu na staa huyo hawakuziamini.
OHOOO! Wakati Nasibu Abdul ‘Diamond’ akijinadi kwa mbwembwe kuwa anategemea kiumbe kutoka kwa mwandani wake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, ubuyu mpya wa mjini unadai kuwa mimba aliyobeba mrembo huyo si ya Diamond, Amani limemeza sababu za kutosha.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho karibu na Diamond anayesumbua kwa sasa na wimbo wake wa Nana, tangu habari ya ujauzito wa mlimbwende huyo mwenye asili ya Uganda ianze kupamba vyombo mbalimbali vya habari, watu walio karibu na staa huyo hawakuziamini.
Monday, 8 June 2015
MASKINI JOKATE ETI ANAJIUA ISSUE NZIMA HAPO CHINI MTU WANGU .................
NA LAYIII ON SPOT
Sexy lady mtafutaji anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’,
MBELE YA GAZETI HILI
Brighton Masalu
Imefichuka! Sexy lady mtafutaji
anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban
Mwegelo ‘Kidoti’ kwa mara ya kwanza ameweka wazi kwamba alitaka kunywa
sumu kisa kikiwa ni kuumizwa kimapenzi na mwanaume aliyempenda
kupindukia, aya zifuatazo zimesheheni.
UBAGUZI BADO MKUBWA SANA MAREKANI ICHEKI ILE ISSUE YA HUYU MDADA NA POLICE
NA LAYIII ON SPOT
Story za watu weusi kuuawa Marekani iligusa wengi, mmoja ya waliouawa ni kijana Freddie Gray ambaye aliuawa mikononi mwa Polisi kwenye mji wa Baltimore, Marekani.. leo iko hii nyngine inayohusu kisa cha mwanamke kunyanyaswa.
Wednesday, 27 May 2015
WAKISEMA MCHEPUKO SIYO DILI MUWE MNAELEWA
JAMANIMICHEPUKO SIYO DILI ELEWENI EMBU ANGALIYO YALIYO JILI HAPA JAMANI
MWANAMKE
mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja, mwishoni mwa wiki
iliyopita alijikuta katika wakati mgumu baada ya kundi la wanawake
kumvamia kazini kwake na kuanza kumsimanga kwa kitendo chake cha
kuchepuka na mume wa mtu huku akipigiwa ngoma maarufu kama kibao kata.
Tuesday, 26 May 2015
AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA
layii
Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji cha Yumbis mjini Garissa, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji cha Yumbis mjini Garissa, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
Friday, 22 May 2015
SI WALIMU, WANAFUNZI WALA MADAKTARI SASA NI ZAMU YA WALEMAVU CHEKI KILICHOTOKEA JANA
LAYIII
Wiki
hii ilianza na headlines za migomo.. wa kwanza ulikuwa mgomo wa
wanafunzi wa Chuo Kikuu Dar, ikafuatia
KIDOA NAYE JAMANI ETI MASOGANGE NI CHA MTOTO DUUU JAMANII----
LAYIII
Mayasa Mariwata
VIDEO Queen anayekuja kwa kasi Bongo, Asha Salumu `Kidoa’ amempa makavu laivu muuza sura mwenziye
VIDEO Queen anayekuja kwa kasi Bongo, Asha Salumu `Kidoa’ amempa makavu laivu muuza sura mwenziye
KWELI KANUMBA ALIKWENDA NA NYOTA YA BONGO MOVIE MSIKIE RAY MWENYEWEE HAPA CHINI KAKIRI KWA KINYWA CHAKE
LAYIIIIII
Msanii Vincent Kigosi ‘Ray’ amekiri kwamba kufariki kwa Steven Kanumba kumemsababishia kuporomoka kisanaa na kiuchumi kwa kukosa ushindani thabiti kwenye game.
Msanii Vincent Kigosi ‘Ray’ amekiri kwamba kufariki kwa Steven Kanumba kumemsababishia kuporomoka kisanaa na kiuchumi kwa kukosa ushindani thabiti kwenye game.
IYOBO NAYE KWA ANTI EZEKIEL DUUU ITAFAHAMIKA TU NA HIYO MIMBA
Na swaxbz layiii
Imelda Mtema
MPENZI wa staa maarufu wa filamu Bongo Aunt Ezekiel, Moses Iyobo ambaye pia ni dansa mahiri wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakwenda kwenye
MPENZI wa staa maarufu wa filamu Bongo Aunt Ezekiel, Moses Iyobo ambaye pia ni dansa mahiri wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakwenda kwenye
Wednesday, 20 May 2015
Friday, 15 May 2015
HAKUNA CHA YOUTUBE DOWNLOADER WALA CHA IDM HAPA NI Finco Download Manager TU HEMBU ICHEKI HAPA MTU WANGU
NA SWAXBZ LAYIII
HAYA SASA MNAO SUMBUKA NA KUDOWNLOAD NI ZAMU YA FINCO KUWALETEENI APPLICATION KALIIII MTAKAYO DOWNLOAD VITU KWA HARAKAAAA NOUMA SANA CHEKI VITU HAPA MTU WANGU

Finco Download Manager is an excellent download accelerator that will take care of all your downloads from the moment you install it on your Device.To use, just copy the download link and Paste in the add url field and you can let the app take care of the rest. FDM allows up to 10
HAYA SASA MNAO SUMBUKA NA KUDOWNLOAD NI ZAMU YA FINCO KUWALETEENI APPLICATION KALIIII MTAKAYO DOWNLOAD VITU KWA HARAKAAAA NOUMA SANA CHEKI VITU HAPA MTU WANGU
Written by admin
Finco Download Manager is an excellent download accelerator that will take care of all your downloads from the moment you install it on your Device.To use, just copy the download link and Paste in the add url field and you can let the app take care of the rest. FDM allows up to 10
Subscribe to:
Posts (Atom)