Saturday, 25 April 2015
Friday, 24 April 2015
Monday, 20 April 2015
HAYA SASA KULIKONI SHAMSA NA SIWEMA WA NEY?????????
KUMEKUCHA NA SWAXBZ LAYIII
Imelda mtema
Kazi imeanza! Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambaye kwa hivi sasa ni mpenzi mpya wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ na mpenzi wa zamani wa Mbongo-Fleva huyo, Siwema wameanza kuchimbana baada ya hivi karibuni kurushiana madongo.
Saturday, 18 April 2015
UNAIKUMBUKA HII......... AY NDIYE WAKALA WA GODFATHER WA AFRIKA KUSINI
NA SWAXBZ LAYIIII
Mkali wa mziki wa kizazi kipya Tanzania Ambwene Yesaya-AY anayetamba kwa kibao chake cha ‘Asante’ ndiye wakala wa muongozaji Godfather mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini.
AY amesema msanii yeyote wa Afrika Mashariki anayehitaji kufanya video chini ya muongozaji huyo ni lazima apitie kwake kwani yeye ndiye wakala wake hapa Afrika Mashariki.
Alisema… “Huwezi kufanya video na Godfatherni lazima utapita kwangu na utalipa gharama zote kwangu kwani tumeingia deal pamoja.”
Mkali wa mziki wa kizazi kipya Tanzania Ambwene Yesaya-AY anayetamba kwa kibao chake cha ‘Asante’ ndiye wakala wa muongozaji Godfather mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini.
AY amesema msanii yeyote wa Afrika Mashariki anayehitaji kufanya video chini ya muongozaji huyo ni lazima apitie kwake kwani yeye ndiye wakala wake hapa Afrika Mashariki.
Alisema… “Huwezi kufanya video na Godfatherni lazima utapita kwangu na utalipa gharama zote kwangu kwani tumeingia deal pamoja.”
Friday, 10 April 2015
Monday, 6 April 2015
MALEGEND AMBAO NI WAJASILIAMALI WAKUBWA WA KUIGWA
NA SWAXBZ LAYIIIIIIIIII
LICHA ya wasanii nyota wa filamu wa Hollywood nchini Marekani kuingiza fedha nyingi kutokana na kuigiza na kudhaminiwa na makampuni makubwa, waigizaji wa Nigeria waliochini ya Nollywood, mambo yao hayaendi vizuri kama wanavyotaka.
Pamoja na kupata mafanikio makubwa katika kuigiza, waigizaji wa Marekani wamejiingiza katika sanaa nyingine nyingi kama yale ya fasheni za mavazi ambako wameingiza mkwanja mkubwa.
Nyota ambao wanaingiza mkwanja mkubwa kila mwaka katika anga hizo, kwa mujibu wa gazeti la Forbes ni pamoja na Nicole Richie ambayo imemwingizia Dola milioni 2, Rachel Zoe Collection (milioni 20), Justin Timberlake na rafiki yake Trace Ayala (milioni 50), Gwen Stefani (milioni 90) na . Victoria Beckham milioni 95) alizovuna mnamo mwaka 2011 peke yake.
LICHA ya wasanii nyota wa filamu wa Hollywood nchini Marekani kuingiza fedha nyingi kutokana na kuigiza na kudhaminiwa na makampuni makubwa, waigizaji wa Nigeria waliochini ya Nollywood, mambo yao hayaendi vizuri kama wanavyotaka.
Pamoja na kupata mafanikio makubwa katika kuigiza, waigizaji wa Marekani wamejiingiza katika sanaa nyingine nyingi kama yale ya fasheni za mavazi ambako wameingiza mkwanja mkubwa.
Nyota ambao wanaingiza mkwanja mkubwa kila mwaka katika anga hizo, kwa mujibu wa gazeti la Forbes ni pamoja na Nicole Richie ambayo imemwingizia Dola milioni 2, Rachel Zoe Collection (milioni 20), Justin Timberlake na rafiki yake Trace Ayala (milioni 50), Gwen Stefani (milioni 90) na . Victoria Beckham milioni 95) alizovuna mnamo mwaka 2011 peke yake.
Friday, 3 April 2015
ETI DAR KUNA KELELE E BANA EEE MIJI HII NI NUKSI KWA KELELE DUNIANI
SWAXBZ LAYIIIII BLOGGER
Moja ya ishu zilizojadiliwa Bungeni
katika vikao vilivyofanyika ndani ya wiki hii ni suala la kelele ndani
ya Miji Mikubwa TZ kam vile Dar.. Wabunge wakasema
ikiwezekana kuwepo utaratibu wa kufungia kumbi za sherehe ambazo
zinaongoza kwa kupiga muziki na kusababisha kero ya kelele.
BAADA YA MUDA KIDOGO NANII AKIWA RAISI DAR USAFIRI NI HIVI
NA SWAXBZ LAYIIIIII
Nakupeleka
moja kwa moja kwenye jiji la Barcelona Spain, ni jiji ambalo mpaka
mwaka 2011 lilikua na watu zaidi ya milioni moja na laki sita ndani yake
na sasa wanasema kuna zaidi ya watu milioni 5 ambapo ni jiji la pili
kwa ukubwa kwenye nchi ya Hispania.
Unaambiwa
usafiri huu wa Tram ulianza kufanya kazi kwenye mji wa Barcelona toka
mwaka 1872 lakini barabara zilizokua
Wednesday, 1 April 2015
KWA WANATECHNOLOGIA SASA ANGALIA JINSI YA KUPLANT NUCLEAR { I MEAN NUCLEAR INSTALLATION}
Pressurized Water Reactors (also known as PWRs) keep water under
pressure so that it heats, but does not boil. This heated water is
circulated through tubes in steam generators, allowing the water in the
steam generators to turn to steam, which then turns the turbine
generator. Water from the reactor and the water that is turned into
steam are in separate systems and do not mix.
View animated image of a Pressurized Water Reactor
Source: Nuclear Regulatory Commission
View animated image of a Pressurized Water Reactor
Monday, 30 March 2015
VYUMBA BORA VYA KULALA NA MIPANGILIO YAKE
SWAXBZ KAYIIII
Look at these incredible 7 hotel rooms comics. We will make sure that
the images you see then give you eager to travel. Join in and be not
with the urge! The world is waiting with open doors!
Surely I will not have the need to tell you, but still, I will: tourism, in short, is one of the most fun things that humans can do. Having the opportunity to meet and marvel at the variety of scenarios that the world makes available, priceless! If you are a person who constantly does, you’ll agree.
7 amazing comic book hotel rooms
Surely I will not have the need to tell you, but still, I will: tourism, in short, is one of the most fun things that humans can do. Having the opportunity to meet and marvel at the variety of scenarios that the world makes available, priceless! If you are a person who constantly does, you’ll agree.
HOTEL 9 BORA NA ZA AJABU DUNIANI
NA SWAXBZ LAYIII SWAG BOY
These are the 9 most strange hotels in the world.Do not overlook this
curious gallery that will teach you that you can stay in unimaginable
places! And besides this, it will prompt to travel more, of course.
UKIFANYA SAFARI ZAKO KWA STYLE HII AMINI TU UTASAVE PESA YAKO SANA NA UTAUPA MWILI WAKO MAZOEZI VYA KUTOSHA NA WALA MAGONJWA HUTAYAPATA OVYO OVYO
NI KWA MARA NYINGINE TENA NAKULETEA MZEE MZIMA RICH MAN KUTOKA DUBAI NA BAADHI YA BICHA ZAKE NAMBIE UNAJIFUNZA NINI
Dubai is an incredible beauty. Dubai is one of the seven emirates that make up the United Arab Emirates. Its strategic location has made it a strong commercial focus, especially with India. Although now Dubai is
Tuesday, 24 March 2015
Nimeshare na wewe hizi Pichaz kutoka Maisha Club show ya Meninah
Siku ya juzi March 21 2015 staa wa muziki Bongo, Meninah alifanya party na watu wake wa nguvu hapahapa Dar ambapo party hiyo aliifanya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Subscribe to:
Posts (Atom)