Monday, 26 September 2016
MSAADA MKE WA BOSS ANANITEGA
Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana mchapakazi kama mimi.
Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi huwa namchukua na
KWA NINI DIAMOND PLATNUMZ NIMEKUWEKEA SABABU ZA UTOP WAKE HAPA
SUBSCRIBE YOUTUBE HAPA
Unadhani kwanini pamoja na kuwa kinywaji na brand maarufu duniani,
Coca-Cola inaendelea kumwaga fedha nyingi kwaajili ya matangazo?
Kampuni hiyo hutumia zaidi ya dola bilioni 3 duniani kote kwaajili ya matangazo kila mwaka. Kwanini sasa wanahitaji fedha nyingi kiasi hicho kujitangaza wakati kila mmoja katika dunia hii anaijua Coca-Cola?
Ni hivi – matangazo hayakukumbushi uende kununua soda pale unapokuwa na kiu – lahashaa! Kazi yake ni kuhakikisha jina lake linakaa zaidi kichwani kwako, na ni jina ndilo unalolinunua. Kwahiyo watahakikisha wanajitangaza ili ile nembo ya Coca-Cola ikae daima kichwani kwako.
Kampuni hiyo hutumia zaidi ya dola bilioni 3 duniani kote kwaajili ya matangazo kila mwaka. Kwanini sasa wanahitaji fedha nyingi kiasi hicho kujitangaza wakati kila mmoja katika dunia hii anaijua Coca-Cola?
Ni hivi – matangazo hayakukumbushi uende kununua soda pale unapokuwa na kiu – lahashaa! Kazi yake ni kuhakikisha jina lake linakaa zaidi kichwani kwako, na ni jina ndilo unalolinunua. Kwahiyo watahakikisha wanajitangaza ili ile nembo ya Coca-Cola ikae daima kichwani kwako.
Thursday, 22 September 2016
Saturday, 27 August 2016
THIERRY HENRY KUWA KOCHA MSAIDIZI WA TIMU YA TAIFA YA UBELGIJI
Henry alikuwa mmoja wa wakufunzi wa timu ya vijana Arsenal lakini akajiuzulu Julai baada ya
Friday, 26 August 2016
JE? UNAJUA SABABU YA KUHARIBIKA KWA MIMBA

Tatizo la mimba kutoka au kutolewa ni jambo ambalo limewakumba kina mama wengi walio katika umri wa kuzaa. Aidha mijadala kuhusu kuhalalishwa au kuendelea
kuharamishwa kwa utoaji mimba ni jambo linalochukua nafasi ya mazungumzo ya kila siku katika maisha yetu.
Kwa baadhi ya nchi, suala la utoaji mimba ni jambo lililohalallshwa kisheria ingawa kwa nchi kama Tanzania, suala hili halijahalalishwa isipokuwa tu pale panapokuwa na sababu za kitabibu zinazolazimisha kufanya hivyo.
DISAPPROVED GOOGLE ADSENSE ACCOUNT
Have your Google adSense account is disapproved ??? Are you worried about that ???...so this article will tell you, why your account is disapproved and what you can do to approve it or what other than you can do. Google is very strict to their policies and they have made different policies for different countries. They always keep on reviewing and editing all these for the benefits of publisher as well as advertiser. New users need to have some patience in their mind. For new users and even old bloggers they need some points to be followed right from ...
Thursday, 18 August 2016
ADVERVISE/ USHAURI JINSI YA KUJUA BIASHARA INAYOLIPA ENEO ULIPO.
Mara nyingi watu wamekuwa wakiomba ushauri sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye mitandao kuhusu biashara gani wafanye kwenye maeneo yao.
Leo nitakushauri biashara unayoweza kufanya kwenye eneo lolote unaloishi na kupata faida kubwa sana.
(HOW TO) JINSI YA KUTENGENEZA HAIR REMOVAL WAX NYUMBANI.
Anza kukoroga hadi sukari ianze kuyayuka.
UJUE UTOFAUTI WA ALIKIBA NA DIAMOND PLATNUMZ
Ni mjadala mpana katika mitandao ya kijamii, mitaani na hata miongoni mwa wasanii wenyewe ambao kwa kificho au waziwazi, wamewahi kuzungumzia nani mkali katika wawili hao ambao wote ni vijana wenye asili ya Kigoma.
Alikiba ama King Kiba, ndiye wa kwanza kuingia na kupata jina katika Muziki wa Bongo Fleva, katikati ya miaka ya 2000 akiwa na singo yake ya kwanza, Cinderella ndiyo ilimfungulia milango, kwani alichomoza hadi juu ambako alidumu kwa muda mrefu.
Huenda Diamond amewahi kuimba kwa kuiga baadhi ya nyimbo za Alikiba, kwa sababu yeye alianza kupata jina mwaka 2009, mwaka ambao mwenzake tayari alishakuwa na albamu mtaani.
Unapotaka kufanya ulinganisho wa wawili hawa ni lazima uchague unataka kuwalinganisha nini, vinginevyo unaweza kujikuta umewekeza katika chuki au ushabiki, kitu ambacho hakitakiwi. Kwa mfano, vigumu kupata idadi kamili ya mashabiki wa wasanii hao, ingawa mapokeo ya kazi zao yanaweza kumuongoza mtu kuelewa.
Kitu kimoja cha msingi ambacho wengi wanakubaliana ni kwamba Alikiba ana uwezo mkubwa wa kuimba na mwenye sauti nzuri kuliko Diamond. Msanii mmoja chipukizi, Ibrahim Kidugu ‘Wizzy Rapper’ katika kibao chake cha Kote Nisikike, kwenye mojawapo ya vesi anasema “Ali ni mwanamuziki, Nasibu Mfanyabiashara.”
Maana ya Wizzy Rapper ni kuwa Diamond anafanya biashara ya muziki, ndiyo maana anaonekana kuwa juu ya Alikiba ambaye anafanya muziki kwa mazoea.
Katika ubora wake, Alikiba aliwahi kukutana na mkali wa R&B duniani, R Kelly, katika projekti iliyoitwa One8, ambapo wakali nane wa Afrika walifanya ngoma moja iliyoitwa Hands Across Africa ambao walikuwa ni yeye, Fally Ipupa, 2Face, Amani, Movaizhaleine, 4X4, Navio na JK.
Licha ya Kiba kufika nyumbani kwa R Kelly, studio kwake, alishindwa kutumia ushawishi wa msanii huyo mkubwa ili aweze kumsaidia kuingia katika soko la Marekani. Mbaya zaidi, alishindwa pia kujitangaza kimataifa kupitia Fally Ipupa na 2Face ambao ni maarufu kuliko yeye.
Ambwene Yessaya ‘AY’ alimkutanisha Diamond na Davido wa Nigeria na akafanya naye Ngoma ya Number One Remix. Hapa kijana yule wa Tandale hakutaka kuishia kwa msanii huyo pekee, akaingia nchini humo na kufanya kazi na wasanii karibu wote wakubwa, wakiwemo waliofanikiwa zaidi, P Square.
Hiyo imempa Diamond kujulikana zaidi na kumfanya kuwa mmoja wa wasanii wakubwa Afrika, kiasi cha wengi kuhitaji kolabo naye kutoka Afrika Kusini, Zimbabwe, Ivory Coast na kwingineko Afrika.
Friday, 5 August 2016
ANUSULIKA NA AJARI YA NDEGE DUBAI
SUBSCRIBE HAPA USIPITWE NA VIDEO KALI ZINAZO TUFIKIA
Wakuu nawasalimu!!
Ama hakika kama siku haijafika haijafika tu.July 16 2016 nilimsindikiza binamu yangu kwa ajili ya matibabu nchini India,yeye alikuwa atangulie na ndege ya Oman Air kupitia Muscat mpaka India ambapo mimi ningefuata siku tisa au kumi baadae.Kwa bahati mbaya siku hiyo ilitokea "dhahama" uwanjani hapo na safari kuahilishwa,hivyo waliondoka siku inayofuata.

Ama hakika kama siku haijafika haijafika tu.July 16 2016 nilimsindikiza binamu yangu kwa ajili ya matibabu nchini India,yeye alikuwa atangulie na ndege ya Oman Air kupitia Muscat mpaka India ambapo mimi ningefuata siku tisa au kumi baadae.Kwa bahati mbaya siku hiyo ilitokea "dhahama" uwanjani hapo na safari kuahilishwa,hivyo waliondoka siku inayofuata.
GIGY MONEY AFUNGUKA KUZAA NA IDRIS SULTAN (VIDEO NA GIGY MONEY)
BONYEZA PICHA HAPA KUONA VIDEO USIACHE KUSUBSCRIBE
Msanii
wa muziki ambaye pia anafanya ‘modeling’ na utangazaji kwenye Kituo cha
Redio cha Choice FM cha jijini Dar, Gift Stanford ‘Gigy Money’
amejitangazia ushindi wa kumnasa aliyekuwa mpenzi wa Wema Sepetu, Idris
Sultan huku akitamba kuwa, sasa atamzalia mtoto.

Tuesday, 2 August 2016
VIDEO :ZARI THE BOSS LADY AKIONYESHA UJAUZITO MCHANGA DIAMOND KASEMA ATAJIFUNGUA MWEZI DISEMBA
BONYEZA HAPA KUIONA VIDEO USIACHE KULIKE COMMENT NA KUSUBSCRIBE NASI
Mkali wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz amethibitisha ujio wa mtoto wa pili kutoka kwa mpenzi wake Zari.
Diamond
Muimbaji huyo amesema yeye na mpenzi wake Zari wanategemea mtoto wa kiume.
“Yah kweli mimi ni baba kijacho,” Diamond alikiambia kipindi cha Leo Tena “Natarajia Mama Tiffa anipatie tena mtoto mwingine, atakuwa wa kiume,”

Diamond
Muimbaji huyo amesema yeye na mpenzi wake Zari wanategemea mtoto wa kiume.
“Yah kweli mimi ni baba kijacho,” Diamond alikiambia kipindi cha Leo Tena “Natarajia Mama Tiffa anipatie tena mtoto mwingine, atakuwa wa kiume,”
VIDEO: MENEJA WA DIAMONDPLATNUMZ BABU TALE KAKAMATWA LEO ASUBUHI CHANZO NINI SOMA HAPO CHINI
BONYEZA PICHA SUBSCRIBE NASI YOUTUBE
Meneja wa mwanamuziki wa kimataifa Diamond Platnumz, Hamis Tale Tale
maarufu kwa jina la ‘Babu Tale’ hivi sasa yupo mikononi mwa polisi
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Babu Tale amekamatwa leo na kufikishwa mahakamani hapo ili ajieleze ni kwa nini asifungwe kwa kushindwa kutekeleza hukumu ya Mahakama iliyomwamuru alipe fidia ya Sh250 milioni kwa makosa ya kuvunja sheria ya Hakimiliki.

Babu Tale amekamatwa leo na kufikishwa mahakamani hapo ili ajieleze ni kwa nini asifungwe kwa kushindwa kutekeleza hukumu ya Mahakama iliyomwamuru alipe fidia ya Sh250 milioni kwa makosa ya kuvunja sheria ya Hakimiliki.
YAFAHAMU MADHARA YA KUNYWA POMBE KIPINDI CHA UJAUZITO
Sio bia, sio spirit, wala mvinyo au wine. wanawake wengi wa siku hizi hubeba mimba bila kufahamu kwamba wana mimba na huja kugundua baada ya mwezi mmoja au miwili baada ya kumshindilia mtoto pombe za kutosha.tabia hii ina madhara makubwa sana kwa mama na mtoto kama ifuatavyo...
Thursday, 28 July 2016
MAJINA 1091 YA WADAIWA MKOPO ELIMU YA JUU

Na wanataarifiwa kwamba, kulingana na sheria hiyo ya bodi (HESLB) No. 9 ya 2004, Bodi imedhamiria kutenda yafuatayo:-
(i) Bodi itachukua hatua za kisheria kulingana na kipengele cha 19 (a) (1) cha sheria ya bodi.
Wednesday, 27 July 2016
UTAFITI UNAONYESHA KUTIZAMA TV KWA MUDA MREFU KUNAWEZA HATARISHA MAISHA YAKO
Utafiti uliofanywa na wanasayansi wa Japan umethibitisha kwamba kukaa kwa mda mrefu na kutazama vipindi vya televisheni kwa masaa mengi kunahatarisha afya kwani huhusishwa na maradhi yanasababisha mzunguko wa damu mwilini kutokuwa sawa.
Utafiti huo ulihusiha watu zaidi ya 86,000 ambao hupendelea kutazama televisheni katika mida mbalimbali kwa siku.
Subscribe to:
Posts (Atom)