Friday, 3 June 2016

MASTAA WA KIBONGO WAMEANIKA BEI ZAO ZA KUPIGA PICHA ZA X

LIKE PAGE YETU HAPA
GIGY (1)
Stori: Mayasa Mariwata, Ijumaa
DAR ES SALAAM: Dunia imekwisha!  Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mastaa wa kike Bongo ambao wamekuwa vinara wa kuweka picha zao chafu mitandaoni, kuweka wazi viwango vyao vya malipo endapo mtu atahitaji picha zao za utupu (X).
Miongoni mwa wasanii hao ni muuza nyago maarufu Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’,  Asha Salum ‘Kidoa’ na Isabela Mpanda ‘Bella’ ambao kila mmoja amekiri kuwa yupo tayari kupiga dili hilo ili aweze kujiingizia ‘mkwanja’ mnono na kudai kwa sababu wao hawatoshiriki ni picha tu hivyo hakuna ubaya.
GIGY (2)
GIGY
"Hee, ninavyoijua pesa jina langu lenyewe linajieleza, sasa nawezaje kukataa dili la hela ikiwa sidhuriki chochote maana kama ni picha zangu kila kukicha natupia mtandaoni, mtu si anaweza kuchukua tu, lakini mpaka kaniomba kaniheshimu itabidi anilipe kama shilingi milioni 50.”
LULU DIVA
DIVA
"Ni kweli napiga picha zisizo na maadili kwa nchi yetu ambazo zinaweza kumshawishi mtu kunipa dili la aina hiyo japo kwa kucheza sipo tayari, ila picha akinipa shilingi milioni 200 nakubali anipige hizo picha.”kidoaKIDOA
Kwa kuwa hiyo pesa nitakuwa sijaitolea jasho siwezi kuiacha, nikilipwa shilingi milioni 500 napiga hilo dili kwa moyo mkunjufuIsabella Mpanda (3)
ISABELA
“Kipindi hiki pesa ilivyokuwa ngumu naanzaje kukataa, kwani ninavyoweka picha zangu huko mtandaoni kuna mtu ananilipa na mbona nasemwa sana, bora nikasemwa nikiwa nimefaidika tena kupitia picha yangu tu tatizo liko wapi, nikipewa shilingi milioni 100 nakubali.”
NENO LA MHARIRI:
Ni vyema wasanii hawa wakazingatia maadili ya Kitanzania kwa kuepuka kupiga picha za utupu kwa namna yoyote. Watafute fedha kwa njia halali kutokana na kazi zao. Waache kuiga mastaa wa nje kama vile Rihanna, Kim Kardashian, Amber Rose na wengineo ambao wamekuwa wakilipwa pesa ndefu kwa kupiga picha hizo ambazo zimekuwa zikitumika kwenye majarida na mitandao mbalimbali

Aubameyang ndiye mchezaji bora Ujerumani

LIKE PAGE YETU HAPA

Mchezaji kandanda bora barani Afrika wa mwaka huu Pierre-Emerick Aubameyang ametawazwa kuwa mshindi wa tuzo la mwaka huu la mchezaji bora katika ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga
Aubameyang ambaye ni raia wa Gabon na mshambulizi wa Borussia Dortmund alimpiku mshambulizi wa Bayern Munich Robert Lewandowski kwa asilimia 0.2%.
Tuzo hilo hutolewa na shirikisho la wachezaji nchini humo VDV.
''Ni furaha kubwa kutambuliwa na wachezaji wenzangu '' alisema Aubameyang

Thursday, 2 June 2016

VIDEO| DOWNLOAD N UIONE VIDEO MPYA YA RICH MAVOKO

LIKE PAGE YETU HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=PYv0tojX3rYRich Mavoko ametambulishwa rasmi leo June 2 2016 kuwa chini ya lebo ya WCB inayosimamiwa na Diamond Platnumz, ikiwa ni saa kadhaa baada ya kutambulishwa Rick katuletea video mpya inaitwa ‘Ibaki Story’ ambayo imefanyika Johannesburg South Africa, ukishaitazama utuachie na comment

VIRUSI SAWA NA HIV YA PAKA VIMEGUNDULIWA HUKO KENYA

LIKE PAGE YETU HAPA
Bonyeza picha ya paka huyu kuiona video ya ajabu
https://youtu.be/WoyqBDkOBr4
Je unamiliki paka?

Taarifa hii bila shaka itakuwa yenye manufaa kwako.

Nchini Kenya, virusi hatari aina ya FIV, vinaavyofananana kabisa na virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi vimegunduliwa katika paka mmoja kupitia uchunguzi wa kimaabara.

Hii ni baada ya uchunguzi wa kina wa damu ya paka huyo kuthibitisha uwepo wa viini vinavyofanana kabisa na vile vinavyoathiri binaadamu.

Wafugaji wa paka na wanyama wa nyumbani wameonywa kuwapeleka wanyama wao kufanyiwa uchunguzi wa afya wanapowashuku wanyama wao wanaugua.

RICH MAVOKO RASMI NDANI YA WCB RECORDING LEBAL

LIKE PAGE YETU HAPA
Ni June 2, 2016 ambapo label ya Wasafi inayomilikiwa na staa Diamond Platnumz inaingia kwenye headlines za Bongo Fleva baada ya kumtambulisha rasmi  msanii  wao mpya  Rich Mavoko ambaye anakuwa ni msanii wa nne atakayesimamiwa kazi zake katika label hiyo.
Kwa mujibu wa Diamond Platnumz alisema…’Kwasasa Label yangu inakuwa na jumla ya wasanii wanne ukiachana na Rich Mavoko kuna Dada yangu Queen Darling ambaye sijawahi kumtambulisha lakini anakuwa ni msichana wa kwanza katika label yangu kwahiyo tutakuwa na Raymond, Harmonize, Rich Mavoko na Queen Darling’- Diamond Platnumz

Wednesday, 1 June 2016

JUA NAMNA YA KUITAMBUA SIMU FEKI

LIKE PAGE YETU HAPA
Kama mtakumbuka serikali ilitangaza namna ya kuzigundua simu feki na orginal leo tutapata kuona kwa njia ya video namna ya kuzitambua simu hizo bonyeza picha kwenda moja kwa moja ktk video husika au shuka chini
https://youtu.be/Kd0A5iAeHDg

PAMOJA NA KUTOKA NA DIAMOND PLATNUMZ JACKLINE WOLPER AMESEMA DIAMOND NI BABA MKWE WAKE

LIKE PAGE YETU HAPA
bonyeza picha kuona video nyingine
https://youtu.be/INLVSSkFCJ0
jackline wolper pamoja na kutoka na diamond kwa sasa anamchukulia kama mkwewe.Wolper ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na zamaaradi katika kipindi chake cha take one and action. mskilize mwenyewe hapa katika hii video kama ulikosa kipindi chao mtu wangu

Tuesday, 31 May 2016

WOLPER KUMBE MKONGO ALIMLIA PESA BALAA

LIKE PAGE YETU HAPA

https://youtu.be/XHwdwvBHJxYMsanii wa filamu, Jacqueline Wolper baada ya kukiri kwamba anatoka kimapenzi na Harmonize, amefunguka na kueleza madai ya kufilisiwa na Mkongo ambaye alikuwa mpenzi wake wa zamani.

Akiongea katika promo ya kipindi kipya cha Take One ambacho kinatarajiwa kuruka Jumanne hii, Wolper amedai yeye ndiye aliyetendwa na Mkongo ambaye alikuwa mpenzi wake, kwani wakati anaanza naye mahusiano alikuwa ana gari na nyumba lakini baadae akijikuta hana hata sehemu yakulala.

DIAMOND PLATNUMZ | HAKUNA RECORD LEBAL YA KUNISAINISHA TANZANIA WATANILIPA NINI AMBACHO SIJAFANYA

LIKE PAGE YETU HAPA
Diamond Platnumz hana mpango wa kuwa chini na record label yoyote duniani. Infact hitmaker huyo amedai kuwa makampuni kibao yamewahi kummendea yakitaka awe chini yake lakini akayapiga kibuti.

“Mimi nimeshaapprochiwa na makampuni mengi sana kutaka kunisaini, mengi sana, mengi hata wanayoyasikia, mengine wanayasikia,” Diamond ameiambia 255 kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM.

“Lakini nafikiria kwamba unapotaka kunisaini mimi unataka kunifanyia nini? Una kitu gani cha kunioffer cha kuona mimi unisaini? Video? Mimi naweza kufanya video zangu hadi za wasanii

Monday, 30 May 2016

WEMA AJIBU MAPIGO AKITEMBEA NA BAJAJI INAWAHUSU NINI??? GIGY KUMCHANA SHILOLE MAUNO

LIKE PAGE YETTU HAPA
WEMA2
STORI: Imelda Mtema, Wikienda STAA mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Sepetu amewafungukia wanaomsema vibaya kuwa siku hizi kafulia mpaka anatembelea usafiri aina ya Bajaj na kudai kuwa hayo ni maisha yake binafsi ambayo hayamhusu mtu yeyote.
Akizungumza na gazeti hili juzikati, Wema alisema kuwa anashangazwa sana na watu ambao wanafuatilia maisha yake kila kona kwa kuwa yeye ni binadamu kama walivyo wengine

LULU DIVA AMGEUKIA BELLE 9 / NAY KUCHEPUKA

LIKE PAGE YETU HAPA
lulu la diva (6)Lulu Diva

SIYO siri tena! Baada ya mkali wa Muziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kuchepuka kwa msichana wa Kihabeshi mwenye asili ya Ethiopia, aliyekuwa mpenzi wake Lulu Abass ‘Lulu Diva’ naye ameamua kugeukia kwa staa wa muziki, Abedinego

Sunday, 29 May 2016

BASI LA MWENDOKASI LIMEPATA AJARI

LIKE PAGE YETU HAPA 
BONYEZA PICHA HII KUIONA VIDEO YA AJARI HUSIKA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKiC4Ay3lwbPKfVUCJEU8RzeKZ53SupZeA6zadhyphenhyphen4MQyfTualgblTM_rTYAwr4FmzgUUdXe3a7F4GBXHVpBLwbyGJxhQhjqQm6yccwO7A6OScsS_UaDtuViKw_4Yx7BqYoIJ6O66y3moMd/s1600/IMG_20160418_114236.jpgKwa taarifa iliyoifikia leo asubuhi ya May 29 2016 ni ajali iliyohusisha moja kati ya Mabasi yaendayo haraka na gari ndogo aina ya Vitz New Model eneo la Magomeni Usalama Jijini Dar es Salaam baada ya gari hizo kugongana, tunazifuatilia taarifa zaidi na nitakuwekea hapa hapa 

Friday, 27 May 2016

KISA CHURA SNURA ANUSULIKA KICHAPO

Bonyeza picha hapo chini kushuhudia video kali ya chura hapo
snuraSTAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Chura’ juzikati akiwa kwenye shoo iliyofanyika Masasi, Mtwara alijikuta katika wakati mgumu baada ya kutaka kupigwa na mashabiki kisa kikiwa eti ni kutokuimba Wimbo wa Chura ambao umefungiwa.
Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo lilijiri mida ya usiku katika ukumbi mmoja maarufu uliopo Masasi ambapo Snura alikuwa akifanya shoo hapo na alipotaka kumaliza, mashabiki walimtaka amalize na Wimbo wa Chura ndipo kizaazaa kilipoanzia na kutaka kumpiga

ALI KIBA KUTAMBULISHA WASANII WALIOKO CHINI YA LEBAL YAKE

LIKE PAGE YETU HAPA
Bonyeza  picha kumskiliza alikiba kwa njia ya video hapa
https://www.youtube.com/watch?v=7lS96yn7FwcHivi unajua kama Ali Kiba aliwahi kuwasimamia wasanii kadhaa chini ya ‘label’ yake kama tunavyoona kwa baadhi ya wasanii wa hapa nchini kwa sasa,iliishia wapi ana mpango wa kurudi tena kusimamia wasanii.

’Hivi vitu nilikuwa navyo muda mrefu ila havikuwa ‘promoted’unajua vitu vyangu vingi huwa vinakuwa kimyakimya nilikuwa na wasanii wengi lakini nilivyopumzika kufanya muziki kipindi kile ilibidi niwapumzishe kwasababu ya vitu ambavyo vilitokea nilichukua likizo, na sasa ili niweze kukaa sawa ndio lazima waweze nao kufanikiwa katika vitu vyao vya muziki, siwezi mimi nikawa nimepumzika halafu mashabiki wakawa wamenimis halafu nikamtoa msanii na watu wanielewa,

WANASAYANSI WA CHINA WANATUMIA NGURUWE KUTIBU UPOFU

LIKE PAGE YETU HAPA 
https://youtu.be/v3D2frsodIk
Wanasayansi wa Uchina wamefaulu katika tiba yao mpya ya majaribio ya kutibu upofu.
Walitumia nguruwe katika majaribio hayo ya tiba ya kuondoa upofu, ambapo walitumia konea kutoka kwa wanyama hao.
Sasa wamesema wana imani kwamba hilo litafaa sana kutokana na uhaba wa konea za binadamu.
Inakisiwa kuwa Wachina wapatao 5 milioni wanakabiliwa na matatizo ya konea, sehemu ya mbele ya jicho iliyo ngumu na inayowezesha miali ya mwanga kupenya.
Lakini ni konea 5,000 pekee ambazo hupatikana kila mwaka.

Klabu ya soka yafungwa mabao 44 Ecuador

LIKE PAGE YETU HAPA
Pelileo Sporting Club
Klabu moja ya soka nchini Ecuador imepata ushindi mkubwa ambao ukiidhinishwa basi itakuwa rekodi mpya ya ufungaji mabao duniani.
Klabu hiyo ya Pelileo Sporting Club ilicharaza Indi Native mabao 44-1 katika mechi ya ligi ya daraja la tatu nchini humo mbele ya mashabiki 200.
Mshambuliaji wa Pelileo Ronny Medina alifunga mabao 18.
Rais wa Indi Native Diego Culequi amesema matokeo hayo hayakutarajiwa na wachezaji hawakuwa wamezoea joto kali ambalo anasema lilichangia kushindwa kwao.
Mwandishi wa habari Mwingereza Tim Vickery, ambaye amekuwa Brazil kwa miaka 20, amesema Bon Accord kwa sasa wamejadiliwa sana katika vyombo vya habari Ecuador.

ANG'ATWA UUME NA NYOKA UKO THAILAND

LIKE PAGE YETU HAPA
Bonyeza picha hii kujiunga na BZTV
http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/270/amz/worldservice/live/assets/images/2016/05/27/160527075819_thai_python_512x288_ap_nocredit.jpg
Raia mmoja wa Thailand anaendelea kuuuguza jeraha katika hospitali moja baada ya nyoka aina ya chatu kutokea ndani ya choo na kumng'ata uume wake.
Attaporn Boonmakchuay,ambaye alipoteza damu nyingi amesema kuwa nyoka hiyo ilikuwa ikimvuta baada ya yeye na mkewe kujaribu kuipiga.
Madaktari wanasema kuwa Bw Attaporn ambaye alipoteza damu nyingi anaendelea vyema na

Tuesday, 24 May 2016

CHINA HATUUZI NYAMA ZA BINADAMU AFRIKA

LIKE PAGE YETU HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=7lS96yn7FwcWizara ya maswala ya kigeni nchini China imekana ripoti kwamba kampuni za chakula nchini humo zinaweka nyama ya binaadamu na kuuza barani Afrika kama nyama ya ng’ombe.

Chombo cha habari nchini humo Xhinua kimesema kuwa jarida moja nchini Zambia lilimnukuu kimakosa mwanamke mmoja ambaye hakutajwa anayeishi China.

Alisema kuwa kampuni za China zilikuwa zikichukua miili ya wafu kuitia katika viungo na kuiweka katika mikebe.
Msemaji wa China Hong Lei amesema kuwa ripoti hizo hazina uwajibikaji.

Balozi wa China nchini Zambia,Yang Youming ,amesema kuwa ripoti hizo zililenga kuharibu

WAZIRI MKUU MSTAAFU AKIWA KATIKA KIBANDA CHA MPESA AKISUBIRI MUHAMALA WAKE




Waziri Mkuu mstaafu Mhe.Mizengo Pinda akiwa kibanda cha MPESA akisubiri kupokea malipo ya muamala wake. Hii ni mara ya kwanza kwa mtu aliyepata kuwa kiongozi mkubwa serikalini kuonekana hadharani akitumia huduma ya kutoa fedha kwa njia ya simu. Kwangu naona ni mfano bora kwa viongozi, kuishi REAL. 

ALI KIBA NA KAMPUNI YA SONY .VIJUWE VIJEMBE JUU YAKE VINAVYOENDELEA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK HAPA
bonyeza hapa kuiona interview ya king kiba hapa
https://citizentv.co.ke/wp-content/uploads/2015/07/Ali-Kiba.jpgMuziki wa kizazi kipya nchini Tanzania unazidi kupata nafasi ya kuwa muziki mkubwa duniani.Hii ni baada ya msanii Ali Kiba kusaini mkataba na kampuni ya Sony , kampuni inayojihusisha na kazi ya kusimamia wasanii.Baadhi ya wasanii wengine wakubwa wa kimataifa waliosimamiwa na Sony ni

advertise here