LAYIII
Legendary wa muziki Marekani na Duniani Prince Rogers Nelson,
mwenye umri wa miaka 57 ambaye aliwahi kuuza takriban albamu milioni
100 na aliwahi kubuni chapa yake binafsi ya muziki uliokuwa na sauti na
ala za mchanganyiko wa muziki wa Rock na funk.
Asubuhi ya April 21 2016 Prince
amepatikana amefariki dunia katika makazi yake ya huko
Minneapolis, taarifa zinasema amekutwa amekwama kwenye lifti katika
studio Paisley Park, imeripotiwa kuwa staa huyo inawezekana alikuwa
anaumwa kwa kipindi cha muda mrefu ambako kulipelekea hata