Huenda Lady Jaydee akawa amepata mwanaume wa kumkabidhi moyo wake. Tangu
aachane na mume wake, Gardiner G Habash, muimbaji huyo mkongwe hajawahi
kuonekana na mwanaume aliyehisiwa kuwa ni mpenzi wake. Na sasa kwa
picha alizoweka Instagram, uwezekano wa kuwa amerejea kupenda tena ukawa
ni mkubwa.
BONYEZA PICHA HAPA KUIONA VIDEO AKIWA DUBAI LIKE COMMENT VIDEO YA JUX NA VANESSA MDEE BOFYA PICHA HAPO CHINI
Jana Asubuhi iliandikwa Habari iliyokuwa imechapishwa kwenye gazeti la
Tanzania la kila siku ‘Mtanzania’ ambapo kichwa cha habari cha taarifa
hiyo kilikuwa kikisomeka ‘Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete azuiwa kusafiri
nje ya nchi uwanja wa ndege Dar es Salaam.’
Katika habari hiyo, gazeti hilo liliandika kuwa kutokana na taarifa
lililozipokea ni kuwa Rais Mstaafu
ALIYEWAHI kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Muda ya Yanga, Isaac Shekiondo ‘Clinton’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Taarifa ya familia imesema kwamba, marehemu amefariki baada ya kuugua
kwa muda na msiba upo nyumbani kwake, Ilala Mchikichini Kota.
Shekiondo alikuwa Makamu Mwenyekiti katika Kamati ya Muda ya Yanga chini
ya Mwenyekiti, Tarimba Abbas ‘Thabo Mbeki’ na enzi zake anakumbukwa
kutokana na ukarimu wake na uwajibikaji mzuri.
Pre mature ejaculation ni nini?
Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo
la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.
Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za
wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada ya hali hii
kutokea.
Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya
kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa
mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.
Waziri wa muda mrefu na mbunge wa zamani wa Bunda, Steven Wasira
amewajibu wanaodai kwamba amelazimika kustaafu siasa baada ya mpinzani
wake, Ester Bulaya kuwashinda wapigakura wanne waliokuwa wakipinga
ushindi wake wa ubunge wa Bunda Mjini na kusema hajastaafu na uzee
haumzuii mtu kudai haki yake.
Upelelezi wa kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu kama Scorpion
anayetuhumiwa kumsababishia upofu wa kudumu Saidi Mrisho umekamilika na
hatimaye shauri hilo litasomwa Novemba 30 mwaka huu katika mahakama ya
manispaa ya Ilala.
Njwete anatarajiwa kusomewa mashtaka yake baada ya yale ya kwanza
kufutwa ambapo itakuwa ni mara ya kwanza kusikilizwa baada ya
kufunguliwa mashtaka mapya.
Huyu ndiye Scropion, kijana aliyejizolea umaarufu ambapo watu wengi
hupenda kumshuhudia kila aingiapo na kutoka mahakamani huku kila mmoja
akizungumza lake kwa kesi inayomkabili.
Alipoingia mahakamani leo, aliomba ufafanuzi wa wazi juu ya mashtaka
yanayomkabili ambapo upande wa jamhuri kupitia kwa wakili wake Chesensi
Gavyole walisema ushahidi umekamilika.
Kutokana na kuombwa ufafanuzi, Hakimu anayesimamia kesi hiyo Flora Haule
amesema baada ya upelelezi huo kukamilika kesi hiyo itasomwa Novemba 30
mwaka huu, hivyo mshtakiwa atapata ufafanuzi wa mashtaka yake .
Ikumbukwe kwamba Oktoba 19 mwaka huu, Salum Njwete maarufu kama Scropion
alifutiwa kesi na kisha kusomewa upya mashtaka yake kutokana na uamuzi
wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aliyeomba kufanya hivyo baada ya hati ya
awali kuwa na mapungufu ya kisheria
VIDEO DAKIKA TANO KOFFI OLOMIDE ALIVYOMPIGA DANSA WAKE
Wanaume wengi sana hua tunadanganywa na wenza wetu kua tumewaridhisha vya kutosha lakini ukweli hua hakuna kitu
Hua wanafanya kwa nia njema tu kwani wanaume hua tunajiskia amani sana
kuambiwa umemfikisha mtoto wa kike kwani ni jambo la kishujaa kama
trumph uchaguzi us
Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema hataki kulipwa mshahara wa
rais wa $400,000 atakapochukua hatamu Januari mwakani. Badala yake
atakuwa akilipwa dola moja ya Marekani ($1) pekee kila mwaka sawa na
shilingi 2000 ya kitanzania.
Watazamaji wa anga wanajiandaa kuuona mwezi mkubwa zaidi wakati ambapo utakaribia dunia tangu 1948.
Uingereza itakuwa na fursa nzuri kuuona mwezi huo siku ya Jumatatu
jioni,licha ya kuwa utakaribia dunia mwendo wa saa tano na dakika 21
muda wa GMT ambapo utakuwa umbali wa kilomita
Waziri mkuu nchini Jamhuri ya
Demokrasi ya Congo Augustin Matata Ponyo, amejiuzulu na kutoa fursa ya
kuteuliwa mrithi wake kuongoza serikali ya mpito.
Kujiuzulu kwa
bwana Ponyo ni sehemu ya makubaliano yaliyotiwa sahihi mwezi uliopita
kati ya serikali ya Rais Joseph Kabila na baadhi ya vyama vya upinzani
ya kuhairisha uchaguzi wa urais hadi mwezi Aprili mwaka 2018.
Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti
wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya NINI AU NI utamu wao kama Mwana FA
alivyoimba
Mhubiri mashuhuri raia wa Nigeria TB Joshua amevunja kimya baada ya
utabiri wake kuwa mgombea urais nchini Marekani Hillary Clinton
angeshinda, kugonga mwamba.
Mhubiri huyo alikejeliwa kwenye mitandao ya kijamii wakati ujumbe wa
utabiri wake, kufutwa na baadaye kurejeshwa katika akaunti yake ya
Facebook kufuatia ushindi wa Donald Trump.
Hata hivyo, wafuasia wake wamekuwa wakimtetea wakisema kuwa utabiri wake
ulitimia kwa sababu
Ma-video queen wasumbufu Bongo, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ na Gift
Stanford ‘Gigy Money’ wapo kwenye vita baridi (vita ya maneno) kufuatia
Gigy kumchamba mwenzake kutokana na yale
2015 Lionel Messi ni mmoja wa wachezaji walio juu duniani.
alizaliwa Argentina, kwa sasa anachezea club ya Barcelona katika ligi za
hispania. Pia anajulikana kama Leo, La Pulga Atomica (The Atomic Flea)
alizaliwa 24 June 1987,huko Rosario, Argentina
Wazazi wake ni Jorge Horacio Messi ( was a factory worker) na
Celia MarÃa Cuccittini (was a