Hakuna ubishi kuwa mama anapokuwa katika hali hii hupenda kuishi maisha yasiyo na bughudha ama rabsha. Pamoja na kuwa watu wengi hukubaliana na changamoto zinazowapata wanawake
Wednesday, 4 January 2017
EPUKA KUMWAMBIA MJAMZITO MANENO KAMA HAYA
Hakuna ubishi kuwa mama anapokuwa katika hali hii hupenda kuishi maisha yasiyo na bughudha ama rabsha. Pamoja na kuwa watu wengi hukubaliana na changamoto zinazowapata wanawake
ALIYEZIKWA KISIRI KUFUKULIWA

Familia moja jijini Arusha inadaiwa kumzika kwa siri mtoto wao mdogo wa kike wa miaka mitatu katika kaburi lililofichwa, huku majirani wakidanganywa kuwa binti huyo yupo hai.
Taarifa za kisa hicho cha kusikitisha zimevifikia vyombo vya usalama. Kwa sasa kuna mipango ya kuhakikisha kuwa mwili wa binti huyo, Nuru Losipha aliyezikwa kwa siri na familia yake,
ARSENAL ILIVYO PAMBANA KIUME NYUMBANI KWA BOURNEMOUTH
Arsenal imeambulia alama moja nyumbani kwa Bournemouth baada ya kutoka nyuma kwa magoli 3-0.
Ilikuwa
nii kama kutimiza lengo kwa the Gunners baada ya kufunga magoli matatu
ndani ya dakika 20, kabla ya hapo Bournemouth ambao walikuwa wenyeji
walikuwa wakiongoza kwa magoli 3-0.Alexis Sanches alianza kuiandikia bao la kwanza Arsenal dakika ya 70 kabla ya Lucas Perez
Tuesday, 3 January 2017
EWURA IMETANGAZA BEI MPYA ZA PETROL
BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE USIACHE KUSUBSCRIBE MTU WANGU
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA) imetangaza bei mpya za Petrol, Diesel na mafuta ya Taa zinazoanza kutumika leo Jumatano huku bei ya mafuta ya Taa na Diesel ikiwa imeshuka kwa wastani wa shilingi 66 kwa lita.
KUHUSU MADAWA YA KULEVYA HAYA NI MANENO MAZITO YA LEMUTUZ

⏩BY@lemutuz_nation - Wiki hii the National Debate is MADAWA YA KULEVYA kama ulivyo ushoga it is another very sensitive Subject niliwahi huko nyuma kusema kwamba binafsi ninalifahamu sana hili la Drugs kwa sababu nimewahi kuishi at the Source of it New York City nilichokiona kwa macho yangu ni kwamba once binadam akishajikita kwenye kuyatumia madawa ya kulevya huwa anafikia kutumia Cocaine kwa njia ya kujidunga Sindano that is the end of story ni almost impossible kwa yule binadamu kuja ku recover...I am just being realistic na sio kumkatisha anybody tamaa mfumo wa Ubepari Capitalism una tabia moja ya kuheshimu walioshinda tu lakini hauna nafasi kwa walioshindwa tunawahitaji sana Investors like kutoka USA but tatizo ni kwamba wanapokuja kuwekeza wanakuja na utamaduni wao pia au the American Culture ambayo inapokuja
Thursday, 29 December 2016
Saturday, 10 December 2016
LORI LA MAFUTA LALIPUKA KENYA NA KUSABABISHA VIFO

Lori la mafuta limelipuka nje ya mji wa Nivasha nchini Kenya usiku wa Jumamosi December 10 2016 na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 40.
Taarifa iliyotolewa mapema leo December 11 2016 asubuhi na msemaji wa idara ya taifa ya mambo ya dharura nchini Kenya Pius Masai amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kwamba magari zaidi ya 11 yameteketezwa kwa moto katika barabara ya Nairobi-Naivasha.
ALI KIBA AJIZOLEA TUZO ZA EATVAWARD
Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye huku msema chochote akiwa mtangazaji wa zamani wa kituo hicho, Salama Jabir.
ZIJUE SIFA 10 ZA MTU MWENYE MAPENZI YA KWELI NA WEWE
Ipo zana potofu kwamba kumfundisha mtoto mapenzi ni kumharibu, jambo ambalo si kweli bali inategemea mtoto huyo anafundishwa nini na kwa wakati gani. Lakini cha kushangaza zaidi hata watu wazima ambao ni wadau wa mapenzi hawayajui, matokeo yake wanajiingiza kwenye uhusiano wakiwa bumbumbu na hivyo kuteshwa na changamoto zinazowakabili.
Thursday, 8 December 2016
MIONGONI MWA WASANII WAKUBWA AFRICA MTANZANIA MMOJA ATAJWA
Mara nyingi tumezoea kuona list za wasanii wakubwa wakitajwa kuingiza
pesa nyingi zaidi Afrika, wiki hii imetoka list iliyoandikwa na eDaily
kupitia ripota Brian Okoth ambayo imewataja wasanii watano kutoka Afrika
wanaotajwa kuingiza pesa nyingi zaidi mwaka 2016.
5. Diamond Platnumz (Tsh. Bilioni 9,665,923,190.55)
Related imageMtanzania Diamond Platnumz huenda akawa msanii anayezungumzwa au kutajwa sana kwasasa barani Afrika kutokana na headlines anazotengeneza kila siku, mikataba yake na
5. Diamond Platnumz (Tsh. Bilioni 9,665,923,190.55)
Related imageMtanzania Diamond Platnumz huenda akawa msanii anayezungumzwa au kutajwa sana kwasasa barani Afrika kutokana na headlines anazotengeneza kila siku, mikataba yake na
Tuesday, 6 December 2016
MATAIFA YA ULAYA KUTUMA CHOMBO SAYARI YA MARS
Mawaziri wa utafiti kutoka bara
Ulaya wanaokutana mjini Lucerne, Uswizi wamesisitiza kwamba mpango wa
kutuma chombo maalum kinachoweza kusafiri kwenye sayari ya Mars mwaka
2021 bado utaendelea.
Wameahidi kutoa jumla ya euro €436m ambazo zinahitajika kufanikisha mpango huo.Mradi huo umechelewa kiasi na unagharimu pesa zaidi kuliko ilivyotarajiwa, jambo lililoibua wasiwasi kwamba mataifa wanachama wa Shirika la Anga za Juu la Ulaya (ESA) huenda wakaufuta
GARI LADUMBUKIA NDANI YA SHIMO HUKO TEXAS, MAREKANI
Liwali ambaye hakuwa kazini
alifariki baada ya gari lake kutumbukia kwenye shimo lililojaa maji,
ambalo lilizuka ghafla katika eneo la San Antonio, jimbo la Texas
nchini Marekani.
Maafisa wanasema Dora Linda Nishihara, 69, ambaye
ni naibu liwali aliyekuwa anahudumu kama afisa wa kutekeleza maagizo ya
mahakama, alifariki baada ya gari lake kutumbukia kwenye shimo Monday, 5 December 2016
MADAKTARI KENYA WAANZA MGOGO KITAIFA
Taarifa zilizoripotiwa na BBC leo December 5 2016 kuhusiana na nchi ya Kenya
ni kuwa madaktari na wauguzi wa nchi hiyo wameanza mgomo wa kitaifa
ikiwa kama sehemu ya kuishinikiza serikali kutimiza mahitaji yao.
VIDEO: NISHA BEBE MIMBA HII NGEKUWA YA BARAKA DA PRINCE
Nisha Baby amefunguka kuhusiana na hilo akiwa katika kipindi cha FNL cha EATV, na kusema kuwa endapo ujauzito huo ungekuwa wa Baraka kama inavyosemwa na wengi basi ungetoka wenyewe mapema sana kwa kuwa Baraka ni miongoni mwa wanaume asiowapenda kabisa duniani.
MIJI KUMI MICHAFU ZAIDI DUNIANI
Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO mwaka 2010 takribani watu 223,000 walfariki dunia kutokana na kansa ya mapafu.
Afrika mashariki ya kati na kaskazini mwa afrika ndo maeneo yanayoonekana kuwa machafu sana
kwa wastani wa 130 mcg/m3 ikifuatiwa na asia ya kusini yenye wastani wa 100 mcg/m3
hapa chini ni miongon mwa miji michafu sana kwa mujibu wa WHO
Afrika mashariki ya kati na kaskazini mwa afrika ndo maeneo yanayoonekana kuwa machafu sana
kwa wastani wa 130 mcg/m3 ikifuatiwa na asia ya kusini yenye wastani wa 100 mcg/m3
hapa chini ni miongon mwa miji michafu sana kwa mujibu wa WHO
10. LAHORE, PAKISTAN
Lahore nchini pakistan ndo mji uonaonekana kuwaumesheheni watu wengi ukiwa na wastani wa 200 mcg/m3na ukionekana ndo mji unaoongoza kwa uchafu duniani kulingana na tak
ALICHO KISEMA MOURINHO BAADA YAKUMCHEZESHA FELLAINI
Jose Mourinho ametetea uamuzi wake
wa kumuingiza uwanjani kiungo wa kati Marouane Fellaini kama nguvu mpya
wakati wa mechi ambayo Manchester United walitoka sare na Everton
Jumapili.
Fellaini alisababisha penalti muda mfupi baada yake
kuingia dakika ya 85, na kuwawezesha Everton kusawazisha na mambo yakawa
1-1.
Subscribe to:
Posts (Atom)