LAYIII
L
Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa Tanzania, Master J amesema kuwa maproducer ndio wanaomiliki beat ila wanawafanyia fair wasanii.
Master J ambaye ni mmiliki wa studio ya MJ Record amefanikiwa kufanya kazi na wasanii wakongwe wakubwa kwenye muziki wa Bongo Flava lakini pia alistaafu kazi hiyo ya kuandaa muziki tangu mwaka 2005 na kumuachia Marco Chali akifanya kazi hiyo.
Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka kupitia EATV, Master J alisema, ‘Maproducer

Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa Tanzania, Master J amesema kuwa maproducer ndio wanaomiliki beat ila wanawafanyia fair wasanii.
Master J ambaye ni mmiliki wa studio ya MJ Record amefanikiwa kufanya kazi na wasanii wakongwe wakubwa kwenye muziki wa Bongo Flava lakini pia alistaafu kazi hiyo ya kuandaa muziki tangu mwaka 2005 na kumuachia Marco Chali akifanya kazi hiyo.
Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka kupitia EATV, Master J alisema, ‘Maproducer