Wednesday, 20 April 2016

WAWILI WAFARIKI DUNIA BAADA YA GARI YAO KUDUMBUKIA NDANI YA BAHARI KIVUKO CHA KIGAMBONI

LAYIII
Shudia ajari ya moto katika scania moja maeneo ya hiko sumbawanga bonyeza picha hii mtu wangu
https://www.youtube.com/watch?v=9sM6NHl7Xzw
Watu wawili wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakitumia kudumbukia ndani ya bahari ya Hindi baada ya dereva wa kivuko cha Kigamboni jijini Dar es Salaam kushindwa kufunga mlango wa kifuko hicho kwa ufasaha.
Ajali hiyo ya kuzama kwa gari hilo ilitokea majira ya alfajili ya kuamkia leo ambapo kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, marehemu hao walikuwa wakivuka kutoka katikati ya jiji kuelekea Kigamboni huku mlango

APRIL 12/2016 HAYA NDIO MAGAZETI YA LEO

LAYIII
April 21 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, UdakuMichezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @SWAXBZ ili niwe nakutumia

Video | Cliff Mitindo Feat. Mo Music - Natamani [Official Music Video]

LAYIII



Download | Malaika - Rarua Rarua [Audio]

LAYIII

Video | Salamu TMK - Mfuko [Official Music Video]

LAYIII


Download | Bright Feat. Barakah Da Prince - Nitunzie [Audio]

LAYIII

Download | Haitham Feat. Mwana FA - Fulani [Audio]

LAYIII





ALIENS WAITAJIRISHA MAREKANI

BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBEhttps://www.youtube.com/watch?v=g2KepoPu_C0Wiki iliyopita nilianza simulizi hii ya viumbe wa ajabu waitwao Aliens waishio angani. Niliishia pale nilipoanza kueleza ni viumbe gani hawa ambao wamekuwa wakihusishwa na upotevu wa watu na ndege duniani? SASA ENDELEA…
Juu ya viumbe hawa wa ajabu waishio angani waitwao Aliens, mifano mingi inayotolewa inalenga kuthibitisha kuwa kweli kuna viumbe wa ajabu ambao wamekuwa wakishindana na binadamu bila wenyewe kujua hivyo kuwapa kazi kubwa wanasayansi wa anga kufanya utafiti wa ziada.

AUDIO JINSI PAUL MAKONDA ALIVYOMSHITAKI WILSON KABWE KWA MWESHIMIWA RAIS

LAYIII
Haya ndiyo yaliyojjitokeza katika uzinduzi wa daraja la kigamboni kama hukupata kumskia magufuli ni nafasi yako sasa na jinsi wilson kabwe alivyosimamishwa kazi chini ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda
http://www.fikrapevu.com/wp-content/uploads/2012/02/wilson-kabwe.jpg
Makonda alimshtaki kabwe kwa mweshimiwa rais. Moja wapo ya tuhuma za kabwe kwa mujibu wa makonda ni kuendesha kituo cha mabasi yaendayo mikoani kifisadi ambapo mapato mengi huishia mifukoni mwa wachache. Rais amemfukuza kazi kabwe mbele

TRILIONI MOJA IMETENGWA KWA AJIRI YA KUONDOA MALORI YA KUBEBA MIZIGO JIJINI DAR ES SALAAM

LAYIII
JIUNGE YOUTUBE BONYEZA PICHA HAPA
Malori  ya kubeba mizigo, ambayo yamekuwa yakichangia msongamano wa magari kwa kiasi kikubwa jijini Dar es Salaam, yanatarajiwa kuondolewa mara tu reli ya kisasa ‘Standard Gauge’, iliyotengewa Sh trilioni moja katika Bajeti ya Serikali, itakapofika Ruvu mkoani Pwani.

Rais John Magufuli amesema hayo jana wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya kwanza ya juu (Flyover) nchini Tanzania, inayojengwa katika makutano ya Barabara ya Mandela na Barabara ya

MAGUFULI AFYATUA MTEGO WA MAKONDA NI NDANI YA MAGAZETI

LAYIII
UKITAKA KUJUA UNDANI BONYEZA PICHA HIII
https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4
https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4

KUMBE RIHANNA ALITAKA KUSABABISHA KIFO KWA CHRISS BROWN

LAYIII
Chris Brown:Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna 
Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna
Mwanamuziki Chris Brown amesema kuwa alitaka kujiua baada ya kumshambulia aliyekuwa mpenziwe Rihanna kabla ya tuzo za Grammy mwaka 2009.
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NA CHANZO

https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4
Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna
Mwanamuziki Chris Brown amesema kuwa alitaka kujiua baada ya kumshambulia aliyekuwa mpenziwe Rihanna kabla ya tuzo za Grammy mwaka 2009.
Katika kipande kifupi cha makala yake ya 'Karibu katika maisha yangu',mwanamuziki huyo wa mtindo wa R

Tuesday, 19 April 2016

KAMA HUKUSKILIZA ILE STORY YA YULE BINTI WA KAZI MCHAWI ALIYEKUWA AKIFANYISHA MABOSS ZAKE KAZI SKILIZA HAPA

LAYIII
Binti mmoja ambaye jina lake tunahifadhi amekiri kuwa alikuwa
bonyeza picha hiii kujiunga nami kuiona video yake kwa ukubwa zaidi usiache kusubscribe nami youtube 
https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4

 akitumikisha mabosi zake kufanya kazi za ndani kwa njia ya kishirikina huku yeye akiwa amelala ametulia tuli
binti huyu alikiri kuwa nguvu zake ziliongezeka zaidi baada ya kumtoa kafara mtoto mmoja wa

MAGUFULI ATAKA DARAJA LA KIGAMBONI LIPEWE JINA LA NYERERE

LAYIII
Bonyeza picha hiii kujiunga amazon shop ili uweze kununua kifaa chochote cha electronics
Daraja
Daraja la kigamboni lina urefu wa mira 680
Rais wa Tanzania John Magufuli amependekeza daraja mpya la Kigamboni lipewe jina la mwanzilishi wa taifa hilo Mwalimu Julius Nyerere.
Akiongea muda mfupi kabla ya kuzindua rasmi daraja linafaa kupewa jina la Mwalimu Julius Nyerere kutokana na mchango wake kwa nchi hiyo.
Daraja la Kigamboni lilianza kutumika tarehe 16 Aprili, 2016 na lina urefu wa mita 680 na barabara

KAKA YAKE DIAMONDPLATNUMZ KUBAKA HUKO SWEDEN UKWELI HUU HAPA

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI HABARI KWA NZIA YA VIDEOZ
rommy
Kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones.
STORI: Musa Mateja, Wikienda
Dar es Salaam: Mwisho wa utata? Hatimaye ukweli juu ya sakata la kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones umeanikwa ndani ya Ijumaa Wikienda ambalo ni namba moja kwa habari za mastaa ndani na nje ya Bongo.
Kabla ya gazeti hili kuchimba undani wa msala huo, kulienea tetesi mbalimbali kuwa Rommy ambaye ni DJ

KISA KUONGEA KIARABU ATOLEWA KWENYE NDEGE

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUNUA COMPUTER KWA BEI POA KABISA
www.amazon.com/gp/product/B0172BP1W6/ref=as_li_tl?ie=UTF8&camp=1789&creative=9325&creativeASIN=B0172BP1W6&linkCode=as2&tag=googleplaysto-20&linkId=LRXRIWQS2SMIHS3H
Mwanafunzi wa chuo kikuu raia wa Iraq katika jimbo la California nchini Marekani anasema kuwa alitolewa kutoka kwenye ndege ya shirika la ndege la Southwest baada ya kufanya mazungumzo kwa lugha ya kiarabu.
Shirika hilo la Southwest lilisema kuwa Khairuldeen Makhzoomi aliondolewa ndegeni tarehe 9 mwezi Aprili kabla ya ndege hiyo kupaa.
Bw Makhzoomi anasema alikuwa akizungumza na mjomba wake

Monday, 18 April 2016

SHULE KUMI ZIMEFUNGWA KYELA KUTOKANA NA MVUA KUBWA KUNYESHA

LAYIII
je unahitaji computer yenye matumizi yako ya kiofisi basi bonyeza picha hii na utaweza kupata huduma haraka sana
http://www.amazon.com/gp/product/B0172BP1W6/ref=as_li_tl?ie=UTF8&camp=1789&creative=9325&creativeASIN=B0172BP1W6&linkCode=as2&tag=googleplaysto-20&linkId=LRXRIWQS2SMIHS3H
Kyela/Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mbeya, Dk Thea Ntara amesema bado hali ni tete kwa wananchi wa  Kata 10 zilizokumbwa na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha na ameamuru shule tatu za sekondari  na saba za msingi zifungwe kwa  muda usiojulikana baada ya vyumba vya madarasa kujaa maji na miundombinu yake kutishia usalama.

YOUNG KILLER KAZUNGUMZI PICHA ALIYOPIGA NA DIAMOND NA FUNUNU ZA KUJIUNGA NA LEBAL YA WCB

LAYIII

Picha aliyoiweka rapa Young Killer kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa na Diamond, imezua maswali kadhaa ya matumaini miongoni mwa mashabiki wake.

Rapa huyo wa Mwanza amepost picha akiwa na Diamond Plutnumz na kuandika:

Hakuna mtu aliye zaliwa ili aje awe maskini (ndiyo ) unaweza ukawa umezaliwa kwenye familia maskini ila ukweli ni kwamba hujazaliwa ili wew uje kua maskini….hivyo bas ::mafanikio uja kwa wale walio shindwa mara nyingi na wakajaribu tena kwa ujasiri.. (yes) mungu nisaidie yatimie .. with

TP MAZEMBE IPO HOI DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

LAYIII

Mabingwa watetezi wa kombe la klabu bingwa Afrika katika kandanda klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco katika jitihada zake za kuhifadhi taji lao.
Mabingwa hao wa Afrika wanahitaji kushinda Wydad kwa zaidi ya mabao mawili na wasifungwe lolote ilikunusuru hadhi yao baada ya o kuchapwa 2-0 katika mkondo wa kwanza Juma lililopita .
Mazembe inawakaribisha mabingwa hao wa Morocco katika mkondo wa pili jumatano hii.

MABAO 500 ALIYOFUNGA MESSI

LAYIII
Messi
Mshambuliaji matata kutoka Argentina Lionel Messi hatimaye alifunga bao lake la 500 katika maisha yake ya uchezaji Jumapili.
Alifunga bao hilo dakika ya 63.
Bao lake hata hivyo halikutosha kuzuia Barcelona wasipokezwe kichapo chao cha tatu mtawalia katika La Liga, mara ya kwanza tangu 2003.
Barca walichapwa 2-1 na Valencia.
Ni karibu miaka 11 tangu Messi afunge bao lake la kwanza la ushindani akiwa na umri wa miaka 17

advertise here