Sunday, 27 March 2016

MSANII TEKNO MILES KUNOGESHA TAMASHA LA JOHNNIE WALKER “GROWN & SEXY THE GOLD FINALE”

LAYIII

Mkurugenzi wa Straight up Vibes Omary Abood (wa kwanza kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam ya kumtambulisha rasmi Msanii Tekno Miles (Katikati) ambaye anatarajiwa kuburudisha katika Tamasha la mwisho la “Grown and Sexy, the Gold finale” litakalofanyika katika ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga karibu na Best Bite katika mkesha wa mwaka mpya.
Dj rasmi wa msanii Jay Z wa Marekani al maarufu kama “Young Guru” akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam ya kumtambulisha rasmi Msanii Tekno Miles (Katikati) ambaye anatarajiwa kuburudisha katika Tamasha la mwisho la “Grown and Sexy, the Gold finale” litakalofanyika katika ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga karibu na Best Bite katika mkesha wa mwaka mpya. Dj huyo atasimamia vilivyo kazi yake katika shughuli nzima ya Tamasha

MAMBO AMBAYO WANAUME WANAKOSEA WAKATI WA KUMTONGOZA MWANAMKE

LAYIII
BONYEZA PICHA HAPA KUONA VIDEO KALI KISHA JISAJIRI YOUTUBE NA MIMI ILI KILA SIKU UPATE VIDEO MPYA ZA MATUKIO MBALI MBALI
 https://www.youtube.com/watch?v=ZtE2B6YNhBk

1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka

Saturday, 26 March 2016

WAGOMBEA URAHISI MAREKANI WAGOMBANA KISA WAKE ZAO

LAYIII
Chanzo na bbc wahili
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=ZtE2B6YNhBk
Wagombea wa urais nchini Marekani kupitia tiketi ya chama cha Republican Ted Crus na Donald Trump walirushiana cheche za matusi katika mjadala  

Wagombeaji wawili wa Urais wa chama cha Republican nchini Marekani wamegombana vikali na kurushiana matusi juu ya wake zao.
Seneta wa Texas, Ted Cruz, amemlaumu mpinzani wake, mfanyabiashara Donald Trump kwa kuzusha uvumi kuwa yeye alikuwa mzinifu na kumdanganya mkewe, Heidi.

RONALDO ASHINDWA NA PENALTI

LAYIII
BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=ZtE2B6YNhBk
Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo alikosa penalti kwa mara ya pili mfululizo huku timu yake Portugal ikipoteza nyumbani dhidi ya Bulgaria katika mechi ya kirafiki.
Marcelinho alifunga bao lake la kwanza na hivyobasi kuwapatia wageni hao uongozi katika kipindi cha kwanza alipofunga kupita pasi nzuri.
Portugal ilitawala mechi hiyo lakini mlinzi wa Bulgaria Leiria alikataa katakata kuwapisha washambuliaji wa

KAMA HUKUJUA VIDEO ZA JUSTIN BIEBER ZATAZAMWA MARA BILION 10 MTANDANION

LAYIII
BONYEZA PICHA NJOO YOUTUBE KUCHEKI VIDEO KALI
 https://www.youtube.com/watch?v=ZtE2B6YNhBk
Mwanamuziki Justin Bieber amevunja rekodi ya Vevo kwa video yake kutazamwa mara bilioni 10.
Msanii huyo wa Canada ambaye alitoa kibao kipya Purpose in Novemba alipata idadi hiyo katika kipindi cha miaka sita na miezi mitatu au siku 2,316.
Kutazamwa kwa video zake mara bilioni 4 kulifanyika baada ya Septemba mwaka jana na mwanamuziki

JE UNAJUA KUHUSU KANISA JIPYA LA BEYONCE ( THE NATIONL CHURCH OF BEY )

LAYIII
Msanii Beyonce knowles wa marekani ameacha maswali mengi baada ya kuanzisha kanisa lake na kuliita "THE CHURCH OF BEY"
bonyeza picha kushuhudia na usiache kujiunga nami youtube  bofya picha yoyote
https://www.youtube.com/watch?v=ZtE2B6YNhBk
    means church of Beeyonce Ambapo yeye ndio Mungu wa kanisa hilo na maelfu ya watu wanamuabudu kwa jina la "mother  bey"

Friday, 25 March 2016

NA NOLNIZ | 2 PAC NI MZIMA AMWANDIKIA BARUA YA KURUDI NYUMBANI WILLOW SMITH ............Udaku na (bzudaku)

LAYIII
bonyeza picha kuiona video ya nyani akichezea .............. BONYEZA PICHA YOYOTE
Willow Smith ameonesha picha ya barua yake aliyomuandikia legend wa music wa Hip Hop duniani, Tupac Shakur aliyefariki hata kabla ya Willow kuzaliwa
Huku hili likitokea, bado ule uvumi kwamba mama yake na Willow Smith, Jada Pinket Smith alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Late Tupac Shakur na kwamba inawezekana waliamua kutengeneza (danganya) mazingira ya kifo chake na yeye kuhamia Cuba.

GUMZO MTANDAONI JARIDA LA PICHA ZA PLAYBOY KUUZWA SASA

LAYIII
BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE

PlayboyJalada la jarida moja la Playboy 
Kampuni inayochapisha majarida ya picha za utupu ya Playboy huenda ikauzwa, ripoti nchini Marekani zinasema.
Kampuni hiyo ya Playboy huenda ikauzwa zaidi ya $500m (£354m), kwa mujibu wa duru zilizonukuliwa na mashirika ya habari yakiwemo Wall Street Journal na Financial Times.

Thursday, 24 March 2016

ZITTO KABWE AFUNGUKA TENA KUHUSU RUSHWA KAMATI YA BUNGE AWATAJA TAKUKURU

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE

Zitto juzi alitangaza kujiuzulu katika Kamati Bunge Huduma za Jamii aliyokuwa akihudumu kwa madai ya baadhi ya wajumbe kupokea rushwa.

Kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii wa 'Facebook' Mbunge Zitto amesema kwamba hatua inayochukuliwa na TAKUKURU ni hatua nzuri itakayopelekea ukweli kujulikana na watakaokutwa na makosa kuchukuliwa hatua stahiki.

YANGA YAJIANDAA KUKABILIANA NA AL AHLY

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Yanga
 Kikosi cha Yanga
Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Hans van der Pluijm, amesema atahakikisha wanafanya maandalizi mazuri kuweza kuikabili timu ya Al Ahly ya Misri katika mchezo wa Raundi ya Pili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika .
Yanga imefuzu hatua hiyo baada ya kuitoa APR ya Rwanda kwa jumla ya mabao 3-2 kwa mechi

ULIKOSA KULIONA GOLI LA SAMATTA NIMEKUWEKEA HAPA MTU WANGU

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
March 23 2016 Taifa Srars ilicheza na Chad katika uwanja wa Idriss Mahamat Chad, Taifa Stars ikiwa ugenini, ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa na nahodha wa timu hiyo Mbwana Samatta dakika ya

Wednesday, 23 March 2016

NDEGE KUBWA KUPITA ZOTE DUNIANI KUZINDULIWA

LAYIII
UNATAKA KUJUA NAMNA YA KUHACK FACEBOOK ACC BASI USIJALI BONYEZA PICHA YOYOTE HAPA CHINI
https://www.youtube.com/watch?v=M3iWPmDcf5g
The Airlander 10 ina urefu wa mita 92 ikiwa ni mita 18 zaidi ya urefu wa ndege ya kawaida.
Picha mpya za ndege ndefu zaidi duniani zimetolewa kabla ya kuzinduliwa kwa mara ya kwanza.
Ndege hiyo inayojulikana kama (The Airlander 10) ina urefu wa mita 92 ikiwa ni mita 18 zaidi ya urefu wa ndege ya kawaida.

GUMZO LA WANASAYANSI POVU LA CHURA DAWA YA VIDONDA

LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA MWANAMKE ALIYEKUWA AKICHEZA OFISINI KIMAHABA
Chura
Povu linalotengenezwa na vyura wadogo kwa ajili ya kulinda mayai yao linaweza kuponya majeraha ya wagonjwa walioungua, wanasema wanasayansi.
Povu gumu linaweza kukusanywa na kutumiwa katika mchakato wa matibabu kama kizuizi baina ya bandeji na ngozi iliyoungua, wanaamini.

RAIS MPYA WA FIFA NDANI YA SUDANI YA KUSINI

LAYIII
Rais mpya wa FIFA Gianni Infantino amefungua afisi ya shirikisho la kandanda la Sudan Kusini katika safari yake ya kwanza ya kimataifa tangu achaguliwe rais wa shirikisho hilo la soka duniani mwezi uliopita.

.
Infantino alilakiwa kwa shangwe na vigelegele na wenyeji wake.
Aidha Infantino alitumia ziara hiyo kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.

BABU TALE AIYONA AFYA YA CHID BENZ AMKIMBIZA KWENYE MATIBABU

LAYIII
Mastaa kadhaa wa Tanzania walitumia time yao kumuongelea rapper Chidi Benz akiwemo staa wa bongo hiphop Fid Q ambaye alisema Chidi Benz asisimangwe wala kunyooshewa kidole kwa kutelezea kwenye utumiaji wa dawa za kulevya bali asaidiwe… ambapo baada ya kuonekana kwenye D’Wikend chat show ya CloudsTV watu walianza kusambaza picha zake za zamani na muonekano wake wa sasa akionekana 

Tuesday, 22 March 2016

TUHUMA ZA RUSHWA KAMATI YA BUNGE ZITTO KABWE AMEJIHUZURU UJUMBE WA KAMATI YA JAMII

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI BZTV

TUHUMA ZA RUSHWA KAMATI ZA BUNGE: Mbunge Zitto amejiuzulu ujumbe wa Kamati ya Huduma za Jamii. Amwandikia Spika kumuomba achunguze na

WEMA DIAMOND MTANIITA CHIZI (OOOPSS JAPO YA ZAMANI INAUZITO WAKE ) Udaku for fans3###########

LAYIII
BONYEZA PICHA KUZAMA KATIKA VIDEO YA UBUYU USIACHE KUSUBSCRIBE YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=M3iWPmDcf5g

 Mwanadada wema sepetu amzidi kuonesha mapenzi aliyonanyo kwa kijana mkuu wa WCB – Diamond Platnumz baada ya kuamua kufunguka kwa mara nyingine tena juu yake kama inavyosomeka katika maneno hayo hapo chini…

MJUE DANGOTE HAPA KWA MUJIBU WA FORBES

LAYIII
 BONYEZA PICHA HII KUJISAJILI NA MERIDIAN UJISHINDIE MILIONI 10 KILA SIKU
https://meridianbet.co.tz/index2.jsp?affiliate=9051&campaign=8930&refer=aIQdLFigObtprhErnczA4A#!join 
Aliko Dangote, president of Dangote group, is now richer than Donald Trump, Republican front runner; Roman Abramovich, owner of Chealsea football club and Oprah Winfrey, the richest black woman, put together. 
BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Aliko Dangote, president of Dangote group, is now richer than Donald Trump, Republican front runner; Roman Abramovich, owner of Chealsea football club and Oprah Winfrey, the richest black woman, put together.

Dangote, who came in at the 51st position of the 2016 ranking by Forbes Magazine, is also richer than the

Monday, 21 March 2016

LULU MAHAKAMA YAZUNGUMZIA KIBALI CHAKE CHA KWENDA NIGERIA

LAYIII
Stori: Sifael Paul, Wikienda
Dar es Salaam: Mwisho wa malumbano! Tofauti na inavyodaiwa kuwa staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alikiuka maagizo ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ya kutoka nje ya nchi kufuatia kesi inayomkabili ya kifo cha mwigizaji Steven Kanumba, Ijumaa Wikienda limechimba ukweli.

BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE ILI VIDEO KALI ZA MATUKIO ZISIKUPITE MTU WANGU
_tubongetz (1)Staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu.
Stori: Sifael Paul, Wikienda
Dar es Salaam: Mwisho wa malumbano! Tofauti na inavyodaiwa kuwa staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alikiuka maagizo ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ya kutoka nje ya nchi kufuatia kesi inayomkabili ya kifo cha mwigizaji Steven Kanumba, Ijumaa Wikienda limechimba ukweli.

DIAMOND ATEKETEZA MILLIONI 100 ULAYA

LAYIII
Stori: Erick Evarist na Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani Ulaya, akianzia nchini Ujerumani kufanya shoo sambamba na kula bata, Wikienda linakupa habari kamili.

BONYEZA PICHA HII JISAJIRI NA USHINDE MILIONI 100 KILA UTAKAPO BASHIRI MECHI
UKIBONYEZA HAPA UTAJIUNGA MOJA KWA MOJA BILA PROMO CODE 
https://meridianbet.co.tz/?affiliate=9051&campaign=8930&refer=aIQdLFigObtprhErnczA4A#!join
unaweza bonyeza icha kujiunga nami youtube
vlcsnap-2016-03-19-13h35m55s944Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na familia yake.
Stori: Erick Evarist na Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani Ulaya, akianzia nchini Ujerumani kufanya shoo sambamba na kula bata, Wikienda linakupa

advertise here