LAYIII
Mkurugenzi
wa Straight up Vibes Omary Abood (wa kwanza kushoto) akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla iliyofanyika katika
hoteli ya Serena jijini Dar es salaam ya kumtambulisha rasmi Msanii
Tekno Miles (Katikati) ambaye anatarajiwa kuburudisha katika Tamasha la
mwisho la “Grown and Sexy, the Gold finale” litakalofanyika katika
ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga karibu na Best Bite katika mkesha
wa mwaka mpya.
Dj
rasmi wa msanii Jay Z wa Marekani al maarufu kama “Young Guru”
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla
iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam ya
kumtambulisha rasmi Msanii Tekno Miles (Katikati) ambaye anatarajiwa
kuburudisha katika Tamasha la mwisho la “Grown and Sexy, the Gold
finale” litakalofanyika katika ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga
karibu na Best Bite katika mkesha wa mwaka mpya. Dj huyo atasimamia
vilivyo kazi yake katika shughuli nzima ya Tamasha