Wednesday, 16 November 2016
Monday, 14 November 2016
MWEZI MKUBWA ZAIDI KUONEKANA DUNIANI
Mwezi mkubwa zaidi kuonekana
Uingereza itakuwa na fursa nzuri kuuona mwezi huo siku ya Jumatatu jioni,licha ya kuwa utakaribia dunia mwendo wa saa tano na dakika 21 muda wa GMT ambapo utakuwa umbali wa kilomita
WAZIRI MKUU DRC AJIUZULU
Waziri mkuu nchini Jamhuri ya
Demokrasi ya Congo Augustin Matata Ponyo, amejiuzulu na kutoa fursa ya
kuteuliwa mrithi wake kuongoza serikali ya mpito.
Kujiuzulu kwa
bwana Ponyo ni sehemu ya makubaliano yaliyotiwa sahihi mwezi uliopita
kati ya serikali ya Rais Joseph Kabila na baadhi ya vyama vya upinzani
ya kuhairisha uchaguzi wa urais hadi mwezi Aprili mwaka 2018.BAADA YA TRUMP KUSHIDA URAIS MAREKANI TB JOSHUA AFUNGUKIA UTABIRI WAKE ULIOGONGA MWAMBA
Mhubiri huyo alikejeliwa kwenye mitandao ya kijamii wakati ujumbe wa utabiri wake, kufutwa na baadaye kurejeshwa katika akaunti yake ya Facebook kufuatia ushindi wa Donald Trump.
Hata hivyo, wafuasia wake wamekuwa wakimtetea wakisema kuwa utabiri wake ulitimia kwa sababu
Sunday, 13 November 2016
LIST YA WACHEZAJI BORA DUNIANI KUANZIA MWAKA 20006 HADI 2015
2015 Lionel Messi ni mmoja wa wachezaji walio juu duniani. alizaliwa Argentina, kwa sasa anachezea club ya Barcelona katika ligi za hispania. Pia anajulikana kama Leo, La Pulga Atomica (The Atomic Flea) alizaliwa 24 June 1987,huko Rosario, Argentina
Wazazi wake ni Jorge Horacio Messi ( was a factory worker) na
Celia MarÃa Cuccittini (was a
Subscribe to:
Posts (Atom)