Wednesday, 22 June 2016

KINGINE USICHOKIJUA KUHUSU HELIKOPTA INAYOTENGENEZWA TANZANIA

SUBSCRIBE HAPA KUONA VIDEO
 https://www.youtube.com/channel/UCohoLl9DK4oepzW_GdEL5sA?sub_confirmation=1
Raia nchini Tanzania wameamkia habari za kushangaza kwamba taifa hilo linaunda ndege.
Gazeti la Tanzania la Daily News limeripoti kwamba ndege hiyo aina ya helikopta inakaribia kukamilika na kwamba habari hiyo imekuwa ikisambaa barani Afrika kwa kasi.
Gazeti la Zambia, Observer linasema kuwa lengo la ndege hiyo itayokuwa ikibeba watu kwa bei rahisi itakabiliana na matatizo ya uchukuzi nchini humo.

Saturday, 18 June 2016

MAZITO KUHUSU RAY C NA MKURUGENZI WA SOBER HOUSE

SUBSCRIBE HAPA
https://www.youtube.com/channel/UCohoLl9DK4oepzW_GdEL5sA?annotation_id=annotation_1401368297&feature=iv&src_vid=8eCSdA3DiyY&sub_confirmation=1Mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’.
MKURUGENZI wa Kituo cha Kusaidia Waathilika wa Dawa Za Kulevya, Sober House, kilichopo Bagamoyo, Pwani, Karim Banji amekanusha taarifa zinazosambaa kuwa mwanamuziki mkongwe wa

Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amepelekwa katika kituo hicho.
Akizungumza na mtandao huu uliofunga safari mpaka kituoni hapo, Karim alisema kuwa ni kweli siku ya jana (Ijumaa) alipokea taarifa kutoka kwa watu wa karibu wa mwanamuziki huyo kuwa wange

UBELGIJI YAILAZA JAMHURI YA IRELAND

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU


Romelu Lukaku alifunga mabao mawili huku timu ya taifa la Ubelgiji ikipata ushindi wake wa kwanza katika michuano ya Euro2016 na kuharibu fursa ya timu ya Jamhuri ya Ireland kufika robo fainali.
Baada ya kukamilika kwa kipindi cha kwanza ambapo hakuna timu ilioona lango la

KUNA WATU WANATAMANI UHABA WA SUKARI UENDELEE PITIA MAONI YA WATU HAWA HAPA MTU WANGU

SUBSCRIBE HAPA HUTAPITWA NA VIDEO YOYOTE MTU WANGU
SOURCE NA MILLARDAYO.COM
Moja ya habari iliyoripotiwa ni hii kutoka gazeti la habari leo, yenye kichwa cha habari ‘Wenye kisukari watamani uhaba wa sukari uendelee’
Gazeti hilo limeripoti kuhusu Mwenyekiti wa chama cha wenye kisukari Tanzania, Prof Andrew Swai ambaye ametamani sukari iendelee kuadimika na bei yake kuwa juu ili matumizi yake yapungue kwa jamii kutokana na madhara ya bidhaa hiyo kwa mwili wa binadamu.
Gazeti hilo limesema Prof Swai ameyazungumza hayo jana jijini Dar es salaam wakati wa semina kwa waandishi wa habari iliyolenga kuelimisha juu ya magonjwa yasiyoambukiza  Prof Swai ambaye ni daktari katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alisema matumizi ya sukari ni moja ya kichocheo cha magonhjwa yasiyoambukiza kama kisukari na shinikizo la damu 

INAONEKANA KUNA TATIZO KATI YA PRODUCER NAHREEL NA KUNDI LA WEUSI KUNA CHANZO KIONE HAPA

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU
https://www.youtube.com/watch?v=XW8wPiVJxpEHivi karibuni kumeibuka taarifa kuwa ule ukaribu uliokuwepo mwanzo kati ya kundi la Navy Kenzo na Weusi umepotea tangu yalipofanyika mabadiliko ya studio ya The Industry. Nahreel amesema hilo siyo kweli bado ni washkaji kama zamani tofauti watu wanavyowachukulia.

Navy Kenzo na Weusi wamekuwa watu wa karibu sana hali iliyopelekea watu kuona wivu kwa kusema kuwa Nahreel anawapendelea wasanii hao kwa kuwatengenezea beat nzuri zaidi ya wasanii wengine.

Akiongea na Bongo5, Nahreel amesema kuwa wao na Weusi bado ni washkaji na bado wana kazi zao kwenye studio yake hazijatoka.

“Ni kweli utaratibu umebadilika na mimi kama mfanyabiashara mwingine lazima kila siku niendelee kuweka

Friday, 17 June 2016

TAARIFA YA KUZINGIRWA NYUMBA YA ASKOFU GWAJIMA, CHANZO HASA NI NINI? BOFYA HAPA

SUBSCRIBE HAPA
Taarifa ya kuzingirwa nyumba ya Askofu Gwajima, chanzo hasa ni nini? Bofya hapa
Watu sita wanaodhaniwa kuwa askari wa Jeshi la Polisi, wamevamia na kuizingira nyumba ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini, Josephat Gwajima.
Tukio hilo linadaiwa kutokea jana mchana katika makazi ya askofu huyo yaliyoko eneo la Salasala, Dar es Salaam.
Inadaiwa watu hao walifika nyumbani kwa askofu huyo wakiwa katika gari aina ya Toyota Land Cruiser, na kwenda kugonga geti ili wafunguliwe waingie ndani.
Picha mbalimbali zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii jana, ziliwaonyesha

Thursday, 16 June 2016

MPAKA MWANAMKE ANACHEPUKA UJUE NDANI KUNA SHIDA SI BURE

SUBSCRIBE HAPA KUONA VIDEO MPYA ZA VICHEKESHO
Katika Utafiti wangu imegundua kuna tatizo kubwa katika mahusiano aidha ya kimapenzi au ya ndoa.Uaminifu umekuwa tatizo kubwa miongoni mwa jamii ya kizazi hiki! Kutoridhika imekuwa sehemu ya maisha ya sasa si kwa mwanaume au mwanamke kuchepuka ndiyo habari ya mujini kwa sasa hadi wale walioaminika kuwa viongozi wa dini maana hakuna mwenye kinga ya kutotenda dhambi hivyo imekuwa kujitwalia kadri tupendavyo nani atakuwa kiini cha mabadiliko katika wimbi hili linaoelekea kupoteza wengi.

KAMANDA SIRRO: TUTAMFUNGULIA ZITTO KESI YA UCHOCHEZI

SUBSCRIBE HAPA
Kamanda wa polisi wa jiji la Dar Simon Sirro amesema sasa hivi wanaendelea na kukusanya ushahidi wa makosa ya kichochezi aliyoyafanya Zitto Kabwe na upelelezi utakapokamilika watampeleka mahakamani.
Amesema hawatawavumilia watu kufanya uchochezi kwasababu ya siasa kwa kuwa bila utulivu hakuna

Tuesday, 14 June 2016

MAMBO MATANO(5) YANAYOATHIRI MAISHA NA MALENGO YAKO.

SUBSCRIBE HAPA

Kufanikiwa au kutokufanikiwa kwa mwanadamu huwa kunatokana na mchango wa mambo mengi. Mambo hayo huwa yapo ambayo wengine wanayajua na pia wengine hawayajui kabisa. Lakini kwa kifupi, huwa yapo mambo yanayoathiri maisha yetu iwe kwa chanya au hasi ilimradi tu ukikutana nayo.

Kutokana na athari hizo zinazotokana na mambo hayo, hiyo inatuthibitishia kwamba maisha uliyonayo yapo hivyo kutokana na athari ulizozipokea, ambazo zinaweza zikawa chanya au hasi. Kwa kusoma makala haya, utajifunza mambo muhimu yanayo athiri maisha na malengo yako kwa ujumla. Je, mambo hayo ni yapi?

WEST HAM | MCHEZAJI MPYA KUTOKA ALGERIA

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU
https://www.youtube.com/channel/UCohoLl9DK4oepzW_GdEL5sA?sub_confirmation=1
Kiabu ya West Ham nchini Uingereza imemsajili mchezaji wa Algeria Sofiane Feghouli kwa kandarasi ya miaka mitatu.
Winga huyo anajiunga na kilabu hiyo katika uhamisho wa bila malipo.
''Ninafurahi kuweka mkataba na West Ham na kocha Slaven Bilic''.

ILIKUPITA ILE YA SANAMU MWENYE MAKALIO MAKUBWA KAMA TAHADHARI KWA WANAO KUZA MAKALIO SOMA HII

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU KUONA VIDEO KALI
Bonyeza picha yoyote kuona video usiache kusubscribe mtu wangu

The craze for bigger bums among women is on the rise and experts are warning of dire consequences especially for those considering using silicone butt injections

Thanks to well-endowed stars such as Vida Guerra, Beyonce, Jennifer Lopez and many more, curvaceous derrieres have never been more popular. The demand for bigger buttocks globally means

advertise here