layiii
bonyeza picha itakupeleka moja kwa moja katika video ya makabidhiano huko ikulu
Rais Dkt John Pombe Magufuli
akipeana mikono kwa furaha na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya
Mrisho Kikwete aliyefika jana Ikulu jijini Dar es salaam kukabidhi rasmi
Ofisi ya Rais.
Wanajeshi wa
Marekani wametekeleza shambulio la kutoka angani lililomlenga
mwanamgambo wa Islamic State kutoka Uingereza ajulikanaye kama "Jihadi
John", Pentagon amesema.
Mohammed Emwazi, Mwingereza aliyezaliwa
Kuwaiti, alilengwa kwenye shambulio hilo lililotekelezwa karibu na mji
wa Raqqa, nchini Syria.
LAYIII
Kama ni mpenzi wa video za ajabu ajabu basi video hii inakuhusu mwangalie mwanamke aliyeendesha baiskeli yake kwa kidole cha mguu wake bila kudondoka mtu wangu
kama unapendelea kucheka unaweza chukua muda wako pia kuche na hili hapa alilofanya huyu kaka la kujifanya kipofu
Richard Bukos CHA KUFIA! Msanii wa muziki wa Injili Bongo,
Emmanuel Mbasha, Alhamisi iliyopita alinaswa kwenye maongezi
yaliyoambatana na pozi lenye maswali kwa kuonekana akichukua namba
fastafasta kwa mrembo ‘kifaa’.
Good Morning mtu wangu asubuhi yako inaendaje? Inawezekana uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita, pengine ulikuwa busy na hukuzipata zote kwenye kuperuzi na kudadisredioni ila nilizozirekodi zote ziko hapa.
Wajawazito wafichua madudu ya hospitali ya mkoa wa Arusha,Mt. Meru
baada ya kukosa vipimo muhimu kama Ultra-sound na hivyo kulazimika
kwenda hospitali binafsi ili kupata huduma hiyo, vita
Hii ngoma audio yake ilifanyika hapahapa Tanzania mwishoni mwa mwezi April 2015 wakati ambao rapper AKAalitua baada ya kupata mwaliko wa party ya Zari All White iliyoandaliwa na mastaa wawili wapenzi, Diamond Platnumz na Zarina Hassan a.k.a Zari the Boss Lady.
LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUONA HOT VIDEO HAPO CHINI
Hii stori imegusa kwenye vichwa vya habari za Magazeti ya Tanzania November 11 2015, lakini reporter wa millardayo.com
amempata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, na kasimulia stori
ilivyokuwa mwanzo mwisho mpaka wakapata taarifa kuhusu mpango wa ndoa
Imeonekana wanawake wenye makalio makubwa ndio walio na ushawishi mkubwa sana kwa wanaume.hali hiii imechunguzwa na kugundulika ndio hali pekee inayo pelekea wanawake wengi kubakwa na kutongozwa tongozwa na wanaume zaidi ya kumi kwa siku moja
Seven modern wonders in the world: Beijing airport ranks the first
From Britain to the Middle East and China, engineers and architects are
pushing the boundaries of possibility as they strive to create the
biggest and the best. The Guardian recently selected seven wonders to-be
in the modern world which are near completion. Among these, Beijing
Daxing Airport ranks the first and Hong Kong-Zhuhai-Macao Bridge ranks
the third.
BONYEZA PICHA UJIUNGE NAMI YOUTUBU
No.1 Beijing Daxing Airport, China
Beijing Daxing Airport, which is set to be the biggest airport in the
world, is designed by Iraqi-British architect Zaha Hadid. The new
Terminal One will have a radial-like plan, designed to reduce
Inawezekana ulikuwa na maswali mengi
kuhusu mipango ya harusi ya staa wa Bongo Fleva Naseeb Abdul aka Diamond
Platnumz na Zari sasa basi ameyajibu kupitia kipindi cha Mseto cha
Citizen kinachoendeshwa na Willy Mtuva.
LAYII
kuona baadhi ya crip zavideo yake unaweza kubonyeza picha yoyote hapo kisha subscribe youtube ili niwe nakupa update mpya
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya HispaniaCristiano Ronaldousiku wa November 9 alifanya uzinduzi rasmi wa movie yake ambayo anataja kuiandaa kwa ajili ya mashabiki wake, Ronaldo kafanya uzinduzi movie yake inayoitwa ‘Ronaldo’ akiwa pamoja na mama yake na mtoto wake Cristiano Ronaldo Junior.
Jina langu ni Adam hamis gama...
Artist name nafahamika kwa jina la bongo flavor katika mahadhi ya afro pop and rap.
So beautiful ni nyimbo yangu ambayo nimeirealease officialy,ikiambatana na Video.
Video ikiwaimefanywa na director Deo Abel,huku audio ikiwa imefanywa na producer Da pro,chini ya studio za SB.music.
So beautiful inaelezea uzuri wa mwanamke katika nyimbo lakini nilivyokua nikipata idea ya wimbo huu nilikuwa nauzungumzia mziki,muda ambao nilikua nahustle kutoka kwenye mziki ambapo mpenzi Wangu alikua hahitaji kabisa nifanye mziki,so nikapata idea ya kumwambia kuwa yeye ni beautiful but muziki is so beautiful,ndio kupatikana nyimbo SO BEAUTIFUL.
Nawaomba mashabiki wa muziki afrika na dunia kutupa support artist tunaochipukia kwenye huu muziki.