Saturday, 13 June 2015
CHIBU VANESSA MDEE NDANI YA MTV 2015
NA LAYIII ON SPOT
DIAMOND, VANESSA MDEE WATAJWA TUZO ZA MTV 2015
ALI KIBA KUMFUNIKA DIAMOND ILE MBAYAAA KATIKA TUZO ZA KILI AWARD
NA LAYIII
Joh Makini akiwashukuru mashabiki wake (hawapo pichani) baada ya kuchukua Tuzo ya Mtunzi Bora wa Mwaka wa Hip Hop akiwa na Nikki wa Pili (kushoto).
2. KIKUNDI BORA CHA MWAKA TAARAB - JAHAZI MODERN TAARAB
3. BENDI BORA YA MWAKA - FM ACADEMIA
WASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015, ALI KIBA AIBUKA NA TUZO TANO, DIAMOND PLATINUMZ MBILI
MAJINA YA WASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015
1. KIKUNDI BORA CHA MWAKA - BONGO FLEVA - YAMOTO BAND2. KIKUNDI BORA CHA MWAKA TAARAB - JAHAZI MODERN TAARAB
3. BENDI BORA YA MWAKA - FM ACADEMIA
SNOOP DOG LAZIMA NIWE KING TWITTER
LAYIII ON SPOT
#ifSnoopWasTwitterCEO…
Kwenye headlines kubwa za siku ya leo ipo hii moja inayomhusu Mkurugenzi wa Twitter, Dick Costolo kutangaza kujiuzulu kama mkurugenzi wa Kampuni hiyo kutokana na malalamiko kwamba inajiendesha kihasara.
Headlines sasa hivi sio kuhusu Dick Costolo tena, ni Snoop Dogg.. Ishu unajua ni nini? Jamaa kasema eti yuko tayari kabisa kushika nafasi hiyo!!
Snoop Dog alichukua time na kuweka post kadhaa kwenye ukurasa wake @Twitter kwamba yuko tayari kabisa kuiongoza Kampuni hiyo ikiwa tu watampa nafasi.
Trend kwenye Twitter ikawa hivi>>> #BAADA YA TUZO ZA KTMA KUTOLEWA MABADILIKO BAB KUBWA YAMETOKEA
LAYIII ON SPOT

Leo June 12 2015 tunahesabu saa chache
tu kushuhudia Historia ikiandikwa kwenye Burudani ya Muziki TZ, Tuzo
kubwa za Muziki Tanzania, KTMA 2015 leo kuna kipya kilichotangazwa na
waandaaji wa Tuzo hizo.
“Kuna
mabadiliko machache tofauti na ilivyokuwa mwaka jana… tumebadilisha
mpangilio wa Venue ambao kwa mwonekano watu wote wataangalia
mbele… mbali na hayo baada ya Show tumeandaa sherehe ambayo
itawajumuisha watu wote kuburudika kwa pamoja tofauti na kipindi
kilichopita“>>> Pamela Kikuli
NABII KAAMINI AKIZIKWA MZIMA ATAFUFUKA KILICHOJILI DUUU KICHEKO SI KICHEKO ICHEKI HAPO
NA LAYIIII ON SPOT

Nimekutana na stori hii kutoka Zimbabwe inamhusu Nabii mmoja kutoka nchi hiyo kufariki akiwa kwenye mishemishe za kupata nguvu za ziada ili akemee mapepo.
Nabii huyo Shamiso Kanyama alifatwa
na familia moja wakamuomba aje nyumbani kwao ili afanye maombezi
kuondoa mapepo yaliyokuwepo kwenye nyumba ya wanafamilia hao.
Nabii huyo akaenda kufanya maombezi na
wanafamilia hao… Wakiwa katika maombezi hayo, nabii huyo alidai kuwa
roho mtakatifu amezugumza nae na kuwaomba wanafamilia hao kuchimba
kaburi nje ya nyumba ili wamzike akiwa hai, alafu akifufuka atakuwa na
nguvu mpya ya kuendelea na maombezi hayo.
Friday, 12 June 2015
DUNIA IMEISHA MSANII MWINGINE CHIPUKIZI KAACHIA MIPICHA YAKE ILI APATE KIKI MITANDAONI ONA PICHA ZAKE
NA LAYIIII ON SPOT
Posted by
Boss Ngasa
a
BAISKELI INAYO PAA YAVUMBULIWA INAKWENGA KWA JINA LA Hoverbike NA NICKNAME NI Flike
NA LAYIII ON SPOT
Aeroflex’s flying bike, called Hoverbike and nicknamed Flike, has made its first successful manned flight in Hungary. Though Hoverbike’s top speed is 30 mph, maximum flying height is 15 feet and it sustains flight for about 30-40 minutes; it uses anti-gravity technology, emits zero emissions and does not crash.
A team of flight enthusiasts at the Hungarian research institute, Bay Zoltan Nonprofit Ltd, designed and developed the all-electric cycle, a personal tricopter, in just six months. Flike’s creators write on their website:
Aeroflex’s flying bike, called Hoverbike and nicknamed Flike, has made its first successful manned flight in Hungary. Though Hoverbike’s top speed is 30 mph, maximum flying height is 15 feet and it sustains flight for about 30-40 minutes; it uses anti-gravity technology, emits zero emissions and does not crash.
A team of flight enthusiasts at the Hungarian research institute, Bay Zoltan Nonprofit Ltd, designed and developed the all-electric cycle, a personal tricopter, in just six months. Flike’s creators write on their website:
All Electric Flying Bike Has Successful First Flight
See Here: thttp://anonhq.com/?p=22857
See Here: thttp://anonhq.com/?p=22857
Thursday, 11 June 2015
haya sasa mimba ya zari si ya diamond a.k.a chibuuuu..........nifate hapa chini
na layiii
Mwandishi wetu
OHOOO! Wakati Nasibu Abdul ‘Diamond’ akijinadi kwa mbwembwe kuwa anategemea kiumbe kutoka kwa mwandani wake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, ubuyu mpya wa mjini unadai kuwa mimba aliyobeba mrembo huyo si ya Diamond, Amani limemeza sababu za kutosha.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho karibu na Diamond anayesumbua kwa sasa na wimbo wake wa Nana, tangu habari ya ujauzito wa mlimbwende huyo mwenye asili ya Uganda ianze kupamba vyombo mbalimbali vya habari, watu walio karibu na staa huyo hawakuziamini.
OHOOO! Wakati Nasibu Abdul ‘Diamond’ akijinadi kwa mbwembwe kuwa anategemea kiumbe kutoka kwa mwandani wake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, ubuyu mpya wa mjini unadai kuwa mimba aliyobeba mrembo huyo si ya Diamond, Amani limemeza sababu za kutosha.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho karibu na Diamond anayesumbua kwa sasa na wimbo wake wa Nana, tangu habari ya ujauzito wa mlimbwende huyo mwenye asili ya Uganda ianze kupamba vyombo mbalimbali vya habari, watu walio karibu na staa huyo hawakuziamini.
Monday, 8 June 2015
MASKINI JOKATE ETI ANAJIUA ISSUE NZIMA HAPO CHINI MTU WANGU .................
NA LAYIII ON SPOT
Sexy lady mtafutaji anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’,
MBELE YA GAZETI HILI
Brighton Masalu
Imefichuka! Sexy lady mtafutaji
anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban
Mwegelo ‘Kidoti’ kwa mara ya kwanza ameweka wazi kwamba alitaka kunywa
sumu kisa kikiwa ni kuumizwa kimapenzi na mwanaume aliyempenda
kupindukia, aya zifuatazo zimesheheni.
Subscribe to:
Posts (Atom)