Sunday, 19 March 2017

HII HAPA TAARIFA YA MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA KUHUSU MAKONDA KUVAMIA CLOUDS SHILAWADU

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikiaminika ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiingia Clouds Media akiwa na askari, Uongozi wa Clouds Media Group umetoa taarifa rasmi leo March 19 2017.

Taarifa imesema…>>>’Kumekuwa na habari mbalimbali kuhusu Clouds Media Group na viongozi mbalimbali akiwemo Askofu Josephat Gwajima na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda. Kiini

NAPE NNAUYE KUTINGA CLOUDSFM NI KUHUSIANA NA KILICHOTOKEA DHIDI YA KINACHOSEMWA UVAMIZI WA OFISI HIYO


Waziri Nape: Nakwenda Clouds Media kuona kilichotokea, Ni kuhusu Ishu ya RC Makonda
Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikiaminika ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiingia Clouds Media akiwa na askari, Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye kupitia account yake ya twitter ameyaandika haya……

Saturday, 18 March 2017

TUNDU LISSU AANDIKA HISTORIA NYINGINE MTU WANGU


Mwanasheria Mkuu Chadema Tundu Lissu achaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa jumla ya kura 1,411 kati ya 1,682 zilizopigwa.
Mwanasiasa Julius Mtatiro ambaye kwa sasa yupo jijini Arusha amethibitisha ushindi huo wa Tundu Lissu 
"Wakili msomi Mhe.Tundu Lissu ameshinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata kura

TUNDU LISSU ASHINDA URAIS TLS KWA KISHINDO

Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu Mapema Hii Leo ameweza kuibuka na ushindi wa kishindo cha Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kwa Kujizolea Asilimia 88 ya Kura Zote.

LIZUIE KWAPA LAKO KUNUKA KWA NJIA HIZI HAPA

Kikwapa  ni  tatizo la kutoa harufu mbaya  sehemu ya kwapani katika mwili wa binadamu. Tatizo la kikwapa husababishwa na bakteria wanaovutiwa na jasho au unyevunyevu  chini ya kwapa.
Tatizo la Kikwapa ni kero kwa sababu husababisha mtu kutoa harufu inayokuwa kero kwako na kwa mtu mwingine aliyeko jirani yako.

Ili kwapa lako liwe na harufu nzuri, kavu na safi fanya yafuatayo
  • Paka kipande cha limao kwenye kwapa na kuacha lipate hewa  safi ili kuua vijidudu na kutoa tezi za jasho kuondoa harufu mbaya
  • Vaa nguo safi zenye nyuzinyuzi za asili kama pamba, hariri na sufu zitasaidia kufyonza

UJUMBE WA LOWASSA KWA RAIS MAGUFULI

Image result for lowassaAliyekuwa Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa, amemtaka Rais Dkt. John Magufuli kuifuta kauli yake ya kuwataka wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wasishirikiane na wabunge wa vyama vya upinzani.

KIAINA AINA JPM AMDISI WEMA SEPETU KUHAMA CHAMA


Magufuli akiwakaribisha wasanii kwenye mkutano wa CCM Dodoma aliwasifu kuwa ni wasanii wazuri na sio kama yule mwingine aliyehamia upande wa pili

Wednesday, 15 March 2017

ZIMEBAKI SIKU 5 MSHINDI KUTANGAZWA, JISAJILI SASA NAFASI NI YAKO USIFE MOYO



Umeshawahi Kufikiria Kupata Gari la Bure bila Kulipa Chochote, Basi hii Kampuni ya Cars From Japan Wanakupa Nafasi Hiyo na ww miliki Gari bure.

Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo, Nirahisi sana wala usihofu

Tuesday, 14 March 2017

MVUA DAR YAUA MTOTO AKIJARIBU KUVUKA MTO MSIMBAZI


Na Regina Mkonde
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam jumanne ya Machi 13, 2017 katika eneo la Mongo la Ndege, limeokota mwili wa mtoto wa kike aliyefahamika kwa jina la Imelda Ngonyani (13) aliyekufa maji wakati akijaribu kuvuka mto Msimbazi.

Akizungumza na waandishi wa habari Machi 14, 2017, Kamishna wa Kanda hiyo, Kamanda Simon Sirro amesema marehemu huyo kabla ya kufa maji alikuwa pamoja na wenzake watano walionusurika kifo wakielekea shule ya Msingi ya Mongo la Ndege.

NIMEKUSOGEZEA KATUNI KALI ZA LEO



Monday, 6 March 2017

GWAJIMA NNA MAZAGA ZAGA KIBAO KUHUSU DAUDI BASHITE


Askofu mkuu wa Kanisa la Ufufuo na uzima ,Bwn Josephat Gwajima amesema kwamba, vita ndo kwanza imeanza. Ana nyaraka zote zinazoonesha uhalali wa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwamba jina lake halisi ni Daudi Bashite na kwamba kama anabisha hakuina cheti, ajitokeze kuthibitisha swala hilo.

" Nilichorusha ni kijipande tu, matokeo yake mnayaona. Ajiyokeze akanushe swala hilo kwa evidence

Sunday, 5 March 2017

TRUMP ATAKA OBAMA ACHUNGUZWE KWA KUTUMIA MAMLAKA YA URAIS VIBAYA

BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NASI SOUNDCLOUDS

Rais wa Marekani Donald Trump ametaka bunge la Congress kuchunguza ikiwa Barack Obama alitumia vibaya mamlaka yake wakati wa kampeni ya uchaguzi siku moja baada ya kudai kuwa Obama alikuwa akidukua simu zake.

Msemaji wa Trump alisema kwa uchunguzi kuhusu kuingia kwa Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani utasaidia uchunguzi huo.

Trump alitoa madai hayo kwenye mtandao wa tittwer lakini hakutoa ushahidi wowote.

Aliyekuwa mkuu wa ujasusi nchini Marekani James Clapper, wakati wa kampeni alikana

SERIKALI YATEUWA WAZIRI WA MASUALA YA NGONO


BONYEZA PICHA KUONA VIDEO HAPA MTU WANGU

Bunge la Uhispania

Katika juhudi za kuongeza idadi ya watu inayoendelea kupungua, nchini Uhispania sasa serikali imeamua kumteua waziri wa masuala ya ngono.

Waziri mkuu wa nchi hiyo Mariano Rajoy amethibitisha uteuzi wa Edelmira Barreira kuwa afisa mkuu wa masuala ya ngono.

Hatua ya kubuni wizara nzima ya maswala ya ngono na mahaba huko Uhispania imetokana na hofu waliyo nayo wanasiasa.

Wakati kwengineko duniani watu wana hofu kwamba idadi ya watu nchini mwao inaongezeka kushinda rasilmali zilizopo , huko Spain hofu ni kwamba idadi ya

WEMA SEPETU AMTEMBELEA MBUNGE GODBLESS LEMA


Bonyeza picha hapa kujiunga nasi sound clouds
Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye hivi sasa amehamia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametimiza hadi yake kwenda kuonana na Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Godbless Lema ambaye amepata dhamana siku ya Ijumaa na kutoka gerezani.

Tuesday, 28 February 2017

ULIIPATA HII YA BATULI KUKANUSHA WEMA KUIDAI CCM HII HAPA



Muigizaji wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amekanusha taarifa iliyotolewa na Wema Sepetu kuwa CCM haijawalipa pesa za kampeni ya Mama Ongea na Mwanao kwenye uchaguzi wa mwaka 2015.

Akizungumza na wanahabari kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Protea, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ akiwa na Ndumbangwe Misayo ‘Thea’,amesema madai aliyoyatoa Wema Sepetu hayana ukweli wowote kwa sababu

WEMA SEPETU AMCHINJIA BATURI BAHARINI



Sasa Wema Sepetu na Batuli ni mbuzi na chui, urafiki ndio umefika mwisho. Tukio hilo limetokea baada ya Wema kukasirishwa na kitendo cha Batuli kusema kuwa yeye alishalipwa fedha zake za kampeni na CCM.

Kupitia mtandao wa Instagram, Wema Sepetu ameweka picha ya rafiki yake huyo wa zamani na kuandika ujumbe ambao umeashiria kuwa urafiki wao ndio basi tena.

Sunday, 26 February 2017

ILIKUPITA HII YA RIDHIWANI KIKWETE KUKUTANA NA EDWARD LOWASA KWA MARA YA KWANZA IPATE HAPA



Baada ya Jana Ridhiwani Kikwete Kukutana na Edward Lowassa Uwanja wa Taifa na Kupiga nae Stori kidogo amefunguka haya kwenye ukurasa wake wa Twitter:

Saturday, 25 February 2017

NI KIFO SIMBA Vs YANGA LEO UWANJA WA TAIFA DAR


NI mechi ya vita na kisasi. Ndivyo ambavyo inaweza kutafsiriwa katika mchezo wa mahasimu wawili Simba na Yanga utakaochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mchezo huo ni vita kwasababu ndizo timu zinazoongoza kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa tofauti ya pointi mbili, Simba ikiwa na pointi 51 katika michezo 22 na Yanga ikishika nafasi ya pili kwa pointi 49 katika michezo 21 iliyocheza.

STEVE NYERERE AKERWA NA KITENDO CHA MAMA WEMA KURECORD MAONGEZI YAO

Baada ya sauti zilizosambaa zikimuhusisha Mwigizaji Steve Nyerere na Mama wa mwigizaji Wema Sepetu wakizungumza huku akitaja baadhi ya viongozi mbalimbali aliodili nao kwenye sakata la Wema kushikwa na Polisi, leo Steve Nyerere ameita Waandishi wa habari na kuongea nao.

Steve Nyerere amesema kuwa hakuna msanii hata mmoja ambaye anakidai Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema mambo ambayo anasema Weme Sepetu kuwa anakidai chama hicho ni uongo na uzushi mtupu.

Amesema katika wasanii mbalimbali ambao huenda walilipwa pesa nyingi zaidi ni Wema Sepetu pamoja na

advertise here