Friday, 22 May 2015

KIDOA NAYE JAMANI ETI MASOGANGE NI CHA MTOTO DUUU JAMANII----

LAYIII
Mayasa Mariwata
VIDEO Queen anayekuja kwa kasi Bongo, Asha Salumu `Kidoa’ amempa makavu laivu muuza sura mwenziye

KWELI KANUMBA ALIKWENDA NA NYOTA YA BONGO MOVIE MSIKIE RAY MWENYEWEE HAPA CHINI KAKIRI KWA KINYWA CHAKE

LAYIIIIII
Na Brighton Masalu
Msanii Vincent Kigosi ‘Ray’ amekiri kwamba kufariki kwa Steven Kanumba kumemsababishia kuporomoka kisanaa na kiuchumi kwa kukosa ushindani thabiti kwenye game.

IYOBO NAYE KWA ANTI EZEKIEL DUUU ITAFAHAMIKA TU NA HIYO MIMBA

Na swaxbz layiii

Imelda Mtema
MPENZI wa staa maarufu wa filamu Bongo Aunt Ezekiel, Moses Iyobo ambaye pia ni dansa mahiri wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakwenda kwenye

Wednesday, 20 May 2015

diamond aacha gumzo landon

na swaxbz layiii
Musa Mateja
AMAZING! Hiyo ndiyo kauli pekee unayoweza kuitamka kuakisi shoo baab’kubwa aliyoifanya mkali wa wimbo wa Nasema Nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’, London, Uingereza, Risasi Mchanganyiko linakujuza zaidi.

Friday, 15 May 2015

HAKUNA CHA YOUTUBE DOWNLOADER WALA CHA IDM HAPA NI Finco Download Manager TU HEMBU ICHEKI HAPA MTU WANGU

NA SWAXBZ LAYIII
HAYA SASA MNAO SUMBUKA NA KUDOWNLOAD NI ZAMU YA FINCO KUWALETEENI APPLICATION KALIIII MTAKAYO DOWNLOAD VITU KWA HARAKAAAA NOUMA SANA CHEKI VITU HAPA MTU WANGU
Written by admin
fdmF
Finco Download Manager is an excellent download accelerator that will take care of all your downloads from the moment you install it on your Device.To use, just copy the download link and Paste in the add url field and you can let the app take care of the rest. FDM allows up to 10

Windows 7 Password hacker

win7 Password HackerNA WAXBZ LAYIII

Written by SWAXBZ LAYIII

Wednesday, 13 May 2015

BOW WOW AJITOA CASH MONEY

NA SWAXBZ
KUWA NAMI KUPATA UPDATE  NEWZ MAPEEEEMA

Rapa aliyeanza muziki tangu akiwa na miaka mitano, Bow Wow.
New York, Marekani
RAPA aliyeanza muziki tangu akiwa na miaka mitano, Bow Wow, amejitoa kwenye

Saturday, 9 May 2015

MVUA DAR KWISHA HABARI YAKE GWAJIMA AZITEKETEZA NA JESHI LAKE

NA SWAXBZ LAYIIII
haribu tena, na ninaiamuru ardhi imeze maji yote yaliyojaa juu ya nchi".

Friday, 8 May 2015

Monday, 20 April 2015

HAYA SASA KULIKONI SHAMSA NA SIWEMA WA NEY?????????


KUMEKUCHA NA SWAXBZ LAYIII
Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ , Siwema.
Imelda mtema
Kazi imeanza! Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambaye kwa hivi sasa ni mpenzi mpya wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ na mpenzi wa zamani wa Mbongo-Fleva huyo, Siwema wameanza kuchimbana baada ya hivi karibuni kurushiana madongo.

TOTO RIHANNA LAJIACHIA MJINI HAWAII MAREKANI

Mwanamuziki, Robyn Rihanna Fenty (27) 'Rihanna' akitembea akiwa kashika glasi ya juisi  katika fukwe za Hawaii, Marekani  jana Jumapili.

Saturday, 18 April 2015

UNAIKUMBUKA HII......... AY NDIYE WAKALA WA GODFATHER WA AFRIKA KUSINI

NA SWAXBZ LAYIIII





Ambwene Yassaya-AY
Ambwene Yassaya-AY
Mkali wa mziki wa kizazi kipya Tanzania Ambwene Yesaya-AY anayetamba kwa kibao chake cha ‘Asante’ ndiye wakala wa muongozaji Godfather mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini.
AY amesema msanii yeyote wa Afrika Mashariki anayehitaji kufanya video chini ya muongozaji huyo ni lazima apitie kwake kwani yeye ndiye wakala wake hapa Afrika Mashariki.
Alisema… “Huwezi kufanya video na Godfatherni lazima utapita kwangu na utalipa gharama zote kwangu kwani tumeingia deal pamoja.”

ALICE WA THT APATA KI------;;;;;;; JUKWAAANI

NA SWAXBZ LAYIIII
 IMG-20140508-WA0001
Kulikuwa na story nyingi kwenye Hekaheka.. kukawa na ugeni wa msanii wa THT, anaitwa Alice  akasimulia Hekaheka yake aliyokutana nayo akiwa kwenye show.

NEY WA MITEGO HOI

NI BAADA YA MAJIBU YA DNA YA MTOTO ANAYEDAIWA KUWA NA BABA MWINGINE EMBU FUATILIA HATUA KWA HATUA HAPA

NA swaxbz layiiiii

Majibu ya Nay wa Mitego baada ya kupima vipimo vya DNA kwa mtoto wake yametoka.

neyBaada ya

JINSI RAIA WALIVO HAHA KUHAMA BAADA YA MACHAFUKO AFRIKA KUSINI

SWAXBZ LAYIIII
Maandamano ya kupinga ghasia dhidi ya wageni yalifanyika mjini Durban.
Raia wa kigeni wakitoa bidhaa katika maduka yao kufuatia kushambuliwa na wenyeji.

Friday, 10 April 2015

TASWIRA YA MGOMO WA MADEREVA JIJINI DAR

NA SWAXBZ LAYIII
AW1A1307
Kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii, redioni na TV ni ripoti ya story kubwa ya mgomo wa mabasi ya abiria, nikasogea Kituo cha Mabasi Ubungo kuona hali ilivyo.
Vurugu kubwa zimezuka, yakachomwa matairi ya magari barabar

advertise here