Sunday, 17 April 2016

KAMA HUKUJUA MADHARA YATOKANAYO NA UVUTAJI WA SIGARA NIMEKUSOGEZEA HAPA

LAYIII
Bonyeza picha hii kujiunga nami youtube
 Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni kutegea sikio kipindi kingine cha Ijue Afya Yako. Leo tutazungumzia madhara ya kuvuta sigara, tabia ambayo imezoeleka na watu wengi ingawa ina madhara mengi. Ili kuweza kuyajua madhara hayo kwa undani, usiondoke kando ya redio yako hadi mwisho wa
https://www.youtube.com/watch?v=M3iWPmDcf5g

ZIJUWE DAWA ZINAZOPUNGUZA AMA KUUWA NGUVU ZA KIUME

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KWA HABARI KWA NJIA YA VIDEOS
https://www.youtube.com/watch?v=mUlBC6Nj-ls
Dawa zote zinazopatikana mahospitalini na maduka ya madawa zinaletwa kusaidia watu wenye matatizo mbalimbali, japokua baadhi ya dawa hizo huambatana na madhara madogo na makubwa kwenye mwili wa binadamu. madhara madogo madogo huweza kua kichefuchefu,kizunguzungu, kutapika, kuharisha na kadhalika. na madhara makubwa huweza kua kansa, madonda ya tumbo, ugumba, kuishiwa nguvu za kiume na kadhalika. leo ntaenda kuongelea dawa za hospitalini ambazo zinhusika sana kuua nguvu za kiume na kama una tatizo hili uziepuke mara moja.

ZIJUWE SABABU ZINAZOFANYA WEWE MWANAMKE USIOLEWE MAPEMA

LAYIII
Bonyeza picha jiunge nami youtube usiache kusubscribe nami youtube
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Hizi Hapa ni Sababu Zitakazokufanya Wewe Binti Usiolewe Mapema

★1. Kuvaa nguo za ajabu ajabu kama changudoa. Sijui ni nani aliyewaambia kuwa mkivaa hivyo mnapendeza!

★2. Kujipaka marangi ya ajabu ajabu usoni kama mwali wa kimakonde au kizaramo kwanza mnatutisha tu.

★3. Kupenda kujirahisisha au kujipendekeza pendekeza kwa wanaume, yani ukiguswa kidogo tu twende.

★4. Kuwa na picha karibia 500 Facebook, Twitter nk halafu picha zenyewe hazieleweki yani zimepigwa

DARAJA LA KIGAMBONI LAGEUKA KUWA KIVUTIO KWA WATU WENGI

LAYIII
Bonyeza picha kujiunga nami youtube
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Baada ya Serikali kuruhusu matumizi ya daraja jipya la Kigamboni kwa watembea kwa miguu na magari kwa majaribio, hatua hiyo imepeleka neema kwa wakazi wa mji huo, huku ikipunguza idadi ya vyombo vya moto katika vivuko.

Jana asubuhi, mwandishi wetu alishuhudia magari yakipita katika daraja hilo, kama ilivyo katika barabara zilizozoeleka za Mandela na Morogoro, huku baadhi ya madereva wakiendesha na kujipiga picha kwa simu za mkononi.

Watembea kwa miguu nao hawakuwa nyuma na idadi yao ilizidi kuongezeka mchana baada ya mvua zilizokuwa zikinyesha kuisha na sehemu kubwa walionekana kama watalii waliokuwa wakipiga picha na

USIPITWE NA VYOO VILIVYOINGIA KATIKA LIST YA VYOO BORA DUNIANI

LAYIII
Vyoo
Mwongozo wa vyoo 100 bora zaidi duniani umechapishwa na kampuni ya usafiri ya Lonely Planet.
Mwongozo huo umeorodhesha vyoo vya kila aina ambavyo bila shaka vina uwezo wa kuwaacha wasafiri vinywa wazi au kuwa na kumbukumbu za kusalia nazo daima.
“Vyoo ni dirisha la kuingia ndani katika moyo wa pahala Fulani. Isitoshe,

Friday, 15 April 2016

ZITAMBUE SIMU FEKI HAPA USIJE ZIMIWA SIMU BURE

LAYIII
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
1. Kabla hujanunua simu mpya hakikisha unaandika namba hii *#06#, kwenye simu hiyo au ambayo tayari umenunua.
2. Ukishaandika itaonyesha namba ya pekee (serial number) au IMEI (International Mobile Equipment Identity) ambayo ni lazima ziwe tarakimu 15 au zaidi na ni lazima ianze na 35.
3. Angalia kwa makini kama namba unazoziona zinafanana moja kwa moja na namba zilizoandikwa katika simu yako kwenye sehemu ambayo betri inakaa. Namba hizi zinapaswa kufanana kwa simu ambayo ni halisi. Kama hazifananani simu hiyo ni feki.

AKUZA MAKALIO YAKE KWA KUTUMIA DAWA ZA KUKUZIA KUKU WA KISASA

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUONA VIDEO YA WALIOKUZA MAKALIO YAO USIACHE KUSUBSCRIBE NAMI YOUTUBE MTU WANGU
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
"I had always wanted to have a bigger butt since high school i felt my figure one shape wasn't sexy enough and made me unattractive to men, i never got to be hit on by men as much which as a lady got me worried and concerned. When i joined campus all my friends were getting hooked up but me, a friend advised me to buy the booty pads which i bought at 3k in town, surprisingly i started getting advances but my fear of going to bed and the man discovering the secret kept me away from sleeping with them,i felt lonely inside i couldn't get to enjoy"

YULE MTU MREFU DUNIANI SASA YUPO NCHINI MAURITIUS

LAYIII
Hivi kwa halii hiii vigodoro vitaisha dar kweli bonyeza picha hii kushuhudia vigodoro vya wanafunzi flani maeneo flani
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Sultan Kösen ana urefu wa futi 8 na inchi 3 au mita 2.51.
Mtu mrefu zaidi duniani raia wa Uturuki Sultan Kösen aliye na urefu wa futi 8 na inchi 3 au mita 2.51 amewasilia nchini Mauritius leo asubuhi.
Sultan alilakiwa na umati katika kisiwa hicho cha bahari ya Hindi, kwa mujibu wa taarifa zilizowekwa kwenye ukusara wa facebook wa mtandao wa habari wa nchi hiyo.

KIARABU CHA PIGWA MARUFUKI KATIKA MISIKITI NCHINI UJERUMANI

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KWA HABARI MBALI MBALI
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Kiongozi wa chama cha Conservative cha Ujerumani Andreas Scheuer amependekeza kuwa kijerumani kitumike wakati wa salah misikitini nchini humo badala ya Kiarabu.
Mwanasiasa huyo aidha anasema kuwa ni sharti Ujerumani izuie ufadhili wa misikiti kutoka Saudi Arabia na Uturuki.
Katibu huyo mkuu wa chama hicho cha CSU ambacho ni mshirika wa chama kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel cha CDU analaumu siasa za

BOBOA BOMOA INAZIDI KUPIGWA KALENDA

LAYIII
Bomoabomoa iliyoanza mwishoni mwa mwaka 2015 kwenye maeneo mbalimbali ya mabondeni ikiwemo kwa maeneo yaliyo kando na mto msimbazi ambapo zoezi hilo lilisitishwa baada ya wakazi wa Tabata Segerea kufungua kesi kupinga ubomoaji wa nyumba zao. 
April 15 2016 ilikuwa ni siku ambayo kesi ilitakiwa kutolewa hukumu katika Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi lakini taarifa iliyotoka ni kwamba Jaji Fredrica Mgaya aliyetakiwa kusoma hukumu hiyo anaumwa. Wakizungumza na millardayo.com Diwani kata ya Tabata, Patrick Assenga na Mbunge wa viti maalum Segerea, Anatropia Theonest, wamesema …..

DOWNLOAD : GODZILLA MWASITI SINGO MPYA

LAYIII
Ni siku kadhaa tangu rapper Godzilla aichie single yake iitwayo ‘I Get High’, sasa time hii anakualika kuisikiliza hii single mpya inayoitwa First Class aliyomshirikisha Mwasiti.
Isikilize hapa

Wednesday, 13 April 2016

HILI NALO JIBU KIJANA UKITAKA KUOA UO MANAMKE MWENYE NYOTA WENGINE MBWEMBWE

LAYIII

Kuna kitu kipo lakini watu hawajui au hawjawahi kukifikiria!! Nacho ni Nyota ya mwanamke!! Ndio nyota
Leo nimeambiwa kisa kimoja ambacho kimelipua mawazo yangu yaliyolala kwa kitu ambacho nilshakua nakuona
STORY
Kuna jamaa yangu anataka kuoa mke wa pili baada ya kuombwa na mke wa kwanza afanye hivo!!Jamaa kamuoa mke wa kwanza miaka michache iliopta na alikua mambo safi kwa sabab bahati

MBONA HATUELEWI HAMA HAMA YA WATANGAZAJI A RADIO

LAYIII

Watangazaji sasa wanabadilisha vituo kama team za soccer.

Gadner katoka Efm kaenda Clouds.

PJ na Hando wametoka Clouds wameenda Efm.

Jabir saleh na Bi Hindu wametoka Times fm wameenda Efm.

Dj Senyorita na Mami wametoka East Africa radio wameenda Clouds.

DIAMOND SIPENDI KUISHI MAREKANI NIMENUNUA NYUMBA SOUTH AFRICA

LAYIII

Msanii Diamond Platnumz amefunguka kuhusu suala la yeye kutonunua nyumba nchini Marekani kama wasanii wenzake wakubwa wa Afrika wanavyofanya.

Diamonda amefunguka hilo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa haoni umuhimu wa yeye kununua nyumba Marekani, tofauti na alivyonunua Afrika Kusini, kwani kule ilimlazimu.

MUGABE SIFI HADI NIFIKISHE MIAKA 100

LAYIII
Mugabe:Sifi hadi nifikishe miaka 100.
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, Februari mwaka huu ametimiza umri wa miaka 92 lakini lengo lake anasena ni kuishi miaka 100. Mwanasiasa huyo alizaliwa Februari 21, 1924. “Nina furaha kwa sababu nakaribia kufikia umri ninaotaka. Unajua umri ninaotaka kufika, miaka 100 kwa hiyo imebaki miaka minane tu,” anasema Rais Mugabe wakati anahojiwa na Shirika la Utangazaji la Zimbabwe (ZBC).

Tuesday, 12 April 2016

SHAMSA FORD KASEMA ALIACHANA NA NAY WA MITEGO KISA MANENO YA WATU ILA KWA SASA AKISEMA WARUDIANE YUPO TAYARI

LAYIII
Ukweli vigodoro haviwezi kuisha dar bonyeza picha hii kushudia vigodoro vingine huko bichi

Baada ya kauli ya rapa Ney wa Mitego kwa mpenzi wake wa zamani, Shamsa Ford kwamba kama anachagua wasichana wa kurudiana naye atakuwa wa kwanza kutokana na ukarimu na mapenzi yake, mrembo huyo ameibuka na kufurahia kauli hiyo.
Shamsa ambaye mara zote alikuwa amepambwa na Bashasha, alidai Penzi lake na rapa huyo lilivunjwa na maneno ya watu.

TANZANIA TUMEPATA MWANAMKE WA KWANZA KUIPAISHA NDEGE AINA YA BOIENG

LAYIII
Huyu amekuwa Rubani wa Kwanza Mwanamke kuipasha ndege aina ya Boieng Tanzania.
Kati ya wanawake wa Kitanzania waliopeperusha bendera yetu vizuri nje ya nchi kielimu ni Kapteni Hilda Wendy Ringo ambaye sasa ni rubani.

Elimu yake ya sekondari aliipata katika Shule ya Tambaza jijini Dar es Salaam na baadaye Chuo Cha Urubani cha Progress Flight Academy cha jijini Pretoria, Afrika Kusini.

Ni mwanamke wa kujivunia katika nchi yetu kwa sababu amekuwa akirusha ndege yaani rubani. Amewahi kuhojiwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini na kuhusu kazi yake hiyo anasema:
“Kurusha ndege ni jambo zuri linalofurahisha.”

BAADA YA MIAKA KADHAA LADY JAYDEE AKUTANA NA RAY C

LAYIII
Hakika vigodoro haviwezi kuisha dar bonyeza picha hii kushudia vigodoro vingine
Lady Jaydee kakutana Ray C baada ya miaka 6, Kaamua kumuandikia huu Ujumbe.
Kwa mujibu wa Diva wa Muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee, ni kwamba hawakuwahi kuonana na Diva mwenzie Ray C kwa zaidi ya miaka 6.
Sasa juzi wakali hawa wamekutana tena, japo haijawekwa wazi ni wapi lakini furaha ya Jaydee Hit maker wa Ndindindi ilikuwa kubwa kiasi cha kuandika ujumbe mzito Instagram.
“Thank you for visiting me doll( Ray C) A message of Hope: Kila Mtu Anapitia Magumu Katika Maisha

advertise here