Monday, 9 March 2015

swaxbz on poz full kula hewa at malumbi beach resort tamarindiiii

get tayari am comming with habari moto  moto za ukweeee mpo hapo watu wangu like page hii kila siku upate lates news

MATUMIZI MABAYA YA 911 YAMPONZA

922Ndani ya wiki hii headlines kuhusu Marekani na ishu ya dawa za kulevya ni sehemu tu ya zile nyingi zilizotufikia,

NI ZAMU YA MBWA SASA KUGUNDUA TIBA YA KANSA ACHANA NA PANYA TENA KUTEGUA MABOMU

Dog PetWatafiti wamekuwa wakigundua baadhi ya viumbe kutumika sehemu mbalimbali, tumeona panya wanaotegua mabomu,

ULIPITWA NA NDEGE INAYOTUMIA SOLAR POWER ICHEKI HAPA SASA

1689Duniani kote wataalamu wanaangalia namna ya kubuni teknolojia itakayosaidia kukabiliana na tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa, mpshi wa viwanda, magari vinatajwa kama vyanzo vya

KALI YA MWAKA MAJENEZA KUTOKA CHINI NI DILI KUBWA MAREKANI

purple_and_gold_casket_041
Kwetu TZ kuikuta bidhaa kutoka China kwenye duka lolote sio kitu cha kushangaza kiukweli, kuna radio, simu, TV na bidhaa nyingine nyingi sana ambazo tunazinunua na kutumia ambazo zina maandishi ‘Made in China‘.

Sunday, 8 March 2015

P Square sasa kwenye ukurasa mmoja na Usher Raymond, Ludacris na T.I


Screen Shot 2014-01-20 at 3.09.53 AMSiku zote ukisikia Mwafrika yeyote kanunua au anamiliki nyumba Marekani au kwenye nchi yoyote iliyoendelea sana duniani, lazima sehemu ya mawazo yako iwe ni fikra juu ya utajiiri alionao.

Mmiliki wa Facebook amenunua huu upande wa kisiwa cha Hawaii.

Mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua sehemu kubwa ya kisiwa cha Hawaii iitwayo Kauai ambayo ni hekari 700 kwa dola za Kimarekani milioni 100 ambapo atakuwa anamiliki eneo kubwa ambalo litaendana na hadhi ya bilionea, jarida la Forbes limeripoti.
Hekari hizo 700 zitajumuisha beach resort, mashamba ya miwa na kilimo hai ambapo kwa sheria za Hawaii beach resort hiyo lazima iachwe wazi kwa matumizi ya jamii kwa sababu kisiwa hiko hakina sheria ya umiliki binafsi wa mchanga.
mark

advertise here