Sunday, 30 April 2017

KUMBE MKUU WA MKOA LAZIMA AWE NA DEGREE ISOME HAPA


ZITTO KABWE: KUHUSU NDEGE MPYA BOEING AFUNGUKA MAKUBWA



Sakala la Serikali kusemekana imenunua ndege ya Boeing ambayo ina walakini imechukua sura mpya baada ya Mbunge Zitto Kufunguka Haya Hapa chini kupitia page yake ya Facebook:

MADAM FLORA SIPENDI MAISHA YA USTAA




Madam Flora (zamani Flora Mbasha) amesema hayo hivi karibuni ikiwa ni siku chache kuelekea ndoa yake ambapo amefunguka na kudai kuwa baada ya kumpata mwanaume ambaye siyo maarufu anafurahi kwani hata mfumo wa maisha yake utaenda kubadilika na kuishi kama watu wengine ambao siyo maarufu.

Saturday, 29 April 2017

FREEMASON: HUU NDIO UTAJIRI ALIOUACHA KIONGOZI WA FREEMASON SIR CHANDE


MTANDAO maarufu wa Wikipedia umedai kwamba hayati Jayantilal Keshavji Chande (Sir Andy Chande) ameacha utajiri wa kiasi cha dola milioni 892; unaomfanya kuwa na utajiri mkubwa kuliko ule wa Said Bakhresa, ingawa watu waliokuwa karibu naye wanakana kuwa na utajiri wa aina hiyo.

Kwa mujibu wa mtandao huo, Bakhresa ana utajiri wa thamani ya dola milioni 560 (shilingi trioni 1.2) akiwa nyuma ya Mohamed Dewji aliyetajwa na jarida la Forbes kuwa na utajiri wa dola bilioni 1.1

Friday, 28 April 2017

PAUL MAKONDA ANUSURIKA LEO APRIL 28



Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi Bora Mhe. Angellah Kairuki amebainisha baadhi ya mambo waliyokuwa wameyapa kiupambele katika zoezi zima la uhakiki wa vyeti feki kwa kusema zoezi halikuweza kuhusika na viongozi wa kisiasa.

POLEPOLE AFUNGUKA HAYA MAPYA KUHUSU KATIBA MPYA YA WARIOBA..!!!




Akiwa ni miongoni mwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema msimamo wake bado upo kwenye Rasimu ya Katiba hiyo.

Thursday, 27 April 2017

JPM: ATAKAYEJARIBU KUVUNJA MUUNGANO, ATAVUNJIKA YEYE



Tokeo la picha la MUUNGANO DODOMA

Rais Dk. John Magufuli, akikagua gwaride la heshima wakati wa maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma jana.
RAIS Dk. John Magufuli ameonya kuwa mtu yeyote atakayejaribu kuuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar atavunjika yeye.

TRA YAKAMATA MALI ZA LUGUMI

Kampuni  ya udalali ya Yono, imefanikiwa kukamata mali za wafanyabiashara wanaodaiwa kodi ya serikali inayofikia zaidi ya Sh bilioni 68.1. Operesheni ya kukamata mali hizo kwenye maeneo mbalimbali ndani na nje ya Jiji la Dar es Salaam imefanywa ndani ya wiki moja.

EXCLUSSIVE: BABU SEYA KUACHIWA HURU


Tumaini jipya! Mtoto wa kiume wa mfungwa anayetumikia kifungo cha maisha jela, Nguza Viking ‘Babu Seya’, Mbangu Nguza ameibuka na kusema kuwa, mwaka 2017 ndiyo wa mwisho kwa baba yake na mdogo wake, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kuendelea kutumikia kifungo chao cha maisha jela.

Wednesday, 26 April 2017

HAYA NDIO MADHARA 12 YA KUJICHUBUA NGOZI
























Tabia ya kujichubua ilianza kupata umaarufu kwanzia mika ya 1980 mpaka miaka ya hivi karibuni, hii hasa kwenye nchi za watu ambao hawana ngozi nyeupe kabisa kama waarabu, wahindi na waafrika. biashara hii imewafanya watu wanaotengeneza bidhaa hizi kua matajiri sana huku zikiacha madhara makubwa kwa watumiaji.

Monday, 24 April 2017

UTEUZI WA JOKATE MWEGELO UVCCM WAIBUA MFARAKANO


Uteuzi  wa Miss Tanzania namba mbili wa mwaka 2006, Jokate Mwegelo kuwa Kaimu Katibu wa Uhamasishaji wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, unaonekana kutaka kuivuruga jumuiya hiyo.

Sunday, 16 April 2017

MIILI YA ASKARI POLISI 8 WALIOUAWA PWANI YAAGWA...WAZIRI ATANGAZA KIAMA

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewatangazia kiama watu wote waliohusika kuwaua askari polisi nane Kibiti wilayani Mkuranga mkoani Pwani.

Akizungumza wakati wa kuaga miili ya askari hao jijini Dar es Salaam jana asubuhi Mwigulu alisema watu hao watakamatwa wote na kufikishwa kwenye mkono wa sheria. 

"Kitendo hiki cha mauaji kilichofanyika dhidi ya askari wetu hakivumiliki hata kidogo waliohusika tutawatafuta na kuwakamata"alisema Mwigulu.

Friday, 14 April 2017

CUF YA LIPUMBA YAAPA KUMCHANACHANA MAALIM SEIF..!!!


KURUGENZI ya Ulinzi ya Chama cha Wananchi (CUF) upande wa Mwenyekiti anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Prof Ibrahim Lipumba

Imedai itazuia ziara za Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, ambazo amepanga kufanya Dar es Salaam, ikiwa hataishirikisha kurugenzi  hiyo kwa ajili ya ulinzi.

ZARI ARUSHA DONGO GIZANI..!!!





Zari awatupia dongo wabaya wake, akiwananga vimada wa mzazi mwenzie, diamond platnums na kuwaambia its familia time hivyo hawana nafasi kwa sasa

Wednesday, 12 April 2017

VIDEO: WAZIRI MWAKYEMBE AJIBU KWANINI ALIHUDHURIA ‘PRESS’ YA ROMA

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni, na Michezo, Prof. Harrison Mwakyembe amesema kuwa anamshangaa Mbunge wa Jimbo la Chemba Mkoani Dodoma, Juma Nkamia kuhoji uwepo wake katika mkutano wa mwanamuziki wa bongofleva ‘Roma’ na waandishi wa habari uliofanyika juzi Jijini Dar es salaam.

Video: MBUNGE WA NKASI ACHEKELEA ROMA KUPEWA KIBANO...ATAKA WASANII WANAOMTUKANA RAIS WAPEWE KIBANO ZAIDI


Mbunge wa Nkasi Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ali Mohamed Keissy amefunguka na kusema wasanii ambao wanaandika nyimbo za kumtukana na kumkashfu Rais Magufuli wanapaswa kupata kibano zaidi ili waache tabia hiyo

Mbunge huyo amesema hayo leo bungeni na kusema angeaachiwa yeye dakika mbili tu wangeona ni nini angewafanya, hivyo kuendelea kuwatetea wasanii hao ni jambo ambalo si sawa, na kusema wasanii hao wajaribu kwenda Rwanda au nchi za kiarabu waone jinsi watakavyonyongwa.

ILE KESI YA GWAJIMA YA KUMTUKANA ASKOFU PENGO..LEO JAJI AMECHUKUA MAAMUZI HAYA MAZITO..!!!



Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta   kesi ya kutoa lugha chafu inayomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima.

Hakimu Mfawidhi, Cyprian Mkeha aliifuta kesi hiyo leo chini ya kifungu cha 225 cha sheria ya Mwenendo wa Makosa ya  jinai (CPA).

Kesi hiyo imefutwa baada ya Wakili wa Serikali, Joseph Maugo kueleza kuwa hawakuwa na shaidi na kuomba wapewe ahirisho.

Monday, 10 April 2017

DETAILS: ROMA ASIMULIA ILIVYOKUWA BAADA YA KUTEKWA..!!!



Hatimaye rapper Roma amesimulia mkasa wa kutekwa akiwa na wenzake watatu kuanzia Jumatano iliyopita hadi Ijumaa. Tumekuandikia kile alichosimulia.

Wakati naendelea na shughuli zangu, walifika watu ambao sikuweza kuwafahamu mbaya zaidi walikuwa na silaha za moto na amri yao ya kwanza ilikuwa ni ingia ndani ya gari. Baada ya kuingia tu ndani ya gari, nakumbuka wale watu walitufunga usoni na vitambaa na kutuamuru tuiname chini kwa order ya kwamba inama chini na usiinuke na wakiwa wameshika silaha za moto. Hofu yetu ikatufanya

LIVE UPDATE..ROMA AFUNGUKA A - Z JINSI TUKIO LILIVYOKUWA,WALIPOPELEKWA NA JINSI WALIVYOTESWA BA KUTUPWA MTARONI..!!!



Anaeongea kwa sasa ni msanii Roma na anatoa shukrani kwa wote bila kujali itikadi zao, anasema kilichowapata watu wafanye kama case study.

Roma anasema hawana uhakika wa usalama wao hata kidogo, amesema nature ya tukio, studio zilizopo Tongwe records yuko tangu 2007 na ni eneo salama sana. Amesema wana majirani wanaowapa amani sana ikiwemo ujirani na Tibaigana, Waitara na mstaafu mmoja wa Magereza.

FULL RIPORT: MATUKIO NA KAULI ZOTE MPAKA ROMA NA WENZAKE KUACHIWA (VIDEO)



Baada ya usiku wa jana Roma Mkatoliki, Moni pamoja na wenzao wawili kuachiwa salama baada ya kutekwa na watu wasiojulikana alhamisi iliyopita wakiwa studio za Tongwe Record Masaki jijini Dar es salaam, Bongo5 imekukusanyia matukio yote pamoja na kauli mbalimbali ambazo zilitolewa

advertise here