Hii ngoma audio yake ilifanyika hapahapa Tanzania mwishoni mwa mwezi April 2015 wakati ambao rapper AKA alitua baada ya kupata mwaliko wa party ya Zari All White iliyoandaliwa na mastaa wawili wapenzi, Diamond Platnumz na Zarina Hassan a.k.a Zari the Boss Lady.
Wednesday, 11 November 2015
NDOA YA MIAKA KUMI NA NNEE YASHTUKIWA
LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUONA HOT VIDEO HAPO CHINI
BONYEZA PICHA HII KUONA HOT VIDEO HAPO CHINI
Hii stori imegusa kwenye vichwa vya habari za Magazeti ya Tanzania November 11 2015, lakini reporter wa millardayo.com
amempata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, na kasimulia stori
ilivyokuwa mwanzo mwisho mpaka wakapata taarifa kuhusu mpango wa ndoa
HEY IS THIS A JOKES?
N
Si vibaya nikashare na nyie kile kinacho nichekesha na kujiskia furaha embu cheka na wewe baada ya kufanya kazi nyingi bila kupunzika
Si vibaya nikashare na nyie kile kinacho nichekesha na kujiskia furaha embu cheka na wewe baada ya kufanya kazi nyingi bila kupunzika
MANENO 16 YA MASANJA MKANDAMIZAJI BAADA YA KUSHINDWA UBUNGE...........VIDEO YA MWANAMKE ALIYE WATEGA WANAUME KWA KUTIKISA MAKALIO YAKE
LAYIII
Drop hapo chini kumskiliza masanja mkandamizaji
Drop hapo chini kumskiliza masanja mkandamizaji
Tuesday, 10 November 2015
UKUBWA WA MAKALIO KWA WANAWAKE YAONEKANA NDIO CHANZO KIKUBWA KUBAKWA NA KUTONGOZWA NA WANAUME WENGI
LAYIII
Imeonekana wanawake wenye makalio makubwa ndio walio na ushawishi mkubwa sana kwa wanaume.hali hiii imechunguzwa na kugundulika ndio hali pekee inayo pelekea wanawake wengi kubakwa na kutongozwa tongozwa na wanaume zaidi ya kumi kwa siku moja
KATIKA MAAJABU SABA YA DUNIA UWANJA WA NDEGE WA BEIJING UMECHUKUA NAFASI YA KWANZA
LAYIII
BONYEZA PICHA UJIUNGE NAMI YOUTUBU
No.1 Beijing Daxing Airport, China
Beijing Daxing Airport, which is set to be the biggest airport in the world, is designed by Iraqi-British architect Zaha Hadid. The new Terminal One will have a radial-like plan, designed to reduce
Seven modern wonders in the world: Beijing airport ranks the first
From Britain to the Middle East and China, engineers and architects are pushing the boundaries of possibility as they strive to create the biggest and the best. The Guardian recently selected seven wonders to-be in the modern world which are near completion. Among these, Beijing Daxing Airport ranks the first and Hong Kong-Zhuhai-Macao Bridge ranks the third.BONYEZA PICHA UJIUNGE NAMI YOUTUBU
No.1 Beijing Daxing Airport, China
Beijing Daxing Airport, which is set to be the biggest airport in the world, is designed by Iraqi-British architect Zaha Hadid. The new Terminal One will have a radial-like plan, designed to reduce
CRISTIANO RONALDO KAZINDUA MOVIE YAKE LONDON, FERGUSON, MOURINHO NA ANCELOTTI NDANI (+PICHAZ&VIDEO)
LAYII
kuona baadhi ya crip zavideo yake unaweza kubonyeza picha yoyote hapo kisha subscribe youtube ili niwe nakupa update mpya
kuona baadhi ya crip zavideo yake unaweza kubonyeza picha yoyote hapo kisha subscribe youtube ili niwe nakupa update mpya
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo usiku wa November 9 alifanya uzinduzi rasmi wa movie yake ambayo anataja kuiandaa kwa ajili ya mashabiki wake, Ronaldo kafanya uzinduzi movie yake inayoitwa ‘Ronaldo’ akiwa pamoja na mama yake na mtoto wake Cristiano Ronaldo Junior.
Monday, 9 November 2015
DOWNLOAD VIDEO NA USKIE NYIMBO MPYA KUTOKA KWA ADAMORE
LAYIII
Jina langu ni Adam hamis gama...
Artist name nafahamika kwa jina la bongo flavor katika mahadhi ya afro pop and rap.
So beautiful ni nyimbo yangu ambayo nimeirealease officialy,ikiambatana na Video.
Video ikiwaimefanywa na director Deo Abel,huku audio ikiwa imefanywa na producer Da pro,chini ya studio za SB.music.
So beautiful inaelezea uzuri wa mwanamke katika nyimbo lakini nilivyokua nikipata idea ya wimbo huu nilikuwa nauzungumzia mziki,muda ambao nilikua nahustle kutoka kwenye mziki ambapo mpenzi Wangu alikua hahitaji kabisa nifanye mziki,so nikapata idea ya kumwambia kuwa yeye ni beautiful but muziki is so beautiful,ndio kupatikana nyimbo SO BEAUTIFUL.
Nawaomba mashabiki wa muziki afrika na dunia kutupa support artist tunaochipukia kwenye huu muziki.
Subscribe to:
Posts (Atom)