Monday, 20 July 2015

KATIKA TUZO ZA AFRIMAMA TANZANIA YAWAKILISHWA NA WASANII SABA WACHEKI HAPO CHINI

LAYIII
NOMINEES
Najua itakuwa furaha kubwa kwa kila mtu wa nguvu ambae anatoa love na suppoort ya kutosha kwa wasanii wa TZ, inapendeza kuona majina ya mastaa wetu wanaofanya muziki wanazidi kufahamika nje ya mipaka yetu.
MTV MAMA 2015 imeshafanyika Durban South Africa ambapo TZ ilikuwa ikiwakilishwa na mastaa wawili tu, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee… lakini kabla mambo hayajapoa nakutana

MWANAMKE AGEUKA NYOKA MTU JAMANIII NDO NYAKATI ZENYEWE HIZI ZA MWISHO

LAYIII

NI KULE INDONESIA TENA

DONALDO ASAMBAZA MIDOLA KWA KOCHA WAKE

LAYIII


DUNIA NA MAAJABU YAKE EMBU MWONE HUYU MTOTO INATIA HURUMA SANA

LAYIII


Ni mtoto aliye zaliwa miaka kumi na mbili iliyo pita inatia huruma sana embu weka comment yako hapo chini walau hata maombi yako ndugu yangu
KUIONA VIDEO HIYO NI FATA LINK HII tbcueltd.blogspot.com

goal keepr afukuzwa huko manchester

layiii
Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal amezoeleka kuwa aina ya kocha ambaye hapendi masikhara toka kwa wachezaji wake na amekuwa si mzito kufanya maamuzi ya kumuondoa mtu kwenye timu pale ambapo anaona anakwenda kinyume na matarajio yake .

louis-van-gaal-manchester-united_1sjazi885y191peieecz900kg

Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal amezoeleka kuwa aina ya kocha ambaye hapendi masikhara toka kwa wachezaji wake na amekuwa si mzito kufanya maamuzi ya kumuondoa mtu kwenye timu pale ambapo anaona anakwenda kinyume na matarajio yake .

Real Madrid yagonga ukuta kwa De Gea.

David de Gea Manchester United

Usajili wa kipa Mhispania David De Gea kuelekea klabu ya Real Madrid kwa sasa inaonekana kama huenda usitokee tena hivi karibuni baada ya klabu hii ya Hispania na wenzao wa Manchester United kushindwa kufikia makubaliano .
Manchester United imegoma kabisa kufanya mazungumzo na Real kuhusiana na De Gea kutokana na Wahispania hao kushindwa kutimiza masharti ambayo United imeyaweka katika mazungumzo hayo .
United imewaambia Real kuwa endapo wanamtaka De Gea basi wakubali kumruhusu beki Mkongwe Sergio Ramos ajiunge na United au Gareth Bale jambo ambalo vijana hawa wa Florentino Perez amelikataa katakata.

MAREKANI YATOA SALUTE KWA DIAMOND NI BAADA YA NEYO KUFIKISHA SALAM ZA USHINDI WA DIAMOND

LAYIII
KIWANGO ndivyo tunavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani kutoka marekani kumvulia kofia staa wa tanzania DIAMOND PLATNUMZ.
NASEMA TENA
KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili....

Sunday, 19 July 2015

SIKILIZA ALIKIBA ALIVOONGELEA COLLABLE NA DIAMOND PLATNUMZ

LAYIII


INASIKITISHA SANA MWANAMKE AJIFUNGUA TEMBO BAADA YA KUBEBA MIMBA MIEZI KUMI NA TATU (13)

LAYIII
MAAJABU YA, Mwanamke mmoja nchini Indonesia amejifunngua TEMBO badala ya mtoto katika ujauzito aliodumu nao zaid ya miezi 13 bila madaktari kugundua kilichopo ndani, play video ujioneee

RED CARPET PLATNUMZ MWANZO MWISHO HADI TUZO YA BEST LIVE P.......

LAYIII


ULIMISS KUONA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUSHINDA TUZO ZA MTVMAMA NIMEKUSOGEZEA HAPA

LAYIII

Screen Shot 2015-07-19 at 8.35.00 PM
Diamond Platnumz jana katangazwa Mshindi wa Tuzo moja ya MTV MAMA 2015 Category ya Best Live Act, hajachelewa kurudisha Tuzo home.. tayari kaingia Dar es Salaam na hata kabla hajafika Uwanja wa Ndege kulikuwa na Kundi kubwa la watu waliofurika

MATOKEO YA AZAM FC .........KOMBE LA KAGAME HAPA

LAYIII

azaaa
Klabu ya Azam imeanza vyema michuano ya kombe la Kagame inayoendelea kwenye uwanja wa Taifa, Dar es salaam baada ya kuwafunga KCCA ya Uganda bao

ONA VIDEO ALIYO POST DIAMOND HAPA IKIMONYESHA KIDOTI AKICHEZA NA MANENO ALIYO AMBATANISHA

LAYIII

photo-collage
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za #MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @  
BAADAYE NAYE JOKATE KATUPIA LAKE HAPA MTU WANGU


NIMEKUSOGEZEA KIONJO CHA SHOW YA DIAMOND HUKO MTV

LAYIII



UVUMI WA LOWASA KUHAMIA CHADEMA NA MAGAZETI YA LEO 19/07/2015

LAYIII
MWANANCHI
Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.
Uamuzi wa Lembeli umekuja wakati wanachama kutoka sehemu mbalimbali wakitangaza uamuzi wao wa kujiengua CCM na kujiunga na vyama vya upinzani, hasa Chadema ambayo imesomba asilimia kubwa ya wahamaji hao.

LEMBELI kuihama CCM?, Mafuriko ya LOWASSA CHADEMA na Mwinyi avunja ukimya…#MAGAZETINI JULY19

LATE
MWANANCHI
Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.

SIKILIZA MAJIBU YA BENK KUU YA TANZANIA KUHUSU UWEPO WA SARAFU YA TSH 500

LAYIII
Kwenye hii post tumeipata benki kuu ya Tanzania ambayo iko tayari kuzungumzia ishu ya sarafu mpya ya shilingi mia tano kutoonekana sana kwenye mzunguko wa fedha nchini Tanzania.

BOTKwenye hii post tumeipata benki kuu ya Tanzania ambayo iko tayari kuzungumzia ishu ya sarafu mpya ya shilingi mia tano kutoonekana sana kwenye mzunguko wa fedha nchini Tanzania.

Saturday, 18 July 2015

MTVMAMA YAKAMILISHA KAZI YAKE TUZO MOJA NYUMBANI MTU WANGU

LAYIII
Yako majina mawili yaliyoiwakilisha Tanzania kwenye Category 13 za MTV Africa Music Awards 2015, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ‘Vee Money’… kura zimepigwa na leo ndio ilikuwa fainali yenyewe ndani ya Durban South Africa ukumbi wa Durban International Convention Centre.
CKOalk7UMAAasmN

Tanzania imetoka kifua mbele pia kwa mara nyingine, Daimond Platnumz kafanikiwa kupata ushindi wa Tuzo ya Best Live Act, ambapo alikuwa katika Category tatu tofauti na Vee Money alikuwa kwenye Category moja.
List ya Washindi wote hii hapa..

DIAMOND KAELEZEA UKWELI JUU YA BIFU LAKE NA DAVIDO

LAYIII


ETI LAZIMA MWANAJESHI UWE NA SURA NGUMU TANZANIA EMBU CHEKI HAWA WATOTO WAZURI

LAYIII

Hawa Ni Watoto Wa Kike Kutoka Rwandan Army!! Ohh Mama Mia!!

Rwanda-Army11
Watu wengi wameshazoea kwamba wanajeshi lazima uwe na sura ngu… hivi, hakuna watoto wakali na nini! lakini kwa jeshi la Rwanda ni tofauti aisee watoto wakali kinoma, imeletea mijadala kibao

NIMEKUSOGEZEA VIDEO HAPA JINSI DIAMOND ALIVOKUWA AKIHOJIWA NA WAANDISHI HUKO DURBAN

LAYIII

Kwenye Press conference hapa Durban South Africa Waandishi wa habari wa nchi mbalimbali Afrika na hata wengine wa Uingereza walikua wakihoji mastaa mbalimbali w

advertise here