Friday, 17 June 2016

TAARIFA YA KUZINGIRWA NYUMBA YA ASKOFU GWAJIMA, CHANZO HASA NI NINI? BOFYA HAPA

SUBSCRIBE HAPA
Taarifa ya kuzingirwa nyumba ya Askofu Gwajima, chanzo hasa ni nini? Bofya hapa
Watu sita wanaodhaniwa kuwa askari wa Jeshi la Polisi, wamevamia na kuizingira nyumba ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini, Josephat Gwajima.
Tukio hilo linadaiwa kutokea jana mchana katika makazi ya askofu huyo yaliyoko eneo la Salasala, Dar es Salaam.
Inadaiwa watu hao walifika nyumbani kwa askofu huyo wakiwa katika gari aina ya Toyota Land Cruiser, na kwenda kugonga geti ili wafunguliwe waingie ndani.
Picha mbalimbali zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii jana, ziliwaonyesha

Thursday, 16 June 2016

MPAKA MWANAMKE ANACHEPUKA UJUE NDANI KUNA SHIDA SI BURE

SUBSCRIBE HAPA KUONA VIDEO MPYA ZA VICHEKESHO
Katika Utafiti wangu imegundua kuna tatizo kubwa katika mahusiano aidha ya kimapenzi au ya ndoa.Uaminifu umekuwa tatizo kubwa miongoni mwa jamii ya kizazi hiki! Kutoridhika imekuwa sehemu ya maisha ya sasa si kwa mwanaume au mwanamke kuchepuka ndiyo habari ya mujini kwa sasa hadi wale walioaminika kuwa viongozi wa dini maana hakuna mwenye kinga ya kutotenda dhambi hivyo imekuwa kujitwalia kadri tupendavyo nani atakuwa kiini cha mabadiliko katika wimbi hili linaoelekea kupoteza wengi.

KAMANDA SIRRO: TUTAMFUNGULIA ZITTO KESI YA UCHOCHEZI

SUBSCRIBE HAPA
Kamanda wa polisi wa jiji la Dar Simon Sirro amesema sasa hivi wanaendelea na kukusanya ushahidi wa makosa ya kichochezi aliyoyafanya Zitto Kabwe na upelelezi utakapokamilika watampeleka mahakamani.
Amesema hawatawavumilia watu kufanya uchochezi kwasababu ya siasa kwa kuwa bila utulivu hakuna

Tuesday, 14 June 2016

MAMBO MATANO(5) YANAYOATHIRI MAISHA NA MALENGO YAKO.

SUBSCRIBE HAPA

Kufanikiwa au kutokufanikiwa kwa mwanadamu huwa kunatokana na mchango wa mambo mengi. Mambo hayo huwa yapo ambayo wengine wanayajua na pia wengine hawayajui kabisa. Lakini kwa kifupi, huwa yapo mambo yanayoathiri maisha yetu iwe kwa chanya au hasi ilimradi tu ukikutana nayo.

Kutokana na athari hizo zinazotokana na mambo hayo, hiyo inatuthibitishia kwamba maisha uliyonayo yapo hivyo kutokana na athari ulizozipokea, ambazo zinaweza zikawa chanya au hasi. Kwa kusoma makala haya, utajifunza mambo muhimu yanayo athiri maisha na malengo yako kwa ujumla. Je, mambo hayo ni yapi?

WEST HAM | MCHEZAJI MPYA KUTOKA ALGERIA

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU
https://www.youtube.com/channel/UCohoLl9DK4oepzW_GdEL5sA?sub_confirmation=1
Kiabu ya West Ham nchini Uingereza imemsajili mchezaji wa Algeria Sofiane Feghouli kwa kandarasi ya miaka mitatu.
Winga huyo anajiunga na kilabu hiyo katika uhamisho wa bila malipo.
''Ninafurahi kuweka mkataba na West Ham na kocha Slaven Bilic''.

ILIKUPITA ILE YA SANAMU MWENYE MAKALIO MAKUBWA KAMA TAHADHARI KWA WANAO KUZA MAKALIO SOMA HII

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU KUONA VIDEO KALI
Bonyeza picha yoyote kuona video usiache kusubscribe mtu wangu

The craze for bigger bums among women is on the rise and experts are warning of dire consequences especially for those considering using silicone butt injections

Thanks to well-endowed stars such as Vida Guerra, Beyonce, Jennifer Lopez and many more, curvaceous derrieres have never been more popular. The demand for bigger buttocks globally means

advertise here