Tuesday, 19 April 2016

KAMA HUKUSKILIZA ILE STORY YA YULE BINTI WA KAZI MCHAWI ALIYEKUWA AKIFANYISHA MABOSS ZAKE KAZI SKILIZA HAPA

LAYIII
Binti mmoja ambaye jina lake tunahifadhi amekiri kuwa alikuwa
bonyeza picha hiii kujiunga nami kuiona video yake kwa ukubwa zaidi usiache kusubscribe nami youtube 
https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4

 akitumikisha mabosi zake kufanya kazi za ndani kwa njia ya kishirikina huku yeye akiwa amelala ametulia tuli
binti huyu alikiri kuwa nguvu zake ziliongezeka zaidi baada ya kumtoa kafara mtoto mmoja wa

MAGUFULI ATAKA DARAJA LA KIGAMBONI LIPEWE JINA LA NYERERE

LAYIII
Bonyeza picha hiii kujiunga amazon shop ili uweze kununua kifaa chochote cha electronics
Daraja
Daraja la kigamboni lina urefu wa mira 680
Rais wa Tanzania John Magufuli amependekeza daraja mpya la Kigamboni lipewe jina la mwanzilishi wa taifa hilo Mwalimu Julius Nyerere.
Akiongea muda mfupi kabla ya kuzindua rasmi daraja linafaa kupewa jina la Mwalimu Julius Nyerere kutokana na mchango wake kwa nchi hiyo.
Daraja la Kigamboni lilianza kutumika tarehe 16 Aprili, 2016 na lina urefu wa mita 680 na barabara

KAKA YAKE DIAMONDPLATNUMZ KUBAKA HUKO SWEDEN UKWELI HUU HAPA

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI HABARI KWA NZIA YA VIDEOZ
rommy
Kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones.
STORI: Musa Mateja, Wikienda
Dar es Salaam: Mwisho wa utata? Hatimaye ukweli juu ya sakata la kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones umeanikwa ndani ya Ijumaa Wikienda ambalo ni namba moja kwa habari za mastaa ndani na nje ya Bongo.
Kabla ya gazeti hili kuchimba undani wa msala huo, kulienea tetesi mbalimbali kuwa Rommy ambaye ni DJ

KISA KUONGEA KIARABU ATOLEWA KWENYE NDEGE

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUNUA COMPUTER KWA BEI POA KABISA
www.amazon.com/gp/product/B0172BP1W6/ref=as_li_tl?ie=UTF8&camp=1789&creative=9325&creativeASIN=B0172BP1W6&linkCode=as2&tag=googleplaysto-20&linkId=LRXRIWQS2SMIHS3H
Mwanafunzi wa chuo kikuu raia wa Iraq katika jimbo la California nchini Marekani anasema kuwa alitolewa kutoka kwenye ndege ya shirika la ndege la Southwest baada ya kufanya mazungumzo kwa lugha ya kiarabu.
Shirika hilo la Southwest lilisema kuwa Khairuldeen Makhzoomi aliondolewa ndegeni tarehe 9 mwezi Aprili kabla ya ndege hiyo kupaa.
Bw Makhzoomi anasema alikuwa akizungumza na mjomba wake

Monday, 18 April 2016

SHULE KUMI ZIMEFUNGWA KYELA KUTOKANA NA MVUA KUBWA KUNYESHA

LAYIII
je unahitaji computer yenye matumizi yako ya kiofisi basi bonyeza picha hii na utaweza kupata huduma haraka sana
http://www.amazon.com/gp/product/B0172BP1W6/ref=as_li_tl?ie=UTF8&camp=1789&creative=9325&creativeASIN=B0172BP1W6&linkCode=as2&tag=googleplaysto-20&linkId=LRXRIWQS2SMIHS3H
Kyela/Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mbeya, Dk Thea Ntara amesema bado hali ni tete kwa wananchi wa  Kata 10 zilizokumbwa na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha na ameamuru shule tatu za sekondari  na saba za msingi zifungwe kwa  muda usiojulikana baada ya vyumba vya madarasa kujaa maji na miundombinu yake kutishia usalama.

YOUNG KILLER KAZUNGUMZI PICHA ALIYOPIGA NA DIAMOND NA FUNUNU ZA KUJIUNGA NA LEBAL YA WCB

LAYIII

Picha aliyoiweka rapa Young Killer kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa na Diamond, imezua maswali kadhaa ya matumaini miongoni mwa mashabiki wake.

Rapa huyo wa Mwanza amepost picha akiwa na Diamond Plutnumz na kuandika:

Hakuna mtu aliye zaliwa ili aje awe maskini (ndiyo ) unaweza ukawa umezaliwa kwenye familia maskini ila ukweli ni kwamba hujazaliwa ili wew uje kua maskini….hivyo bas ::mafanikio uja kwa wale walio shindwa mara nyingi na wakajaribu tena kwa ujasiri.. (yes) mungu nisaidie yatimie .. with

TP MAZEMBE IPO HOI DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

LAYIII

Mabingwa watetezi wa kombe la klabu bingwa Afrika katika kandanda klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco katika jitihada zake za kuhifadhi taji lao.
Mabingwa hao wa Afrika wanahitaji kushinda Wydad kwa zaidi ya mabao mawili na wasifungwe lolote ilikunusuru hadhi yao baada ya o kuchapwa 2-0 katika mkondo wa kwanza Juma lililopita .
Mazembe inawakaribisha mabingwa hao wa Morocco katika mkondo wa pili jumatano hii.

MABAO 500 ALIYOFUNGA MESSI

LAYIII
Messi
Mshambuliaji matata kutoka Argentina Lionel Messi hatimaye alifunga bao lake la 500 katika maisha yake ya uchezaji Jumapili.
Alifunga bao hilo dakika ya 63.
Bao lake hata hivyo halikutosha kuzuia Barcelona wasipokezwe kichapo chao cha tatu mtawalia katika La Liga, mara ya kwanza tangu 2003.
Barca walichapwa 2-1 na Valencia.
Ni karibu miaka 11 tangu Messi afunge bao lake la kwanza la ushindani akiwa na umri wa miaka 17

Sunday, 17 April 2016

FUVU LA BINADAMU LIMEKUTWA OFISINI KWA DIAMONDPLATNUMZ

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJUA KINACHOENDELEA KUHUSU VIGODORO NDANI YA DAR
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s 
Fuvu la binadamu lakutwa limewekwa kwenye meza ya Diamond pembeni ya picha ya mwanawe Tifah.
Diamond asema ni kweli ni fuvu la binadamu, ila ni pambo tu kama mapambo mengine, yeye anamtegemea Mungu.

Wakati mwenyewe akikanusha vikali kwamba hatumii ndumba kwenye muziki wake ambao sasa umemfikisha mbali kimataifa, staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’, ameshikwa

KAMA HUKUJUA MADHARA YATOKANAYO NA UVUTAJI WA SIGARA NIMEKUSOGEZEA HAPA

LAYIII
Bonyeza picha hii kujiunga nami youtube
 Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni kutegea sikio kipindi kingine cha Ijue Afya Yako. Leo tutazungumzia madhara ya kuvuta sigara, tabia ambayo imezoeleka na watu wengi ingawa ina madhara mengi. Ili kuweza kuyajua madhara hayo kwa undani, usiondoke kando ya redio yako hadi mwisho wa
https://www.youtube.com/watch?v=M3iWPmDcf5g

advertise here