Sunday, 21 June 2015

BABA DAY KUVUNJA RECORD YA DUNIA MTOTO WA CHRISS BROUN NDO MGENI RASMI

LAYIII
MWANAMUZIKI wa nchini Marekani, Christopher Maurice "Chris" Brown amejiandalia sherehe maalum kusherehekea Siku ya Baba Duniani

CHRIS BROWN AANDAA SHEREHE YA SIKU YA BABA DUNIANI, BINTIYE NDIYE MGENI RASMI


Chris Brown akiwa na binti yake Royalty Brown.
MWANAMUZIKI wa nchini Marekani, Christopher Maurice "Chris" Brown amejiandalia sherehe maalum kusherehekea Siku ya Baba Duniani ambapo mgeni rasmi atakuwa binti yake Royalty Brown
mwenye umri wa mwaka mmoja.

HATIMAYE TFF YAMFUKUZA KAZI MAART NOOIJ

LAYIII
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja 

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja na
kuhudhuria mchezo kati ya Tanzania na Uganda, kama sehemu ya tathmini ya mwenendo wa timu.
Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo;

Thursday, 18 June 2015

WE JAMAA NI GANI CHRIS BROWN AKIKUONA PATACHIMBIKA



UNITARY Entertainment

Kunani kati ya Karruache na mchezaji mpya wa Man United? Chris Brown katajwa pia!


Mshambuliaji mpya wa klabu ya Manchester United Memphis Depay, anaweza kujiingiza kwenye

NYINGINE KUTOKA KWA DONGATE AKA DIAMOND PLATNUMZ ,,,,,,,,, FATA HAPA MTU WANGU

LAYIII ON SPOT
Diamond Platnumz ameendelea kufungua milango mingine ya collabo na mastaa wengine Africa.
Tumehesabu siku siku chache zimezopita toka ilipoachiwa brand new collabo ya Love Boat ambayo Diamond kashirikishwa na msanii wa Nigeria, Kcee.

Diamond Platnumz kwenye kollabo nyingine na msanii Donald kutoka South Africa!!

donald-na-Diamond
Diamond Platnumz ameendelea kufungua milango mingine ya collabo na mastaa wengine Africa.
Tumehesabu siku siku chache zimezopita toka ilipoachiwa brand new collabo ya Love Boat ambayo Diamond kashirikishwa na msanii wa Nigeria, Kcee.
Kasi ya Diamond haijaishia hapo kwani sasa hivi ameingia tena studio South Africa na msanii Donald kutengeneza ngoma nyingine kupitia Universal Music Studios  

P SQUARE WAVUNJA RECORD........... NI WAPI UNGANA NAMI HAPA

LAYIII ON SPOT
Mastaa na maisha yao nyuma ya pazia, mengine ni haya nimeyajua leo toka kwa wakali wa Nigeria, Peter na Paul watoto wa Marehemu Chief Moses Okoye… wamesema toka mwaka 2007  hawaendi kanisani, kisa unajua ni nini?

Kumbe P Square hawajaingia kanisani kusali toka mwaka 2007? Kisa ni hiki hapa…

P Square 
Mastaa na maisha yao nyuma ya pazia, mengine ni haya nimeyajua leo toka kwa wakali wa Nigeria, Peter na Paul watoto wa Marehemu Chief Moses Okoye… wamesema toka mwaka 2007

Wednesday, 17 June 2015

ISSUE TATU HOT KUTOKA ITV

NA LAYIII
eo ndio mwisho wa Matangazo ya TV kwa Mfumo wa Analogy Tanzania
Wakati TZ ikitangaza kuzima Mitambo ya kurushia Matanagazo ya Digital mwaka 2012 ilkuwa ishu ambayo watu wengi hawakukubaliana nayo, ilikuwa kama watu wamewahishwa kuingia kwenye mfumo huo mpya wa Matangazo, leo iko stori nyingine kutoka TCRA ambapo wametangaza rasmi kwamba leo ndio siku ya mwisho kwa Matangazo ya Analogy kuruka Tanzania.

Stori kubwa tatu kutoka ITV>>> Ajali ya moto Dar, mwisho wa Matangazo ya Analogy Tanzania, Wabunge na bidhaa za nje.. (Audio))

 
News Hour JPEG 590X332 
Leo ndio mwisho wa Matangazo ya TV kwa Mfumo wa Analogy Tanzania

Wakati TZ ikitangaza kuzima Mitambo ya kurushia Matanagazo ya Digital mwaka 2012 ilkuwa ishu ambayo watu wengi hawakukubaliana nayo, ilikuwa kama watu wamewahishwa kuingia kwenye mfumo huo mpya wa Matangazo, leo iko stori nyingine kutoka TCRA ambapo wametangaza rasm

kona ya soka manchester yaibua kitu

layii
Klabu ya Manchester City imetuma ofa ya paundi milioni 40 kwenda kwa klabu ya Liverpool kwa ajili ya kumnunua kiungo mshambuliaji raia wa England, Raheem Sterling.

sterling
Klabu ya Manchester City imetuma ofa ya paundi milioni 40 kwenda kwa klabu ya Liverpool kwa ajili ya kumnunua kiungo mshambuliaji raia wa England, Raheem Sterling.
Ofa hii inakuwa ya pili toka kwa City ambao wanaonekana kuwa wamepania katika azma yao ya kumsajili kiungo huyu ambaye ametokea kuwa moja kati ya wachezaji muhimu kwenye kikosi cha Liverpool na timu ya taifa ya England katika siku za hivi karibuni.

MAPYA YAIBUKA STAA MKUBWA IRENE UWOYA ANA MIMBA TENA

LAYIII
Soudy Brown leo kasika akizungumza na msanii wa Bongo Fleva Msami baada ya kuwepo na uvumi kuwa msanii huyo amempa ujauzito msanii wa bongo movie Irene Uwoya.


Ni kweli Irene Uwoya ana mimba? Msami kazungumza hapa na Soudy Brown…#Uheard (Audio)

msami
Soudy Brown leo kasika akizungumza na msanii wa Bongo Fleva Msami baada ya kuwepo na uvumi kuwa msanii huyo amempa ujauzito msanii wa bongo movie Irene Uwoya.
Awali alikanusha taarifa lakini baadaye akadai kuwa hana uhakika na endapo ni kweli  basi ni ya kwake huku akimtaka Soudy amtafute mwenyewe ali ajue ukweli.
SIKILIZA HAPA
 

 

WADAU WANGU WA SOKA RATIBA YENU LIGI KUU ENGLAND IKO HAPA

LAYIIIII ON SPOT

Ratiba ligi kuu ya England msimu ujao yote iko hapa mtu wangu..!!

fixx
Ratiba ya ligi kuu ya England tayari imetoka rasmi ambapo mabingwa wa ligi hiyo, Klabu ya Chelsea itaanza kutetea taji la ligi hiyo wakati itakapoikaribisha nyumbani Swansea siku ya August 8 2015.

WEMA, JOKATE WAMZOMEA DIAMOND!

LAYIII
KAMA mbwai na iwe mbwai tu! Hiyo ndiyo kauli pekee iliyoweza kuakisi kitendo cha warembo, Wema Sepetu ‘Madam’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kuamua kumzomea zilipendwa wao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baa
Musa Mateja
KAMA mbwai na iwe mbwai tu! Hiyo ndiyo kauli pekee iliyoweza kuakisi kitendo cha warembo, Wema Sepetu ‘Madam’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kuamua kumzomea zilipendwa wao, Nasibu

KIMBEMBE CHAIBUKA FIFA JE WADAU WA SOKA WANASEMAJE UNGANA NAMI HAPA

LAYIIII
Kiungo wa klabu ya Juventus na timu ya taifa ya Chile, Arturo Vidal amekumbwa na mkasa ambao huenda atapenda kuusahau haraka iwezekanavyo wakati akiwa na timu yake ya taifa ambayo kwa mwaka huu imekuwa mwenyeji wa michuano ya Copa America.

Hali si shwari ndani ya FIFA, kashfa zazidi kufichuliwa !!

0D62059700000514-0-Russia_and_Qatar_are_the_respective_hosts_of_the_2018_and_2022_W-m-7_1434533375341
Wapelelezi wanaofatilia kashfa ya rushwa inayohusu shirikisho la soka ulimwenguni FIFA wameahidi kufichua makubwa zaidi baada ya kugundua siri nzito zilizojificha kwenye mchakato wa kuchagua mwenyeji wa kombe la dunia.

Tuesday, 16 June 2015

MAISHA CLUB OSTERBAY YAISHA RASMI Kila mmoja aliyesikia taarifa za kuhamishwa kwa NEW MAISHA CLUB.

LAYIIII
Kila mmoja aliyesikia taarifa za kuhamishwa kwa NEW MAISHA CLUB alitamani kujua ni wapi itahamia kwa sababu party ya mwisho ilipofanyika walitangaza baada ya mwezi Mtukufu watu wote watahamia kwenye jumba jipya la starehe kwenye location mpya Dar es salaam.

Bye bye Maisha club Osterbay! picha za Location mpya inakohamia ninazo hapa.

Screen Shot 2015-06-16 at 10.20.53 PMKila mmoja aliyesikia taarifa za kuhamishwa kwa NEW MAISHA CLUB alitamani kujua ni wapi itahamia kwa sababu party ya mwisho ilipofanyika walitangaza baada ya mwezi Mtukufu watu wote watahamia kwenye jumba jipya la starehe kwenye location mpya Dar es salaam.

KUNA NINI TENA JUX NA VANESA


Jux and Vanessa at KTMA
Jux and Vanessa at KTMA 2
To me this Photo says something must have been going on between Jux and his chick Vanessa and their Neighbors…
What do you think? Feel free to drop your comments  below…

ALIKIBA AKISOMA HIKI ATAKUFA

WATOTO HAWA NI AJABU

LAYIII
Rameshbhai Nandwana, 34, of Gurjarat, India, After knowing his children's they will die.  Father plans to sell his own kidney to fund life-saving treatment for his three morbidly-obese children.

KUTANA NA FAMILIA HII YA HUKO INDIA AMBAPO WATOTO WANAOKULA CHAPATI NANE, BOKSI 5 ZA BISKUTI, SODA CHUPA KUBWA 2, WALI KILO 3, NDIZI KUMI NA MBILI T

 



Rameshbhai Nandwana, 34, of Gurjarat, India, After knowing his children's they will die.  Father plans to sell his own kidney to fund life-saving treatment

DOGO ASLEY NA WEMA SEPETU MAHABA NJE NJE

LAYIII NIFATE HAPA
Mwanamuziki Aslay Isihaka kutoka katika kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi kuwa anasumbuliwa sana na watoto wa kike ndiyo maana ameamua kuweka mahusiano yake wazi,

DOGO ASLAY KUTOKA KUNDI LA YAMOTO BAND APANGUA SKENDO YA KUTOKA NA WEMA SEPETU 

Mwanamuziki Aslay Isihaka kutoka katika kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi kuwa anasumbuliwa sana na watoto wa kike ndiyo maana ameamua kuweka

HUYU DEMU AMESHIKA SIMU YA MPENZI WAKE ALICHUKIKUTA HAKIELEZEKI, SOMA HAPA


Mimi ni kijana umri miaka 26 mchumba wangu anafanya kazi katika kampuni moja hivi ya binafsi ,japo hatujaoana lakin tuna kawaida ya kutembeleana mara kwa mara,yeye anaishi Kinondoni Mkwajuni mimi naishi Ubungo Riverside,

OMG...!!!!!SHOCKING VIDEO>>WATCH THIS VIDEO <<CLICK HERE>>TBCUELTD.BLOGSPOT.COM


Weekend hii nilienda kumtembelea akanipa simu yake nimwekee vocha nikiwa naweka vocha nikashangaa sms inaingia "honey uko wapi". Sikumwambia chochote na wala sikuifingua iyo sms ila niliweza kuisoma coz simu yake ni smartphone aina ya Sony yaan sms ikitumwa uwa inapita kwa juu unaweza kuisoma yote.

               WATCH THIS VIDEO <<CLICK HERE>>TBCUELTD.BLOGSPOT.COM

Niliamua kufungua whatsApp yake nikaanza kupitia baadhi ya chatting zake cha ajabu nikakutana na chatting moja amechat na mwanaume nilijua ni mwanaume coz niliangalia profile picture yake na sms zao zilinitsha sana jamaa kuna sms anasema " Juzi nilifurah mno nilipokuingizia nyuma" halafu mchumba wangu alisms akajibu". Mwenzio sijazoea nyuma". Kuna sms nyingine jamaa alituma akisema " Mwezi wa 6 inabd nikutie mimba".Daah niliishiwa pozi lakini sikusema kitu chochote hadi leo bado niko kimya.

 <<CLICK HERE>>TBCUELTD.BLOGSPOT.COM

Naombeni ushauri wenu.
 By Sodoka on JF

ANATAMANI LULU MICHAEL AFE TU


GOOD NEWZ SHILOLE ATOA VIDEO YA MALELE

Dakika zako 3 unaweza kuzitumia kutazama video hii mpya ya mwimbaji Shilole iitwayo ‘Malele’ iliyotayarishwa na director Khalfani, 

Good news ni kwamba video ya ‘malele’ ya Shilole ndio hii imetoka.

Shilole 2
Dakika zako 3 unaweza kuzitumia kutazama video hii mpya ya mwimbaji Shilole iitwayo ‘Malele’ iliyotayarishwa na director Khalfani, ukishaitazama usiache kuniachia comment yako mtu wangu ili Shilole akipita baadae ajue watu wake wanasemaje. WAWEZA INGIA YOUTUBE KUICHEKI







 


BEN PAUL NUSURU AZAME..............

LAYIIII

#Breaking: Mwimbaji Ben Pol anusurika kwenye ajali ya boti iliyozama.

Mwimbaji Ben Pol staa wa hit single ya ‘Sophia’ amenusurika kifo baada ya boti waliyokua wakisafiria na wenzake kuzimika katikati ya safari. Baada ya kunusurika na baadae kuokolewa, Ben aliandika maneno yafuatayo kwa herufi kubwa >>> ‘MUNGU MKUBWA NA NINAMSHUKURU SANA KWA KUNIPA NAFASI NYINGINE YA KUISHI DUNIANI,

SEAMwimbaji Ben Pol staa wa hit single ya ‘Sophia’ amenusurika kifo baada ya boti waliyokua wakisafiria na wenzake kuzimika katikati ya safari.

advertise here