Monday, 9 November 2015

DOWNLOAD VIDEO NA USKIE NYIMBO MPYA KUTOKA KWA ADAMORE

LAYIII
Jina langu ni Adam hamis gama... Artist name nafahamika kwa jina la bongo flavor katika mahadhi ya afro pop and rap. So beautiful ni nyimbo  yangu ambayo nimeirealease officialy,ikiambatana na Video. Video ikiwaimefanywa na director Deo Abel,huku audio ikiwa imefanywa na producer Da pro,chini ya studio za SB.music. So beautiful inaelezea uzuri wa mwanamke katika nyimbo lakini nilivyokua nikipata idea ya wimbo huu nilikuwa nauzungumzia mziki,muda ambao nilikua nahustle kutoka kwenye mziki ambapo mpenzi Wangu alikua hahitaji kabisa nifanye mziki,so nikapata idea ya kumwambia kuwa yeye ni beautiful but muziki is so beautiful,ndio kupatikana nyimbo SO BEAUTIFUL. Nawaomba mashabiki wa muziki afrika na dunia kutupa support artist tunaochipukia kwenye huu muziki.

HII NI ZAIDI YA NOMA MMASAI KAINGIA CHUMBA CHA HABARI NA KUKATISHA SHUGHULI NZIMA WA UTANGAZAJI

Layii
embu tucheke wote hapa mtu wangu, wakati habari zikiendelea kutangazwa mmasai mmoja aliyeonekana kama hana akiri vizuri kaingia katika chumba cha matangazo cha habari wakati shughuli za utowaji wa habari zikiendelea kama kawaida na kusitisha shughuli nzima za uendeshaji wa habari
BONYEZA HAPA KUONA CLIP NZIMA
Na kwa wakati huo huo mwana mitindo mmoja atia fora baada ya vazi lake kuonekana limekaa kiajabu ajabu fuatilia video hapo chini kuona yaliyo jili

UKWELI KUHUSU NGUVA ALIYE KAMATWA NA MTALII HUKO ZANZIBAR

Saturday, 7 November 2015

JINSI YA KUTENGENEZA PESA MTANDAONI NA YOUTUBE








How Many Views Does it Take to Make Money on YouTube?

How many views does it take to make money on youtube


How many views does it take to make money on YouTube?  This is a common question asked and it really depends on who you ask.  You may have heard that you’ll make one dollar per thousand views or that it’s $1,000 per Million Views.  Some say it’s $5 per thousand views.  Well, we’re asking the wrong question.  We should be asking, “How much ENGAGEMENT does it take to make money

Monday, 26 October 2015

MATOKEO YA KURA ZA URAIS KUTOKA MAJIMBO KUMI YA TANZANIA

LAYIII





MANENO YA KAMANDA KOVA JUU YA USAMBAZWAJI WA MATOKEO YA UCHAGUZI YASIYO HALAI

LAYIII
Tukiwa bado tunaendelea na Uchaguzi Mkuu kumekuwa na matukio mbalimbali yanayojitokeza kama kuenea kwa taarifa za washindi wa wagombea kutoka sehemu mbalimbali, sasa kamanda wa polisi wa kanda maalum, Suleiman Kova amezungumza na waandishi wa habari kuhusus na matukio hayo

advertise here