Sunday 12 June 2016

WATOTO SITA 6 WAMEFARIKI WAKIWA WANABATIZWA HUKO ZIMBABWE

SUBSCRIBE HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=MWnmZ0mJSjUWatoto sita wamekufa maji bila kutarajiwa katika sherehe za kubatizwa kwao katika mto nchini Zimbabwe.Watoto watatu walinusurika kufa maji ya mto huo ambao maji yake niya baridi;watoto hao walionekana wakitetemeka kutokana na baridi wakati miili ya wenzao waliokufa maji ikiopolewa majini.

https://www.youtube.com/watch?v=MWnmZ0mJSjU
Polisi nchini Zimbabwe wamewatia mbaroni watu wawili ambao ni wafuasi wa dhehebu hilo la Kikristo.
Lakini pia walimjumuisha mama mmoja ambaye alidai kwamba yeye ni nabii ambaye alisema kwamba alifanya jaribio la kufufua wafu wakati wa ibada zake .
SHUDIA VIDEO ZA VITUKO HAPA MJINI ONA HII YA MAOMBEZI

No comments:

Post a Comment

advertise here