Wednesday 29 June 2016

ULIIKOSA ILE STORY YA RAIS KUWARUHUSU WAFANYAKAZI KWENDA KAZINI UCHI SOMA HAPA MTU WANGU

 Mkazi wa Belarusia akiwa ofisini.

Na Leonard Msigwa
BAADHI ya wananchi wa Belarusia wamekuwa wakienda makazini wakiwa uchi, na baadhi yao wakitupia picha mtandaoni zikiwaonyesha wakiwa uchi kutimiza kauli ya rais wao aliyoitoa siku za hivi karibuni.

KUMBE MUHIMBILI KUNA KITENGO CHA KUHUDUMIA :MASHOGA AFUNGUKA KUPITIA TAKE ONE AND ACTION

Hii nimeisikia jana kupitia kijana mmoja shoga aliyekuwa akihojiwa katika kipindi kimoja kwenye tv. Alijiweka bayana sana na hakuficha jambo, kitu kilichonistaajabisha kwa uwazi wake. Hata changudoa si rahisi kujianika kiasi kile.

Akasema Muhimbili wana kitengo chao cha kuhudumiwa. Kwamba hupewa mafuta ya ky, kondom, sabuni, hasa za kusafishia kinywa baada ya blow job, n.k. Hiki kitengo

CLOUDS TV YAJIKUTA KWENYE KITIMOTO KWA KURUSHA KIPINDI KUHUSU USHOGA, MAKONDA AWATETEA

Clouds TV ipo kwenye kitimoto baada ya kipindi chake cha Take One kinachoendeshwa na Zamaradi Mketema kumhoji shoga maarufu jijini Dar es Salaam.


Pamoja na Zamaradi kudai kuwa na nia njema ya kumhoji mtu huyo kwa madai suala hilo limekuwa tatizo nchini na ni muda wa kulizungumzia bila kificho, Watanzania wengi wameonesha kupinga kwa madai kuwa kipindi hicho kimetumika kulitangaza zaidi tatizo hilo.

Tuesday 28 June 2016

KIWANDA KIKUBWA KUPITA VYOTE DUNIANI CHA SARUJI KIPO TANZANIA

picha yoyote utakayo  bofya hapa itakupeleka katika swaxbz tv subscribe ili usiwe unapitwa na habari kwa njia ya video kila siku mtu wang

0L7C1291





 Kiwanda kikubwa zaidi cha saruji kuliko kingine chochote duniani cha Dangote Cement Obajana Plant kutoka angani. 





  Kiwanda kikubwa zaidi cha saruji kuliko kingine chochote duniani cha Dangote Cement Obajana Plant kutoka angani



 Sehemu ya kijiji jirani na kiwanda hicho



Kwa mbele ni malori yaliyopanga foleni kwenda kubeba saruji kiwandani hapo



Nyumba za wafanyakazi pamoja na mkanda wa kusafirisha mali ghafi toka machimboni



Machimbo ya kiwanda cha saruji cha Dangote



 Malori zaidi yakiwa yanangoja zamu ya kwenda kupakia mzigo kiwandani



Ulinzi ni wa uhakika



 Ndege binafsi za Dangote zikiwa zimepaki katika uwanja binafsi wa kiwanda hicho



Alhaj Dangote akiongea na mkuu wa polisi wa eneo hilo akiwa na binti yake Halima na mameneja wa kiwanda



 Alhaj Dangote akiongea na Dada Esther, mmoja wa wasaidizi wake katika ujenzi wa kiwanda cha Mtwara



Sehemu ya mkanda wa kusafirisha mali ghafi toka machimboni hadi kiwandani



 Sehemu ya malori yanayofanya kazi kiwandani hapo



 Sheli ya kiwanda



 Malori kazini



 Sehemu ya machimbo



Kisima kirefu cha maji



 Sehemu ya kiwanda



Silo na maghala ya malighafi








 Moja ya benki 13 zilizofunga kambi kiwandani hapo



 Tawi la benki ya Access kiwandani hapo



 Sehemu ya  maegesho ya malori








 Mkanda wa malighafi



 Sehemu ya kituo cha kuzalishia umeme













 Malori yakiwa tayari kupeleka mzigo kunakohusika



 Mixer



Seehemu ya kiwanda













Kiwanda



 Foleni ya maori kuelekea kiwandani kubeba mzigo



 Sehemu ya kiwanda



 Ndani ya ghala la malighafi



 Mkanda wa kuchukua malighafi toka machimboni



 Bango la uzinduzi wa awamu ya kwanza na ya pili



 Wahandisi wakifuatilia kila hatua ya uzalishaji kidigitali



 Mitambo ya kufuatilia uzalishaji




































Alhaj Aliko Dangote akiwapa maelekezo rubani na mhudumu wa ndege yake binafsi katika uwanja wa ndege wa kiwanda chake cha saruji cha Obajana

 

HIFADHI KUBWA ZAIDI YA GESI YA HELIUM YAGUNDULIWA TANZANIA

Tanzania ni miongoni mwa mataifa chache duniani yaliyojaliwa kuwa na rasilimali na madini mengi.
Na baada ya kugunduliwa kwa gesi asili huko Mtwara na dhahabu sasa watafiti kutoka Uingereza wamegundua hifadhi kubwa zaidi duniani ya gesi adimu zaidi ya Helium nchini Tanzania.

Watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford na kile cha Durham kwa ushirikiano na wataalumu wa madini kutoka Norway wamegundua uwepo wa takriban futi bilioni 54 za gesi hiyo ya barafu kama inavyofahamika.

Ugunduzi huo umefanyika katika eneo la bonde la ufa la Tanzania.

RAY J ADAI ‘UCHIZI’ WA KANYE WEST UNAKARIBIA KUUVUNJA UHUSIANO NA MCHUMBA WAKE

Ray J hajapenda kuwekwa kwenye video ya wimbo Famous wa Kanye West.

Kwenye video hiyo Ray J aliyewahi kuwa mpenzi wa Kim Kardashian, anaonekana akiwa mtupu amelala kitandani na mastaa wengine. Akiongea na Entertainment Tonight kwenye tuzo za BET, Ray J alisema alishangaa kuwepo kwenye video hiyo na hataki hata kuisikia.

“Don’t put me part of nothing that’s weird, that don’t make sense,” alisema. “Can I grow up?”

Ray J pia alisema kuwa mchumba wake, Princess Love, amechukizwa mno na video hiyo. “I’m engaged. My marriage is all messed up ‘cause of craziness. I’m not part of nothing crazy,” alisema Ray J.

Saturday 25 June 2016

KILICHOJIRI KUHUSU WAZIRI MKUU WA UINGEREZA KUJIUZULU

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwa kuwashawishi raia wengi wa Uingereza, kusalia katika muungano wa Ulaya.
Cameron akiwa amejawa na huzuni amesema kuwa atasalia ofisini kwa siku tisini zijayo ndipo angatuke.
Bw Cameron ambaye ameongoza kampeini ya kusalia katika muungano wa EU amesema kauli hiyo imempa mshutuko mkubwa na kwa baadhi ya watu mashuhuri duniani.
Akiongea katika kikao cha waandishi wa habari nje ya afisi yake jijini London, Bwana Cameron amesema kuwa hahisi tena kuwa mtu muhimu wa kuliongoza taifa hilo kwa ufanisi chini ya uamuzi kama uliofanywa.
Sauti yake iliibua hisia hasa aliposena naipenda saana taifa hili na najihisi vizuri kuliongoza muda huo wote.
Bwana Cameron amesema kuwa kauli ya wengi sharti isikizwe japo hafahamu kwanini Waingereza walichukua uamuzi kama huo ilhali taifa hilo lilikuwa linaufanisi mkubwa sana ndani ya EU.Cameron akiwa ameandamana na mkewe amesema bila shaka sasa utawala mpya unahitajika utakaoweza kutathmini mbinu na mkataba wa kujiondoa kutoka kwa muungano huo wa bara Ulaya.

advertise here