SWAXBZ

Pages - Menu

▼

Sunday, 22 May 2016

AFANYA JARIBIO LA KUJIUA KWA KUJITUPA KATIKA SHOMO WALIMOJAA SIMBA

LIKE PAGE YETU HAPA 
BONYEZA PICHA HII KUSUBSCRIBE NASI YOUTUBE 
mountian lion tearing apart bloodied deer carcaus


bonyeza picha hii kuja youtube kuona baadhi ya habari kwa njia ya videos
youtube.com/c/mswaxkim
STYLE MPYA YA KUJIUA bwana mmoja huko Chile amensurika kifo baaada ya kuliwa na Simba katika jaribio lake la kutaka kujiua. bwana huyu alikwenda katika hifadhi ndogo ya maonesho wakati ambapo watu wengi walifika kutazama simba na kisha kupanda juu ya zoo hilo na kuvua nguo zote ili abaki mtupu na kujirusha ndani yake. imedaiwa sababu ya kuvua nguo ni kujaribu kuwavutia simba hao wamtafune. hata hvyo walinzi walioko pale walolazimika kuwaua Simba wale ili wamuokoe kwa kuwapiga risasi jambo ambalo lilimsikitisha mkurugenzi wa zoo hilo. Katika nguo za bwana huyo kulikutwa ujumbe ambao uliashiria alifanya hvyo kwa nia ya kujiua!
A photo posted by swaxbz.com (@swaxbz) on May 22, 2016 at 2:04pm PDT

http://entryhub.blogspot.com/ at Sunday, May 22, 2016
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version
Powered by Blogger.