SWAXBZ

Pages - Menu

▼

Monday, 20 March 2017

MAGUFULI :MAKONDA CHAPA KAZI...HATA MIMI NAANDIKWA KWENYE MITANDAO KWA HIYO NIJIUZULU URAIS????


Rais John Pombe Magufuli amemtaka mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuendelea na kazi na kwamba yeye kama rais hafanyi kazi kwa kuambiwa na mtu kwamba afanye nini



Amesema watanzania wanapoteza muda mwingi kujadili mambo yasiyo ya msingi.
http://entryhub.blogspot.com/ at Monday, March 20, 2017 No comments:
Share

KUHUSU NAPE KUJIUZURU




Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye amesema endapo atashindwa kusimamia uhuru wa habari na vyombo vya habari nchini atakuwa hafai kubaki kwenye nafasi hiyo kwa kuwa atakuwa ameshindwa majukumu yake katika nchi huru

Nape ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumzia na kulaani kitendo kinachodaiwa kufanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, cha kuvamia chombo cha habari cha Clouds, akiwa na askari wenye silaha na kukifananisha kitendo hicho na kuinajisi taaluma ya habari.
http://entryhub.blogspot.com/ at Monday, March 20, 2017 No comments:
Share
‹
›
Home
View web version
Powered by Blogger.