Kutoka
ndani ya XXL leo November 22, 2016 U Heard imekuja na stori kuhusu
picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonesha watoto wa
mastaa wa Bongo Flava, Diamond Platnumz na Alikiba huku ikiwa imeandikwa
(Natamani mkikua mje kuoana ili baba zenu wapatane).
Kwa mujibu
wa Soudy Brown baada ya kuzagaa kwa picha hiyo, kuna tajiri fulani
jijini Dar es